CCM YAMPITISHA DEUGRAS MASABURI KUWA UBUNGE JIMBO LA KIVULE JIJINI DAR ES SALAAM
Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM)kimempitisha mwanachama wake Dougras Didas MASABURI kuwa Mgombea ubunge wa Jimbo la Kivule jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu. Masaburi ambaye aliongoza katika mchakato wa kura za maoni ndani ya Chama hicho ametangazwa kuwa mgombea ubunge katika Jimbo hilo baada ya Halmashauri Kuu…