WANANCHI WAENDELEA KUELIMISHWA UFUGAJI WA NYUKI

 Wananchi wanaendelea kuelimishwa  kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani kubwa sokoni, lakini pia wanasaidia kuchavusha mazao yetu na kulinda uhai wa mazingira. Ni muhimu wadau na wananchi mbalimbali kubadilika na kuacha kutumia moto wakati wa kuvuna asali kwani moto unaharibu mizinga, unaua…

Read More

Dada asimulia maisha ya utoto ya Kardinali Pengo

Dar es Salaam. Katika historia ya Kanisa Katoliki Tanzania, jina la Polycarp Kardinali Pengo limebeba uzito mkubwa wa kiroho; hata hivyo, nyuma ya mavazi yake ya ukardinali kuna simulizi ya familia iliyomlea na kumshuhudia akipanda ngazi za utumishi wake. Hadi Kardinali Pengo anastaafu, amelitumikia kanisa kwa jumla ya miaka 54 akiwa padri. Miaka 42 ametumika…

Read More

Kauli ya Mpina baada ya kupitishwa INEC

Dar es Salaam. Mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema ataanza na hotuba ya saa sita ili Watanzania waijue nchi yao kikamilifu, kabla ya kutumia siku 45 za kampeni zilizobakia. Amesema kinachofuata baada ya kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ni kuzindua ilani, kueleza maono ya mgombea na uzinduzi…

Read More