Idadi ya vyoo bora yaongezeka Shinyanga
Shinyanga. Idadi ya vyoo bora imeongezeka mkoani Shinyanga kutoka asilimia 56 hadi 78 katika kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2020 hadi 2024. Ongezeko la vyoo hivyo limetokana na mradi wa lipa kwa matokeo, hali iliyochangia kupungua kwa mlipuko wa magonjwa ya kuhara. Akizungumza kwenye kikao cha tathmini ya lishe na usafi wa mazingira leo…