
NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA UKANDA WA SADC KUENDELEZA TEKNOLOJIA YA MATUMIZI BORA YA NISHATI
Na Seif Mangwangi, Arusha NCHI za Jumuiya ya Afrika Mashariki na za ukanda wa SADC zimekubaliana kuendeleza teknolojia ya matumizi bora ya Nishati ili kukuza uchumi wa wananchi wao pamoja na kutunza mazingira yanayoendelea kuharibiwa kwa kasi. Hayo ni miongoni mwa maazimio yaliyokubaliwa katika mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati uliohusisha Nchi Wanachama…