FYATU MFYATUZI: Nimeamua kujipanga kuuza au kubinafsisha ubongo wangu!

Sihitaji ubongo tena. Kwanza, umenifyatua nikafyatua wengine hadi wanatishia kunifyatua kwa kuninyotoa roho. Ubongo umesababishe kero na hatari hadi nikageuka machukizo, ukiachia kujiudhi mwenyewe. Ubongo umenibomoa badala ya kujijenga. Nilifyatua wengine ili wafyatuke na kuwafyatua wanaowafyatua nikaishia kujibomoa. Mbali na ubongo kuniletea madhara kwa vile unachemka, zipo sababu zilizoko nje ya uwezo wangu zinazoniaminisha kuwa…

Read More

Ukosefu wa elimu chanzo changamoto za afya ya uzazi

Unguja. Mojawapo ya sababu inayochangia vijana kuwa na changamoto kuhusu afya ya uzazi na hedhi salama ni ukosefu wa elimu, imeelezwa. Kutokana na hilo, jamii imesisitizwa kutoa elimu ya masuala hayo kwa vijana ili kupunguza vifo vya mama na mtoto. Kwa kufanya hivyo imeelezwa afya bora itaendelezwa ili kusaidia kuleta uelewa mpana kwao na kupanga…

Read More

Hekaheka hospitali, polisi kusaka ndugu

Dar es Salaam. Hali ya maisha ikiendelea kurejea kawaida, kumekuwa na hekaheka za wananchi kwenye vituo vya polisi na hospitali wakiwatafuta ndugu na jamaa zao ama waliofariki au ambao hawajulikani walipo tangu Oktoba 29, 2025 kulipotokea maandamano yaliyoambatana na vurugu. Kwa mujibu wa ndugu na jamaa za watu hao, pia wanapata ugumu wa kupata miili…

Read More

Ceasiaa yaigomea Yanga Princess | Mwanaspoti

WAKATI Ceasiaa Queens ikitema na kuingiza nyota wapya 10 wakiwamo watano wa kimataifa, kocha mkuu wa timu hiyo, Noah Kanyanga amethibitisha kugomea ofa aliyoletewa na Yanga Princess akidai haikumshawishi. Walioongezwa ni straika Tantine Mushiya (DR Congo), mabeki Lukiya Namubiru, Tukamuhebwa Recho na Dorcus Nabuufu na winga Halima Nanteze wote kutoka Uganda. Wengine walioongezwa ni wazawa…

Read More

Tanzania kukutana na mabalozi 9 kutatua changamoto za kikodi

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imekubali ombi la Mabalozi wa nchi mbalimbali walioomba kikao cha kujadili kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa lengo la kukwamua changamoto zinazowakabili wawekezaji kutoka nchi zao. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mabalozi walioomba kikao na Serikali ya Jamhuri ya…

Read More