Ujenzi nyumba za waathirika maporomoko ya Hanang waendelea

Arusha.Ujenzi wa nyumba 108 za waathirika wa maafa ya maporomoko ya matope, mawe na magogo ya miti kutoka Mlima Hanang unaendelea katika eneo la Gidagamowd, Kata ya Mogitu.  Nyumba hizo zinajengwa kwa waathirika wa maafa hayo waliopoteza makazi yao na chache kwa wale wanaoishi kwenye mazingira hatarishi. Akizungumza na Mwananchi Digital, leo Aprili 20, 2024,…

Read More

Makowo wapewa gari la wagonjwa waliloomba serikalini 2021

Njombe. Wananchi wa Kata ya Makowo, Halmashauri ya Mji wa Njombe, wamepatiwa gari la kubeba wagonjwa litakalowapunguzia changamoto ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya.  Akikabidhi gari hilo leo Jumamosi Aprili 20, 2024 Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Mwanyika amesema mwaka 2021 aliomba hospitali hiyo ipatiwe vifaa tiba, wahudumu wa afya na gari la…

Read More

AIC Nira Gospel Choir, Lemi George wazidi kupaa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mwimbaji wa gospo kutoka jijini Mwanza, Lemi George na kwaya ya AIC Nira, wamefanikiwa kujizolea mashabiki wapya kupitia wimbo wao mpya, Msalabani. Akizungumza na mtanzania.co.tz leo, Lemi, alisema anamshukuru Mungu kwa mapokezi makubwa ya video ya wimbo huo ambao umefanya vizuri katika msimu wa sikukuu ya Pasaka. “Huu ni upendo…

Read More

Mashindano ya Taifa ya klabu kuogelea yaanza kwa kishindo

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mashindano ya Taifa Klabu ya Kuogelea yameanza leo Aprili 20,2024, huku  waogeleaji kutoka klabu mbalimbali wakionekana kuchuana vikali  kwenye bwawa la kuogelea  la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika(IST), Masaki jijini Dar es Salaam. Michuano  inayotarajiwa kumalizika kesho Aprili 21,2024 inashirikisha jumla ya  klabu 11 za Tanzania na mbili zikitokea nchini…

Read More

Viongozi Ahmadiyya wajifungia wakijadili mambo matatu

Dar es Salaam. Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Kusini mwa Jangwa la Sahara wanakutana jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa siku mbili, huku mambo matatu yakitarajiwa kujadiliwa likiwamo la kuongezeka kwa mmomonyoko wa maadili katika nchi zao. Mambo mengine yatakayojadiliwa katika mkutano huo ulioanza leo Aprili 20, 2024, ni kuzorota kwa usalama duniani na…

Read More

Makonda: Walitaka kuniua kwa drone wakashindwa

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka polisi mkoani humo kupambana na dawa za kulevya, akisema alinusurika kifo akipambana na dawa hizo alipokuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.  Amesema kutokana na mapambano hayo, aliwindwa na watu waliotaka kumuua, lakini wakashindwa. Makonda alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam…

Read More

Mkuu wa Magereza acharuka wafungwa kufia gerezani

Morogoro. Kamishna Jerenali wa Magereza Tanzania, Mzee Nyamka amewataka watumishi wa jeshi hilo kutimiza wajibu wao kwa kuzingatia sheria na waache kujihusisha na matendo yanayolitia doa jeshi hilo, ikiwamo kuwapiga wafungwa ambao baadhi yao wameshapoteza maisha.  Akizungumza leo Jumapili Aprili 20, 2024 mjini Morogoro wakati akifunga mafunzo ya uongozi daraja la kwanza ngazi ya sajenti…

Read More

JKT yaichapa Geita Queens 9-0, Stumai akiweka matano WPL

LEO saa 4:00 asubuhi katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo ilipigwa mechi ya Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), JKT Queens ikiwa nyumbani na kuondoka na ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya Geita Queens. Mabao yalifungwa na Stumai Abdallah aliyeweka kambani matano, Winifrida Gerald, Alia Fikirini, Donisia Minja na Lydia Maximilian waliofunga moja kila mmoja. Kwa…

Read More