TANZANIA NA ZAMBIA WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO KURAHISISHA BIASHARA KWA WAFANYABIASHARA WADOGO

  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Balozi Dkt.John Simbachawene (katikati) akisaini Maktaba wa kurahisisha mazingira ya Biashara _Simplified Trade Regime_ Hafla ya utoaji saini ilifanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Izukanji uliopo Nakonde Nchini Zambia.Kushoto mwenye Miwani ni Mkuu wa Wilaya ya Mombo Mhe.Elias Mwandobe akishihudia Hafla hiyo. ….. Tanzania na Zambia…

Read More

TANROADS YAENDELEA NA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA GONGOLAMBOTO JIJINI DAR ES SALAAM

Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imehakikisha utekelezaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka; barabara ya Nyerere hadi Gongo la mboto unaendelea huku barabara ya kawaida ikiendelea kupitika hata katika kipindi hiki cha mvua kubwa zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali Nchini. Akizungumza wakati alipofanya ziara katika mradi huo Meneja wa miradi ya mabasi yaendayo haraka…

Read More

GGML imetekeleza mpango wa ukarabati wa ardhi kwa kupanda karibu miti nusu milioni, kusaidia kukuza baionowai na kukabiliana na uharibifu wa mazingira.

SHUGHULI za uchimbaji madini hutakiwa kwenda sambamba na urejeshaji mazingira ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuharibiwa na shughuli hizo ndio maana kumekuwa na ufuatiliaji mkubwa kwa upande wa Serikali na mamlaka husika kuhakikisha mazingira yanalindwa. Vivyo hivyo katika kulinda vyanzo vya maji hasa ikizingatiwa yanatumiwa na viumbe hai wote ikiwamo binadamu na wanyama….

Read More

Zanzibar yapiga marufuku upigaji makachu Forodhani

Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar imepiga marufuku upigaji wa makachu katika eneo la bustani ya Forodhani, baada ya kudaiwa kufanyika vitendo vinavyokiuka maadili. Taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo jana Jumapili, Desemba 22, 2024 imeeleza uamuzi huo umefikiwa baada ya kuona kuna ukiukwaji wa sheria, kanuni na miongozo yaliyojitokeza kwa vijana wa makachu katika eneo hilo….

Read More

Mlandege yaona mwezi Zanzibar | Mwanaspoti

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi 2024, Mlandege jana imeonja ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu Zanzibar kwa msimu huu baada ya kuinyoa Mafunzo kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan kwa Wazee mjini Unguja. Mlandege iliyotwaa taji la Mapinduzi mapema mwaka huu kwa kuifunga Simba kwa bao 1-0 katika fainali kali iliyopigwa Januari 13 kwenye…

Read More

Kauli za wananchi mwendokasi Mbagala ikitesti mitambo

Dar es Salaam. Baada ya kuanza kwa majaribio ya Mabasi yaendayo Haraka (BRT) maarufu mwendokasi awamu ya pili Barabara ya Kilwa (Mbagala), madereva wa bajaji, pikipiki na daladala wamesema usafiri huo hautawaathiri huku abiria wakieleza matumaini pale utakapoanza rasmi. Leo, Oktoba 12, 2025, madereva wa bajaji na bodaboda wameukaribisha usafiri huo wakisema baadhi yao wanaopakia…

Read More

Adha ya mvua inavyotesa wakazi wa Dar, mikoani

Dar/mikoani. Barabara hazipitiki, kazini na hata shuleni hakuendeki. Huu ndio uhalisia wa hali ilivyo katika baadhi ya maeneo nchini, kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha mfululizo. Mbali na uharibifu wa miundombinu, kuongezeka kwa gharama za usafiri kutoka eneo moja kwenda jingine na msongamano barabarani ni miongoni mwa changamoto, huku baadhi ya maeneo wakineemeka kwa mazao kustawi….

Read More