SG AKAGUA UJENZI WA JENGO LA OFISI MTUMBA, DODOMA
-Amuelekeza Mkandarasi akamilishe jengo kwa wakati Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa kwenye mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma. Ujenzi wa jengo hilo umefikia kiwango cha asilimia 73 na umegharimu jumla ya shilingi bilioni 16 na ili liweze kukamilika…