Lissu kujibu shitaka la uhaini leo kwa mara ya kwanza
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo anapandishwa kizimbani, Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, kwa ajili ya kesi ya uhaini inayomkabili, kwa ajili ya usikilizwaji wa awali (preliminary hearing – PH). Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa leo, Jumatatu Agosti 8, 2025 katika hatua hiyo na Jaji Mfawidhi…