Mzawa aja na jukwaa la suluhu kwa wabunifu na wasaka ajira

Suala la ukosefu wa ajira rasmi limekuwa likiumiza kichwa wengi, kuanzia kwa watu binafsi hata Serikali, lakini sasa Kwanzahub imekuja na suluhu ambalo hata kama sio la kumaliza tatizo lakini walau kupunguza na kuonyeshwa njia ya kutatua tatizo hilo. Suluhu hiyo inahusisha kutoa jukwaa la vijana kuonyesha mawazo yao ya kibunifu, kuyelea, kuyauza lakini ni…

Read More

Mabingwa Watetezi Pyramids Waaga CAFCL Kwa Maumivu

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Mabingwa watetezi wa CAF Champions League, Pyramids FC, wameaga rasmi michuano hiyo baada ya kutolewa na AS FAR Rabat kwa jumla ya mabao 3-2 katika hatua ya robo fainali. Baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza, Pyramids walishuka dimbani wakiwa na matumaini ya kusonga…

Read More

Vita vya Mashariki ya Kati vinahatarisha kusukuma watu milioni 45 zaidi kwenye njaa kali – Masuala ya Ulimwenguni

“Zaidi ya kuanguka mara moja nchini Lebanon, mzozo huo pia umesababisha athari kubwa kwenye operesheni za kibinadamu za kimataifa; kwa kweli tunasikia uchungu juu ya hili,” WFP Naibu Mkurugenzi Mtendaji Carl Skau aliwaambia waandishi wa habari mjini Geneva. “Minyororo yetu ya usambazaji inaweza kuwa kwenye ukingo wa usumbufu mkubwa zaidi tangu COVID na vita vya…

Read More

Maximo achekelea kupewa mechi ngumu

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema uwepo wa timu hiyo katika michuano ya Kombe la Kagame 2025 itakuwa chachu katika kufanya maandalizi bora ya msimu 2025/26 kutokana na kukutana na timu ngumu zinazoshiriki michuano ya kimataifa. KMC na Singida Black Stars zimepata nafasi ya kushiriki michuano hiyo baada ya Simba na Yanga kujiengua kutokana…

Read More

Amarula Sundown Sessions Yazua Mwendo Jijini Dar

Jumapili usiku, tarehe 7 Septemba 2025, jiji la Dar es Salaam lilichomoka kwa shangwe pale Amarula Sundown Sessions lilipofanyika – tukio lililosheheni mastaa, influencers, na watu mashuhuri kutoka kila kona ya jiji. Usiku huo ulikuwa wa burudani ya hali ya juu: muziki ulirukaruka kwenye midomo ya wapenzi wa vibes, vinywaji vya Amarula vilivyotengenezwa kwa ubunifu…

Read More

YAZINDUA HATIFUNGANI YA STAWI YA SHILINGI BILIONI 150

::::::: Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua rasmi Hatifungani ya Stawi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 150 ambapo kwanza itatumika bilioni 50, ikiwa ni mpango wa muda wa kati wa miaka mitano, kwa mara ya kwanza kuingia katika soko la mitaji nchini. Hatifungani hiyo inalipa riba ya asilimia 13.5 kwa mwaka, ambayo italipwa kila baada…

Read More