SG AKAGUA UJENZI WA JENGO LA OFISI MTUMBA, DODOMA

-Amuelekeza Mkandarasi akamilishe jengo kwa wakati Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali linaloendelea kujengwa kwenye mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma. Ujenzi wa jengo hilo umefikia kiwango cha asilimia 73 na umegharimu jumla ya shilingi bilioni 16 na ili liweze kukamilika…

Read More

Ufaulu wa Form 4 Wapanda Hadi 94.98% – NECTA

Last updated Jan 31, 2026 Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka 2025 kote nchini. Akizungumza katika ofisi za baraza hilo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said A. Mohamed, amesema kuwa ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia…

Read More

Sakata la mafisadi latua Takukuru, yawasubiri Shabiby, Lugola

Dar es Salaam. Siku mbili baada ya wabunge wawili kuzungumzia uwepo wa mafisadi nchini, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) imejitosa katika suala hilo huku ikisubiri maelezo kamili kutoka kwa wabunge hao ili wazifanyie kazi. Hata hivyo, wachambuzi wa siasa wamemulika kauli za wanasiasa hao wakihimiza haja ya hoja zao kufikishwa kwenye…

Read More

Bakhresa awapa vijana siri ya kutoboa kimaisha

Dar es Saalam. Uvumilivu, subira na bidii ni nguzo kuu za mafanikio katika biashara. Huu ndio ujumbe mzito unaotolewa na mfanyabiashara mkongwe na Mwenyekiti wa Bakhresa Group of Companies, Said Salim Bakhresa, kwa vijana wanaoingia kwenye ujasiriamali na mara kadhaa kujikuta wakikata tamaa wanapokutana na vikwazo vya mwanzo. Bakhresa, ambaye ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa barani…

Read More

Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2025

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia Novemba 17, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumamosi Januari 31, 2026 na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Profesa Said Mohammed. …

Read More

Je, wafanyakazi wanaweza kushindana na mashine na kukaa muhimu katika enzi ya AI? – Masuala ya Ulimwenguni

Iwe wewe ni “mtu wa kuangamia” au “mwendeshaji” kwenye somo, haiwezekani kupuuza AI, ambayo inaingia katika kila kona ya maisha yetu ya kibinafsi na ya kitaaluma. Umoja wa Mataifa umekuwa ukipiga ngoma kwa mtazamo wa “watu-kwanza” kwa somo kwa miaka sasa. Umoja wa Mataifa Katibu Mkuu Antonio Guterresalionya ya Baraza la Usalama nyuma mnamo 2024…

Read More