WIZARA YA NISHATI KIVUTIO MAONESHO WIKI YA CHAKULA TANGAo
……,……….. 📌Ni kwenye kutoa elimu ya masuala ya Nishati Safi ya Kupikia 📌Wananchi wamejitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya bei ya ruzuku ya shilingi 17,500/= 📍Tanga Ushiriki wa Wizara ya Nishati na taasisi zake (Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Maonesho ya Wiki ya Chakula duniani yanayoendelea jijini Tanga …