‘Waliotumwa na afande’ wafikishwa mahakamani, wasomewa mashtaka mawili

Dodoma. Watu wanne wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Agosti 19, 2024 wamefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka mawili. Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Kanda Dodoma na kusomewa mashtaka ya kubaka kwa kikundi (gang rape) na kumwingilia kinyume na maumbile binti ambaye hakutajwa…

Read More

Chadema wamkataa jaji kesi kugombea rasilimali

Dar es Salaam.  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Bodi ya Wadhamini wake waliosajiliwa, kimewasilisha maombi ya kumtaka Jaji Hamidu Mwanga anayesikiliza kesi yake ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali za chama, ajiondoe kwenye kesi hiyo. Pia chama hicho kimefungua shauri la maombi kikiiomba Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, iondoe amri zake…

Read More

Mzozo kati ya Klopp na Salah watatuliwa..

Mkufunzi wa Liverpool Jürgen Klopp amesema kutoelewana kwake na fowadi Mohamed Salah wakati wa mechi ya wikendi iliyopita huko West Ham kumetatuliwa “kabisa”. Salah alizozana na meneja Jürgen Klopp wakati Liverpool ikitoka sare ya 2-2 kwenye Uwanja wa London Stadium Jumamosi. Klopp na Salah walionekana kutoelewana wakati mchezaji huyo akisubiri kutambulishwa kutoka benchi zikiwa zimesalia…

Read More

Kipa Singida Black Stars aibua gumzo Nigeria

Gwiji wa soka nchini Nigeria, Yakubu Aiyegbeni, ameibuka na kuhoji uamuzi wa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo, Eric Chelle, wa kumjumuisha kipa anayekipiga nchini Tanzania, Amas Obasogie, kwenye kikosi chake kilichoshindwa kufikia lengo la kufuzu Kombe la Dunia 2026. Nigeria ilishindwa mtihani huo, kwa kufungwa na DR Congo kwa mikwaju ya penalty…

Read More

Makamu wa Rais apongeza ukaribu wa benki ya NMB na serikali

 Arusha. Makamu wa Rais Dr Philip Mpango ameipongeza benki ya NMB kwa jinsi inavyoshirikiana na serikali katika matukio mbalimbali ya kijamii na kiuchumi nchini. Amesema  kuwa kumekuwepo na mafanikio makubwa yaliyochagizwa na benki hiyo hasa katika kuhudumia jamii na kuwezesha shughuli  na matukio mbalimbali zinazofanywa na serikali. “Kila ninapoiona benki ya NMB ikishiriki katika matukio…

Read More

Msaada mtoto aliyeshuhudia matukio yanayoumiza hisia

Ripoti ya mwaka 2017 iliyotolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ustawi wa Watoto (Unicef), ilibainisha kuwa mtoto anayeishi kwenye maeneo yenye matukio ya vurugu kama mapigano, milipuko ya mabomu au mauaji hupata madhara kadhaa ya kisaikolojia. Hata katika mazingira ambayo mtoto si mlengwa wa moja kwa moja na matukio hayo, ile kushuhudia damu,…

Read More

ZEC kuandikisha wapigakura wapya 78,922

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inatarajia kuandikisha wapigakura wapya 78,922 waliotimiza umri wa miaka 18 kwa mujibu wa takwimu ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 katika uandikishaji wapigakura awamu ya pili kwa mwaka huu wa 2025. Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji George Kazi ametoa kauli hiyo leo Januari 17, 2025 alipofungua…

Read More