Nyambui ashauri mambo matatu kukuza riadha

‎DAMIAN MASYENEN‎‎KUENDELEA kusuasua kwa riadha nchini kumemuibua mwanariadha mkongwe na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui ambaye ameshauri mambo matatu yatakayoupa hadhi mchezo huo. Nyambui ameyataja mambo hayo kuwa ni kupata wadhamini, mbio zinazoandaliwa katika maeneo mbalimbali nchini kuwa na maandalizi bora yatakayovutia wanariadha kushiriki pamoja na wadau na wanariadha kujitokeza kwa wingi pale mbio…

Read More

MJNUAT kutoa wahitimu wa kwanza mwakani

Butiama. Baada ya kusuasua kwa muda mrefu kuanza kutoa masomo, hatimaye Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT), kilichopo wilayani Butiama Mkoa wa Mara, kinatarajia kuwa na mahafali ya kwanza mwakani. Chuo hicho kilikaa miaka saba bila kuanza kutoa mafunzo kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo ukosefu wa rasilimali fedha. Akizungumza kwenye…

Read More

Washiriki wa Buildexpo Tanzania 2025 waitwa kujenga viwanda nchini

Dar es Salaam. Kampuni na taasisi mbalimbali zinazoshiriki katika maonesho ya biashara ya ujenzi, Afrika Mashariki yajulikanayo kama Buildexpo Tanzania 2025, zimetakiwa kuwekeza nchini kwa kuanzisha viwanda badala ya kuishia kushiriki maonyesho na kuzalisha bidhaa katika mataifa mengine. Wito huo umetolewa leo Jumatano Septemba 24, 2025 na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Janeth Lekashingo wakati…

Read More

MWANDISHI MKONGWE WA HABARI SAID NJUKI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE ARUSHA MJINI KUPITIA ACT-WAZALENDO

Na Pamela Mollel, Arusha. Zoezi la uchukuaji wa fomu za kugombea nafasi ya ubunge nchini linaendelea kushuhudia sura mpya na za kuvutia, ambapo leo Jumatatu, Agosti 25, 2025, mwandishi wa habari mkongwe, Said Salim Njuki, amejitokeza rasmi kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Njuki alifika mapema katika…

Read More

SENEGAL YAVULIWA UBINGWA AFCON 2025, MOROCCO YATANGAZWA MSHINDI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV SHIRIKISHO la Mpira Barani Afrika kupitia bodi ya (CAF,) imeamua kwamba Senegal wamefanikiwa “kujitoa mchezoni” (forfeit) na hivyo Morocco kutangazwa washindi wa michuano kwa ushindi wa 3-0 kwa mujibu wa sheria za mashindano. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na CAF na kuzua mijadala imeeleza kuwa Senegal walikiuka Kifungu cha 82…

Read More

KIKOSI CHA DHARURA NA UOKOAJI CHA BARRICK NORTH MARA CHAOKOA WANANCHI WALIOZINGIRWA NA MAJI TARIME

Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime  Faida za kuwepo mwekezaji mwenye uwezo, teknolojia za kisasa na mahusiano mazuri na jamii umedhihirika kutokana na Kikosi cha Dharura na Uokoaji (ERT) kutoka Mgodi…

Read More

MASHIMBA AZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO KATA YA MABWEPANDE

Mgombea udiwani wa Kata ya Mabwepande kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Andrew Mashimba, leo amezindua rasmi kampeni zake kwa kufanya mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mtaa wa Mabwepande. Katika mkutano huo, Mashimba alinadi sera na Ilani ya CCM, huku akieleza sababu zinazopaswa kuwashawishi wananchi wa Mabwepande kuendelea kuiamini CCM kuanzia ngazi ya urais, ubunge…

Read More