‘Akili Mnemba haikwepeki hatuna budi kuishi nayo’

Dar es Salaam. Matumizi ya Akili Mnemba (AI) yametajwa kutokwepeka katika elimu, afya, uchumi hata uvumbuzi hivyo imepaswa kuitumia teknolojia hiyo iliyoshika kasi ili kukuza maendeleo ya Tanzania na bara la Afrika kwa ujumla. Akili Mnemba ni teknolojia inayowezesha kompyuta na mashine kuiga uwezo wa binadamu kama vile kujifunza, kufikiri, kufanya uamuzi na kuwa na…

Read More

Mserbia apewa masharti KenGold | Mwanaspoti

KenGold imefikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miezi sita kocha mpya raia wa Serbia, Vladislav Heric iliyomtambulisha jana Jumamosi, huku akipewa masharti ya kuhakikisha kikosi hicho chenye makazi yake Chunya jijini Mbeya, kinasalia Ligi Kuu Bara msimu ujao. Kocha huyo wa zamani wa Chippa United ya Afrika Kusini, aliwasili nchini juzi kwa ajili ya kukiongoza…

Read More

ZAIDI YA BILIONI 145.7 KUYAFIKISHA MAJI YA ZIWA VICTORIA SIKONGE, URAMBO NA KALIUA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Zaidi ya shilingi bilioni 145.7 zinatumika kutekeleza mradi wa maji kutoka Ziwa Viktoria kwenda katika Miji ya Sikonge, Urambo na Kaliua Mkoani Tabora. Mradi huo unategemewa kuwanufaisha wananchi zaidi ya 490,926 wa vijiji 60 . Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama Shinyanga (KASHWASA) imepewa taarifa na Msimamizi wa mradi…

Read More

Watoto wawili wa familia moja wapotea Arusha

Arusha. Watoto wawili wa familia moja wamepotea katika mazingira ya kutatanisha mkoani Arusha, baada ya kuaga wanakwenda shule jana Julai 24, 2024, lakini hawakurudi nyumbani na mpaka leo hawajaonekana popote. Watoto hao wanaosoma Shule ya Msingi Olosiva, wilayani Arumeru, wamedaiwa kupotea baada ya kupandishwa kwenye daladala wakielekea shuleni, lakini hawakufika shule na wala hawakurudi nyumbani….

Read More

Miaka 64 ya Uhuru: TBN Yasema “Amani Kwanza, Ujenzi wa Taifa Daima”

Leo Desemba 9, tunapoadhimisha miaka 64 tangu Taifa letu lipate Uhuru, Tanzania Bloggers Network (TBN) inawapongeza Watanzania wote kwa kufikia hatua hii muhimu katika historia ya Taifa letu. Hii ni siku ya kutafakari safari tuliyotoka, mahali tulipo, na mwelekeo tunaoujenga kwa pamoja. Waasisi wetu walituwachia zawadi kubwa—Uhuru. Lakini walituonya kuwa Uhuru hauwezi kuwa kamili bila…

Read More

DKT. MRAMBA ATEMBELEA BANDA LA CBE SABASABA

Naibu Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara(CBE), anayeshughulikia Taaluma Utafiti na Ushauri Dk. Nasibu Mramba leo, Julai 09,2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara (Sabasaba), na kufika katika Banda la Chuo hicho ambapo pamoja na mambo mengine alipata nafasi ya kusikiliza kazi za kibunifu zilizifanywa na wanafunzi wa Chuo hicho. Dk. Mramba…

Read More

Mchechu achangisha Sh.117.8 Million ujenzi wa kanisa

Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh117.8 milioni kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Naibili, Siha, Kilimanjaro. Kati ya fedha hizo kwaajili ya jengo hilo mpya la ibada ambalo ujenzi…

Read More