Makamu wa Rais Nchimbi Ashiriki na Wananchi Katika Kumbukizi ya Hayati Magufuli
Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Chato, Geita – 17 Machi 2026 – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameiungana na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi katika Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli….