
Wanaocha shule nchini wapungua, mikoa hii bado
Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari wanaoacha shule wakipungua kati ya mwaka 2022 hadi 2024, mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza na Kagera bado ngoma ngumu. Ripoti ya Best Education ya mwaka 2025 iliyotolewa na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), inaeleza kuwa idadi ya wanafunzi…