INEC YATOA ANGALIZO KWA CHAMA CHA ACT

Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiwa  na Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej. Wawili hao walikua wapeperushe bendera ya chama cha ACT WAZALENDO kabla ya kuwekewa pingamizi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kuenguliwa katika mbio za kuwania kiti cha Rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Read More

Mechi ya kisasi ipo Mkwakwani

LIGI Kuu Bara inaendelea tena leo kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga kuanzia saa 1:00 usiku na wenyeji Coastal Union iliyoanza na ushindi dhidi ya Tanzania Prisons, itakuwa na vita kali na maafande wengine wa JKT Tanzania walioanza kwa sare ya 1-1. Coastal ilianza Ligi Kuu Bara kwa ushindi wa bao…

Read More

Kitambi ashusha presha Fountain Gate

BAADA ya Denis Kitambi kutangazwa kukiongoza kikosi cha Fountain Gate, kocha huyo amesema kuanza vibaya msimu mpya wa 2025-2026, hakujawatoa katika malengo, licha ya kukiri pia ana kazi kubwa hususan ya kutengeneza muunganiko wa kikosi. Kocha huyo aliyezifundisha timu kadha ikiwamo Simba, Namungo, Geita Gold na Singida Black Stars, amezungumza hayo baada ya kuanza Ligi…

Read More

Malale apata kianzio Ligi Kuu Bara

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata Mbeya City dhidi ya Fountain Gate ikicheza ugenini, umempa pawa kocha wa timu hiyo, Malale Hamsini aliyesema amepata kianzio Ligi Kuu Bara inayoendelea kushika kasi ikiingia raundi ya pili kwa sasa. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupanda daraja ilipata ushindi huo kwa bao la penalti iliyopigwa na Habib…

Read More

Mahakama Kuu kuamua hatima ya Tundu Lissu, leo

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo Jumatatu Septemba 22, 2025, inatarajia kutoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema taifa, Tundu Lissu. Hatua hiyo inatokana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa huyo mahakama hapo Septemba 16, 2025 la kudai kuwa hati ya mashtaka ni batili kutokana na kukiuka masharti…

Read More

Sababu ya Yusuph Athuman kusaini Zambia

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Yusuph Athuman hivi karibuni alitambulishwa kikosi cha Napsa Stars inayoshiriki Ligi Kuu Zambia na meneja wa mchezaji huyo akafichua jambo kuhusu usajili huo. Kabla ya kutimkia Zambia msimu uliopita alisajiliwa na Yangon United inayoshiriki Ligi Kuu Myanmar kabla ya kurejea Tanzania na kumaliza mkataba wake na Fountain Gate ambako huko kote hakucheza….

Read More

Mbongo afichua mambo mawili Marekani

KINDA la Kitanzania anayekipiga SCCC FC Ligi ya Vijana Marekani, Lohanga Malenga amesema ni fursa kwake kupata mafunzo ya kitaaluma huku akiendelea kupata ujuzi wa soka. Kiungo huyo ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa chini ya miaka 19, alijiunga na timu hiyo akitokea akademi ya Villareal na alitwaa ubingwa wa Tri-State Cup mara mbili…

Read More

‘Ulimwengu wa Vita Kulia kwa Amani’ anasema mkuu wa UN kama viongozi wanavyokusanyika New York – Masuala ya Ulimwenguni

“Maisha yanavutwa kando, utoto umezimwa, na hadhi ya msingi ya kibinadamu imetupwa, huku kukiwa na ukatili na uharibifu wa vita,“Bwana Guterres alisema katika ujumbe wa siku hiyo.”Wanachotaka ni amani.“ Alisisitiza kwamba mzozo leo haujafungwa kwenye uwanja wa vita, na athari zake zinazunguka mipaka, na kuhamishwa, umaskini na kutokuwa na utulivu. “Lazima tunyamaze bunduki. Kumaliza mateso….

Read More