NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NA UKANDA WA SADC KUENDELEZA TEKNOLOJIA YA MATUMIZI BORA YA NISHATI

Na Seif Mangwangi, Arusha NCHI za Jumuiya ya Afrika Mashariki na za ukanda wa SADC zimekubaliana kuendeleza teknolojia ya matumizi bora ya Nishati ili kukuza uchumi wa wananchi wao pamoja na kutunza mazingira yanayoendelea kuharibiwa kwa kasi. Hayo ni miongoni mwa maazimio yaliyokubaliwa katika mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati uliohusisha Nchi Wanachama…

Read More

Someni mikataba msikimbilie kusaini – TIRA

Na Mwandishi Wetu, Arusha Wadau wa Sekta ya Madini nchini wametakiwa kusoma na kuelewa mikataba mbalimbali wanayopewa katika makubaliano kabla ya kuisaini hususani katika taasisi za Bima. Hayo yamesemwa leo Mei 23, 2024 na Meneja wa Kanda ya Kaskazini TIRA, Bahati Ogolla katika Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini linaloendelea…

Read More

Rais Ruto amteua Kahariri kuwa CDF Kenya

Kenya. Rais wa Kenya, William Ruto amempandisha cheo Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri kuwa Jenerali na kisha kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) leo Alhamisi Mei 2, 2024 kuchukua nafasi ya Francis Ogolla, CDF aliyekufa kwenye ajali ya helikopta. Kwa mujibu wa tovuti ya Taifa Leo ya nchini Kenya, mbali na uteuzi huo, mabadiliko mbalimbali…

Read More

TANZANIA, QATAR KUSHIRIKIANA SEKTA YA UTALII

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. Hayo yamebainika leo Julai 4,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki (Mb)…

Read More

TCRA na TAMWA wamekuja na hii kwa waandishi wa habari

Leo 24 Oktoba 2024 – Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), wamezungumza na waandishi wa Habari kutangaza kuzisogeza mbele Tuzo za ‘Samia kalamu Awards’ ambazo walizindua tarehe 13 Oktoba 2024, ikiwa ni ushiriki wa wanahabari katika tuzo hizo zenye kaulimbiu “Uzalendo Ndio Ujanja.” Wakiongea na…

Read More

Mahakama yaidhinisha majeshi ya Trump California

San Francisco. Mahakama ya Rufaa ya Marekani imempa Rais Donald Trump ruhusa ya muda ya kuendelea kuwaweka wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Taifa (National Guard) katika jiji la Los Angeles. Uamuzi huo unazuia kwa sasa utekelezaji wa agizo la awali la jaji wa Serikali, ambaye alitaka kikosi hicho kirejeshwe chini ya usimamizi wa Gavana…

Read More

Ni kazi gani hautakubali kuifanya unapokuwa msomi?

Dar es Salaam. Ni kazi gani hauko tayari kuifanya ukiwa na elimu kuanzia ngazi ya shahada? Majibu ya swali hilo yanaakisi mitazamo ya vijana hasa wasomi, ambao aghalabu hukacha baadhi ya kazi kwa mtazamo kuwa hawastahili kuzifanya kutokana na kiwango chao cha elimu. Kutokana na mtazamo huo, wengi wanajikuta wakikaa bila kazi za kufanya kwa…

Read More