Usafiri SGR kuanza kesho sababu zikitajwa

Mpwapwa. Serikali imetangaza usafiri wa treni ya mwendo kasi (SGR) utaanza kesho jioni. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 2, 2025 na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbalawa wakati akizungumza na wananchi wa Gulwe wilayani Mpwapwa. Waziri Profesa Mbalawala ametaja sababu za kusimamishwa usafiri huo ni kufanya uhakiki wa miundombinu ya reli yote kwa baadhi…

Read More

MKOA WA TANGA WAENDELEA KUIMARIKA KATIKA USALAMA WA CHAKULA

 Na MASHAKA MHANDO, Tanga MKOA wa Tanga umeendelea kuimarika katika usalama wa chakula baada ya kurekodi ziada ya zaidi ya tani milioni moja, huku Mkuu wa Mkoa huo, Balozi Dkt. Batilda Burian, akiwataka wananchi na viongozi kuchukua hatua madhubuti kudhibiti mfumuko wa bei na uharibifu wa mazao. Akizungumza katika mahojiano maalum jana kufuatia agizo la…

Read More

Trump, Kamala jino kwa jino kampeni za lala salama

Marekani. Zikiwa zimebaki siku mbili kufanyika uchaguzi wa Marekani, Novemba 5, 2024, wagombea urais, Donald Trump wa Republican na Kamala Harris wa Democrats, wameendelea na kampeni za lala salama katika majimbo yasiyo ngome ya chama chochote. Viongozi hao wa vyama vya Democrats na Republican walielekea jimbo la North Carolina jana Jumamosi Novemba 2, 2024 Kamala…

Read More

CCM Tanga yaagiza uchunguzi miradi yenye harufu ya rushwa

Tanga. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kimeiagiza Serikali ya mkoa huo kuchunguza miradi ya maendeleo inayojengwa ambayo kuna dalili za rushwa na kuwachukulia hatua watakaobainika. Agizo hilo limetolewa leo Septemba 29, 2024 na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga, Rajabu Abdallah wakati akifungua kikao cha kupokea taarifa ya mkoa kuhusu utekelezaji wa ilani…

Read More

Hidaya, kipindupindu, mafuriko vyatishia ukuaji wa maendeleo

Dar es Salaam. Unaweza kusema baadhi ya nchi za Afrika Mashariki zipo katikati ya majanga ya asili. Majanga hayo yametokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya baadhi ya nchi za Afrika Mashariki ambazo  zimesababisha vifo, majeraha, upotevu wa mali, uharibifu wa miundombinu na mlipuko wa magonjwa. Hadi sasa Tanzania, Kenya, Rwanda, Burundi na…

Read More