Dk Nchimbi atoa agizo Wizara ya Kilimo
Mbeya. Wakati Serikali ya Tanzania ikiendelea kutafuta ufumbuzi wa changamoto ya ardhi ya kilimo wilayani Mbarali, Wizara ya Kilimo imeagizwa kufanya mazungumzo na mmoja wa wamiliki wa mashamba makubwa ili kuachia moja ya maeneo yake kwa ajili wakulima wa Mlonga na Mnazi. Agizo hilo limetolewa leo Alhamisi, Aprili 18, 2024 na Katibu Mkuu wa Chama…