CHAN 2024: Benni McCarthy aipiga kijembe Taifa Stars

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy ametoa kauli inayoonekana kama ni kijembe kwa Taifa Stars ya Tanzania, huku akisisitiza wanapaswa kujipanga kikamilifu kwa mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 dhidi ya Morocco ambayo wao waliifunga katika makundi. Kenya iliibuka kinara wa Kundi A lililojulikana kama ‘kundi la kifo’ ambalo pia lilihusisha Morocco na…

Read More

DKT. KIMAMBO AWATAKA WATAALAM WA AFYA MUHIMBILI KUFUATA MIONGOZO YA KITAIFA NA KIMATAIFA KATIKA UTOAJI HUDUMA ZA DAMU

 :::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Dkt. Delilah Kimambo amewataka wataalam wa afya kuendelea kufuatilia miongozo ya kitaifa na kimataifa katika utoaji wa huduma za damu ili kupunguza hatari zinazoweza kujitokeza kwa wagonjwa wanaofika Hospitalini hapo. Akizungumza hii leo Jijini Dar es Salaam kwenye ufunguzi wa mafunzo yanayolenga kujadili na kuelewa madhara yanayoweza kujitokeza…

Read More

CHAN 2024: Mechi 32 mabao 66, Mmoroco akimbiza

KABLA ya mechi mbili za jana za Kundi C, rekodi zilikuwa zikionyesha jumla ya mabao 66 yametinga wavuni kupitia mechi 32, huku mshambuliaji Oussama Lamlioui akiongoza orodha ya wafungaji akiwaburuza wachezaji wa timu nyingine 18 zinazoshiriki CHAN 2024. Michuano hiyo ya CHAN ilianza rasmi Agosti 2 na inatarajiwa kufikia tamati Agosti 30 na bingwa atafahamika,…

Read More

TRA YAZINDUA DAWATI LA KUWEZESHA BIASHARA NCHINI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi dawati maalum la kuwezesha biashara nchini (Trade Facilitation Desk) litakalokuwa na jukumu la kusimamia ustawi wa biashara kwa nchi nzima. Uzinduzi huo umefanywa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda katika Soko Kuu la Chifu Kingalu mjini Morogoro tarehe 16 Agosti 2025 ikiwa ni sehemu ya…

Read More

Serikali yafurahishwa na taaluma St Anne Marie Academy he

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imempongeza Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, Dk Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa ambao ameufanya kwenye sekta ya elimu. Pia imeipongeza shule hiyo kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka katika mitihani ya kitaifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa…

Read More

Sababu mahakama kuzuia matangazo ‘live’ kesi ya Lissu‎

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru maelezo ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kusomwa huku ikirushwa mubashara kama ambavyo kesi hiyo imekuwa ikifanyika. Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu,…

Read More

Sababu mahakama kazuia matangazo ‘live’ kesi ya Lissu‎

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru maelezo ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kusomwa huku ikirushwa mubashara kama ambavyo kesi hiyo imekuwa ikifanyika. Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu,…

Read More