
Hatari ya shisha kwa vijana katika kifua kikuu
Dar/Mikoani. Ni kawaida siku hizi katika kumbi za starehe mijini kukuta mitungi ya shisha juu ya meza, huku watumiaji wakichangia kilevi hicho. Je, unajua kuna uwezekano mkubwa mtumiaji kupata maambukizi ya Kifua Kikuu (TB)? Ijapokuwa hakuna utafiti wa moja kwa moja Tanzania unaoonyesha shisha ni chanzo cha TB, nchini Uswizi kupitia utafiti uliofanywa na Dk…