Ajali yaua sita Rorya | Mwananchi

Rorya. Watu sita wamefariki dunia papo hapo na mmoja kujeruhiwa baada ya gari walikokuwa wakisafiria kugonga kwa nyuma gari lililokuwa limeegeshwa barabarani baada ya kuharibika. Ajali hiyo imetokea katika Kijiji cha Buganjo wilayani Rorya wakati gari aina ya Toyota Succeed likiwa limebeba watu saba likiwa linatoka mjini Tarime kuelekea Kijiji cha Busurwa wilayani Rorya, liligonga…

Read More

Tanzania yasajili rasmi dawa mpya kudhibiti VVU

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), hatua inayotajwa kuleta mapinduzi katika tiba na kinga dhidi ya maambukizi hayo nchini. Dawa hiyo ya sindano inayozuia maambukizi ya VVU, yenye uwezo wa kutumika kama mbadala wa ARV’s kwa wenye maambukizi…

Read More

UN Yazindua Rufaa ya Kibinadamu ya Dola Milioni 300 kwa Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Mnamo tarehe 5 Machi, maelfu ya watu, wakiwemo watoto wengi, walikimbia makazi yao kusini na vitongoji vya kusini mwa Beirut, huku wengi wakikusanyika mitaani au kujaribu kufikia maeneo salama. Watoto ni miongoni mwa walioathirika zaidi huku familia zikikabiliwa na kuhamishwa, kutokuwa na uhakika na ufikiaji mdogo wa huduma muhimu. Credit: UNICEF Lebanon na Naureen Hossain…

Read More

JKU yang’olewa kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika

Yei Joint Stars ya Sudan Kusini imeanza kwa ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKU ya Zanzibar kwenye mechi ya kwanza ya kundi C la michuano ya kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex, Nairobi, Kenya. Matokeo hayo yanaifanya JKU kuondolewa kwenye mashindano hayo ya Cecafa kwa Wanawake…

Read More

Safari ya mjamzito aliyebebwa kwa machela kwenda kujifungua aeleza maumivu, ushujaa na furaha

Kilolo. Nadhani tunakumbuka picha ya mama mjamzito kutoka Kiwalamo, wilayani Kilolo, aliyebebwa kwa machela na wanakijiji akiwa katika uchungu wa kujifungua kutokana na barabara mbovu hadi Hospitali ya Dabaga kwenda kujifungua. Hii ni simulizi ya kishujaa ya Zaineth Kipingi, mama wa Moreen, aliyejifungua kwa mara ya kwanza Juni mwaka huu akibebwa kwenye machela kutoka Kiwalamo…

Read More

MAHUBIRI: Usikubali kupokea taarifa mbaya

Bwana Yesu asifiwe naitwa Mwalimu George Mbwambo kutoka Dar es salaam Karibu kwenye mahubiri ya siku ya Leo yenye kichwa kinachosema ‘Namna amani ya Kristo inavyofanya kazi kwenye maisha ya mtu” Kila mwanadamu hutamani kuishi maisha ya utulivu, usalama na furaha ya kweli. Lakini mara nyingi dunia hii hujaa misukosuko, hofu na mashaka. Watu wengi…

Read More