WIZARA YA NISHATI KIVUTIO MAONESHO WIKI YA CHAKULA TANGAo

……,……….. 📌Ni kwenye kutoa elimu ya masuala ya Nishati Safi ya Kupikia   📌Wananchi wamejitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya bei ya ruzuku ya shilingi 17,500/= 📍Tanga Ushiriki wa Wizara ya Nishati na taasisi zake (Wakala wa Nishati Vijijini (REA)  na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Maonesho ya Wiki ya Chakula duniani yanayoendelea jijini Tanga …

Read More

MCHENGERWA APIGA KURA YA MAONI RUFIJI

Mohamed Mchengerwa leo Agosti 4, 2025 akiwa katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Azimio kata ya Umwe Rufiji pamoja na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa kata ya Umwe wakisikiliza maelekezo kutoka Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Wajumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya, kuelekea kupiga kura za maoni…

Read More

Makamba asimulia mikiki aliyopitia Dk Ndugulile hadi ubosi WHO 

Dar es Salaam. Mbunge wa Bumbuli na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesimulia mambo aliyoyapitia, Dk Faustine Ndugulile hadi kutwaa ukurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika. Ndugulile aliyekuwa mkurugenzi mteule wa WHO Afrika, alifariki dunia Novemba 27, 2024 akipatiwa matibabu nchini India. Katika…

Read More

Kesho kicheko, maumivu | Mwananchi

Dodoma.  Mwaka mpya wa Serikali wa 2025/26 unaanza kesho Jumanne, Julai mosi, 2025 kwa bodaboda na wafanyabiashara kufurahia punguzo la tozo, ada huku wanywaji wa vilevi, wachezaji wa michezo ya kubashiri wakianza kuonja joto la kupanda kwa ushuru. Juni 24, 2025, Bunge lilipitisha bajeti ya Sh56.49 trilioni katika mwaka 2025/26. Bajeti hiyo inayoanza kutekelezwa kesho,…

Read More

Simba ya Fadlu yamkosha Azim Dewji

SIMBA imerudi nchini ikiwa na tiketi yake mkononi ya kucheza robo fainali ya sita kwenye mashindano ya Caf na kwenye msafara wa timu hiyo alikuwemo mfadhili wao wa zamani, Azim Dewji, ambaye ameshuka na maneno mazito juu ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Fadlu Davids. Dewji katika mechi mbili za hivi karibuni ambazo Simba imeenda…

Read More

JAMII YAHIMIZWA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA

Na.Elimu ya Afya kwa Umma. WANANCHI Mkoani Morogoro wamehimizwa kuzingatia matumizi sahihi ya dawa ili kuepuka usugu unaoweza kusababishwa na matumizi holela bila ushauri wa daktari. Wito huo umetolewa Mkoani Morogoro na Mfamasia kutoka Manispaa ya Morogoro Adam Said wakati akitoa elimu ya Afya kuhusu matumizi sahihi ya dawa kwa waendesha bodaboda na bajaji(JUWATA) ,Wafanyabiashara…

Read More

TANZANIA NA UTURUKI ZAWEKA LENGO KUBWA LA KIBIASHARA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,na Kaimu Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Bw. Ali Goktug IPEK,wakibadilishana Mkataba mara baada ya kusaini Azimio la Kamati ya Pamoja ya Biashara (JTC) kati ya Tanzania na Uturuki hafla iliyofanyika leo Julai 23,2025 jijini jijini Dar es Salaam. Na.Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeweka malengo makubwa ya…

Read More

Kuhifadhi Urithi wa Kitamaduni – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Jan Lundius (Stockholm, sweden) Jumatano, Novemba 06, 2024 Inter Press Service Inadumu zaidi kuliko shaba, juu kuliko ya Faraopiramidi ni mnara ambao nimeunda,umbo la upepo wa hasira au mvua yenye njaahawezi kubomoa, wala safu zisizohesabikaya miaka ambayo hutembea kwa karne nyingi. Sitakufa kabisa:sehemu fulani yangu itamdanganya mungu mke wa kifo. Ndivyo alivyoandika, bila…

Read More