Chadema tukiingia Ikulu tutavunja ukuta wa Mirerani – Heche

Mirerani. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche, amesema endapo chama hicho kitashinda na kuingia Ikulu, kitabomoa ukuta unaozunguka mgodi ya madini ya Tanzanite uliopo katika mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara. Ukuta unaozunguka mgodi wa madini ya Tanzanite katika mji mdogo wa Mirerani, wenye urefu wa kilomita 24.5, ulijengwa katika utawala wa…

Read More

NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Yanga yaihenyesha Simba kibabe

KWA sasa kuna kelele nyingi kuhusu Yanga kuifunga Simba mara nne mfululizo, lakini kama hujui ni, Simba iliwahi kuhenyeshwa kwa miaka mitano ikicheza mechi 12 mfululizo bila kuonja ushindi wowote mbele ya watani wao. Balaa hilo kwa Simba lilianzia Septemba 5, 1981 hadi ilipokuja kujikomboa Agosti 23, 1986 huku ikiwa imecheza mechi 12 mfululizo ikitoka…

Read More

Mtoto wa miaka mitatu adaiwa kuuawa kwa kipigo Kahama

Shinyanga. Mtoto Sofia Ndoni (3) amefariki dunia kwa madai ya kushambuliwa kwa kipigo sehemu mbalimbali za mwili wake na kisha kukabwa shingo na bibi yake Christina Kishiwa aliyekuwa akiishi naye Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Mtoto Sofia enzi za uhai wake alikuwa akiishi na mtuhumiwa ambaye ni mama mdogo…

Read More

Kocha Yanga afichua siri ya Mpanzu

KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita ya DR Congo aliyewahi kumfundisha, winga mpya wa Simba, Elie Mpanzu amefichua kama Wekundu wa Msimbazi wanataka kumfaidi vilivyo nyota huyo basi kocha Fadlu Davids anapaswa kumtumia tofauti. Kocha huyo,  Raoul Shungu aliyasema hayo jana alipozungumza na Mwanaspoti kutoka DR Congo akieleza namna Simba ilivyolanda dume kumsajili…

Read More

Kiasi gani ni kikubwa sana kwa Mlima Everest? Je, si wakati wa Sagarmatha Kupumzika – Masuala ya Ulimwenguni

Kambi ya msingi ya Mt. Everest katika wiki ya pili ya Mei 2024. Katika miaka ya hivi majuzi, idadi ya wapandaji milima imekuwa ikiongezeka. Katika misimu ya kupanda mlima, kambi ya msingi inaonekana kama makazi ya rangi ya jumuiya ya wapanda milima. Mkopo: Tanka Dhakal/IPS Maoni na Tanka Dhakal (kathmandu) Jumatatu, Septemba 16, 2024 Inter…

Read More

Ndoa za ‘sogea tuishi’ na mtazamo kisheria, kijamii

Unazijua ndoa za sogea tuishi? Ndoa hizi ziko hivi, yeyote kati ya mwanamke au mwanamume anahamia kwa mwenzie na kuanza kuishi kinyumba bila kufuata taratibu za kisheria, kidini au hata za kimila. Wapo wanaoishi hadi miaka 20, majirani zao wakijua ni mke na mume, wanazaa watoto na wengine kupata hadi wajukuu bila kufunga ndoa inayotambulika…

Read More