Idadi ya vyoo bora yaongezeka Shinyanga

Shinyanga. Idadi ya vyoo bora imeongezeka mkoani Shinyanga kutoka asilimia 56 hadi 78 katika kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2020 hadi 2024. Ongezeko la vyoo hivyo limetokana na mradi wa lipa kwa matokeo, hali iliyochangia kupungua kwa mlipuko wa magonjwa ya kuhara. Akizungumza kwenye kikao cha tathmini ya lishe na usafi wa mazingira leo…

Read More

Kipigo chamzindua Nsajigwa Prisons | Mwanaspoti

KIPIGO cha mabao 2-1 ilichokipata Tanzania Prisons dhidi ya Singida Black Stars juzi kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara, kimemwibua kocha wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’, baada ya kukiri umakini ndiyo sababu ya kukosa ushindi. Mechi hiyo iliyopigwa Kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini, Dodoma, Prisons ilitangulia kupata bao la penalti dakika ya tatu, kupitia…

Read More

Jisajili na Meridianbet na Ushinde Mkwanja Mrefu Leo

MERIDIANBET ikiwa kama kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, wanakwambia kuwa kushinda Mamilioni leo ni nje nje kabisa. Unachotakiw akufanya ni kuingia kwenye akaunti yako na kutengeneza mkeka wa ushindi sasa. EPL kule Uingereza kuna mechi moja ambayo itapigwa kati ya Wolves vs Aston Villa ambao msimu huu wamekuwa na mwenendo mzuri sana kwenye ligi kwani…

Read More

Kesi ya Charlie Kirk – maswala ya ulimwengu

Charlie Weimers na Bendera ya EU na ishara ya Chama cha Demokrasia ya Uswidi, Bluebell. na Jan Lundius (Stockholm, Uswidi) Ijumaa, Septemba 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Stockholm, Uswidi, Septemba 19 (IPS) – Mnamo Septemba 11, Charlie Weimers, mwanachama wa Uswidi wa Bunge la Ulaya na hai ndani ya Kikundi cha wahafidhina wa…

Read More

Trump: Ushirikiano wa Dunia Unahitajika Kulinda Njia ya Mafuta

Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Rais wa Marekani Donald Trump Rais wa Marekani Donald Trump usiku wa kuamkia leo Machi 17, 2026 amesema  operesheni za kijeshi dhidi ya Iran zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa, akidai kuwa uwezo wa kijeshi wa taifa hilo “umeangamizwa kabisa” kufuatia mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel. Trump alitoa kauli…

Read More

CCM yaahidi kuendeleza jitihada kukuza zao la korosho

Mtwara. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendeleza mapinduzi katika sekta ya kilimo, akisisitiza kuwa Serikali imewekeza kwa kiwango kikubwa katika ruzuku ya pembejeo ili kuongeza uzalishaji, hasa wa korosho na mazao mengine kote nchini. Akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 26, 2025 mkoani Mtwara, Samia amesema katika…

Read More

ZEC yateketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imemalizia kazi ya kuteketeza nyaraka 720,000 za uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Kati ya nyaraka hizo 100,000 hazikutumika, zilizotumika Unguja ni nyaraka za kura 461,000 na Pemba kura 159,000. Akizungumza wakati wa kuteketeza nyaraka hizo leo Jumamosi, Februari 28, 2026 katika Shimo la Muungoni Mkoa wa Kusini Unguja,…

Read More

AG awataka watumishi wa umma kulinda taswira ya Serikali

Dar es Salaam. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amewataka watumishi wa umma kuepuka vitendo vinavyoathiri taswira ya Serikali na utumishi wa umma. Amewataka watumishi hao kuhakikisha wanawajibika ipasavyo kama kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinavyowaelekeza. Johari ametoa wito huo leo Machi 6, 2026, wakati akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi…

Read More

Wanaodaiwa kuua mwanafamilia, waendelea kusota rumande

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Fred Chaula (56) na wenzake wawili, wanaokabiliwa na kesi ya mauaji watalazimika kuendelea kusalia rumande hadi Septemba 8, 2025. Hiyo, inatokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mbali na Fredy, washtakiwa wengine ni Bashir Chaula (49) dereva bodaboda na mkazi wa Tegeta pamoja na Denis…

Read More