CHINI YA RAIS SAMIA UKUSANYAJI WA MAPATO WAFIKIA TZS3.1TRILIONI MWAKA 2025 KUTOKA TZS1.72TRILIONI ZA MWAKA 2020

::::::::: Chini ya Rais Samia, mapato ya ndani yameongezeka kutoka shilingi trilioni 20.59 mwaka 2020|21 (wastani wa trilioni 1.72 kwa mwezi) hadi trilioni 29.83 mwaka 2023|24 (wastani wa trilioni 2.49 kwa mwezi) kwa sasa mapato yamefikia trilioni 3 kwa mwezi, huku kati ya Julai 2024 hadi Mei 2025 yakipanda zaidi kufikia wastani wa trilioni 2.83…

Read More

CHAN 2024: Wamorocco waingiwa ubaridi

KOCHA wa timu ya taifa ya Morocco kwa wachezaji wa ndani, Tarek Sektioui amekiri hajawa na muda wa kuangalia kwa undani mechi za Taifa Stars ambao watakabiliana nao, Jumamosi ya Agosti 22 kwenye mechi ya robo fainali mashindano ya CHAN 2024. Morocco ambayo ilimaliza nafasi ya pili kwenye msimamo wa kundi A ikiwa na pointi…

Read More

Mgambo waaswa kuwa nguzo ya kulinda amani

Morogoro. Askari wa Jeshi la Akiba (Mgambo) kundi la 64/2025 wametakiwa kuchukia na kupinga vitendo vyote vyenye dalili za kuhatarisha amani ya Taifa, huku wakiwa mstari wa mbele kuhubiri mshikamano wa kitaifa. Akizungumza leo Agosti 18, 2025 kwenye hafla ya kuhitimisha mafunzo hayo yaliyoshirikisha wahitimu 89, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala amesema vijana…

Read More

Fadlu ni kazi tu huko Misri

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amesema mazoezi anayoendelea kuyatoa katika kambi iliyopo nchini Misri yatampa picha ya wachezaji atakaoendelea kusalia nao na wale ambao watapewa mkono wa kwaheri. Fadlu ameliambia Mwanaspoti kwamba, bado hawajafunga usajili na endapo kukitokea mahitaji ya kutaka wachezaji wengine watafanya hivyo na kuachana na wale ambao hawaoni umuhimu wa kuendelea nao…

Read More

Sababu kupandishwa hadhi mabaraza haya Zanzibar

Unguja. Miradi  ya maendeleo, kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi, kuchangia asilimia 10 za kuwawezesha wajasiriamali, ongezeko la mapato na kutekeleza miradi ni miongoni mwa sababu za kupandishwa hadhi ya Baraza la Mji Kati na Halmashauri ya Wilaya Kusini  kuwa Manispaa na Baraza la Mji. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Agosti 18,2025 katika hafla ya kukabidhi hati…

Read More

Ali Kamwe amjaza upepo Kagoma kuwatuliza Wamorocco

OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema katika jezi yake ataandika jina la kiungo wa Taifa Stars, Yusuph Kagoma ili kumhamasisha afanye vizuri mechi ya robo fainali dhidi ya Morocco kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Agosti 22 mwaka huu, Taifa Stars itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar kumenyana…

Read More

Rajoelina Mwenyekiti mpya wa SADC, Rais Samia apongezwa

Dar es Salaam. Mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umemchagua Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina kuwa Mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo, huku Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa akichaguliwa kuwa mwenyekiti atakayefuata. Mkutano huo umemchagua Rais wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa,…

Read More