Malindi yarejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More

Serikali yaondoa kusudio kupinga shauri la Mpina, sasa kusikilizwa Jumatatu

Dar/Dodoma. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imepanga kusikiliza shauri la kuenguliwa katika uteuzi mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, baada ya maombi kutolewa na kujibiwa kwa maandishi. Mahakama imetoa maelekezo hayo leo Jumatano, Septemba 3, 2025, baada ya wajibu maombi, Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kuachana na mpango…

Read More

Paskazia alivyopambania elimu ya mwanaye mwenye ulemavu

Tanga. Katika kijiji kidogo cha Mjesani wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga kuna simulizi inayogusa moyo na kutoa somo kubwa kuhusu nguvu ya upendo wa mama. Ni hadithi ya mwanamke aliyepambana na changamoto za maisha, umaskini na maumivu ya kutelekezwa, lakini hakukata tamaa katika ndoto yake ya kuona mwanaye mwenye ulemavu akipata elimu bora. Huyu ni Paskazia…

Read More

Bado Watatu – 32 | Mwanaspoti

NIKAMJIBU: “Sikutaka nikupe mshituko. Nilikuwa nakungoja urudi.”“Mimi nimepata habari hii leo wakati narudi.”“Ni nani aliyekupa habari hiyo?”“Ni mke wake. Alinipigia simu akanijulisha hivyo. Nikashituka sana kwa sababu juzi juzi tu nilikuwa naye. Kwa hiyo nilipofika stendi nikaona niende huko kwanza nikampe pole.”“Hata mimi nilishituka, yaani mpaka hivi sasa picha yake inanijia akilini mwangu!”“Kushituka ni lazima….

Read More

Bado Watatu – 26 | Mwanaspoti

NILIPOWAZA hivyo, nilipunguza mwendo zaidi, nikawa natupa macho huku na huku. Nikaona kulikuwa na pikipiki nyuma yangu. Niliona jamaa amempakiza mwenzake. Aliyempakia mwenzake alikuwa mwanaume, lakini sikuweza kuona aliyepakiwa alikuwa mwanaume au mwanamke. Nilitaka ile pikipiki inipite lakini ilikuwa ikienda mwendo wa taratibu. Nikakata kushoto ambako kulikuwa na barabara ya mchanga. Sasa makaburi yalikuwa kulia…

Read More

MAWAKILI WA SERIKALI WATAKIWA KUENDELEA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA HIFADHI YA JAMII

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewataka Mawakili wa Serikali kuyatumia mafunzo yanayotolewa kuhusu Hifadhi ya Jamii, katika kuhakikisha kuwa Sheria na Kanuni za Hifadhi ya Jamii zinalinda na kusimamia haki na maslahi ya Wanachama wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kuhusu…

Read More