SITA KIZIMBANI KWA MASHTAKA 68 IKIWEMO KUISABABISHIA TRA HASARA YA ZAIDI YA BILIONI 2

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ‎‎WAFANYABIASHARA sita wa jijjni Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni (Kinondoni), wakikabiliwa na mashitaka 68 yakiwamo ya kupotosha mfumo na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.‎‎katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakama hapo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Daisy Makakala…

Read More

NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS -UTUMISHI ARIDHISHWA UTEKELEZJI MIRADI YA TASAF

Na Mwandishi Wetu, Karatu. NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Regina Qwaray, ameonyesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi iliyojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii ( TASAF) kupitia mradi wa OPEC,ikiwemo wa ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Laja,wilayani Karatu. Ametoa pongezi hizo jana wilayani humo alipotembelea Shule hiyo iliyojengwa katika Kijiji cha Laja,Karatu…

Read More

Chama, Musonda waendelea kutamba Zambia, Mutale amwagwa

Licha ya kutopata muda mwingi wa kucheza katika kikosi cha Yanga, kiungo mshambuliaji Clatous Chama na mshambuliaji Kennedy Musonda wameitwa katika kikosi cha Zambia kwa ajili ya mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Urusi, Machi 25, 2025 jijini Moscow. Kocha Avram Grant ameteua kikosi cha wachezaji 19 kwa ajili ya mchezo huo akiwajumuisha Musonda…

Read More

MAPATO YAPAA KISHAPU, MADIWANI WAANIKA CHANGAMOTO ZA BARABARA, ZAHANATI, SHULE

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Willium Jijimya akizungumza kwenye kikao cha madiwani na wataalam kikao cha kupokea taarifa za utekelezaji shughuli mbalimbali za maendeleo robo ya kwanza 2024/2025 kilichofanyika Novemba 5,2024 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo. Picha na Sumai SalumMkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Bw.Emmanuel…

Read More

Coastal Union yamtambulisha winga wa Harambee Stars

Kiungo mshambuliaji kutoka Mombasa – Kenya, Abdallah Hassan Abdallah, ametua rasmi katika klabu ya Coastal Union inayoendelea kujiimarisha katika kipindi hiki cha kuelekea msimu mpya 2024/25. Coastal Union imemtambulisha Abdallah leo Ijumaa Julai 05, 2025 ikiamini mchezaji huyo atafanikisha mipango ya klabu hiyo katika kusaka mafanikio kwenye michuano ya Ligi Kuu Bara na Kombe la…

Read More

REKODI UTEKELEZAJI MIRADI SONGWE ZAMBEBA MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN,WANANCHI WANAMSUBIRI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAKATI wa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kufanya mkutano wake wa kampeni kesho Septemba 3,2025 mkoani Songwe ,wananchi wa Mkoa huo wanajivunia mafanikio makubwa waliyopata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake. Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya mkutano katika Mkoa wa Songwe akiwa…

Read More