SERIKALI YAWEKA UWAJIBAKAJI SEKTA YA ARDHI

 Na Munir Shemweta, WANMM  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, ameutumia uzinduzi wa “Samia Ardhi Kliniki” jijini Dar es Salaam kutangaza msimamo mkali wa Wizara dhidi ya vitendo vya uzembe na ucheleweshaji wa huduma kwa wananchi.   Katika hafla hiyo, Waziri Akwilapo amesema Wizara imeamua “kujivua gamba” na kuanza ukurasa…

Read More

Sh1.7 bilioni zanufaisha vikundi 165 vya wanawake Mbarali

Mbarali. Katika kuhakikisha wanawake wanawezeshwa kiuchumi, Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya, imetoa zaidi ya Sh1.7 bilioni kwa vikundi 165 vya wanawake pekee. Hatua hiyo ni kutekeleza maelekezo ya Serikali, kuzitaka halmashauri nchini kutoa mikopo ya asilimia 10 kwa makundi ya wajasiriamali wadogo, kwa lengo la kukuza uchumi wa kipato. Kauli hiyo imetolewa…

Read More

Gamondi amtaja Tchakei, suluhu ya Wahabeshi

BAADA ya kuambulia pointi moja kupitia suluhu ya mechi ya kwanza ya michuano ya Kombe la Kagame 2025, kocha Miguel Gamondi amesema walikosa mchezaji mbunifu wa kufungua ukuta wa wapinzani wao, Coffee ya Ethiopia huku akimtaja Marouf Tchakei. Singida ilipata suluhu ya mechi za Kundi A ya michuano hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali…

Read More

Mikataba hewa, marejesho yawatesa bodaboda

Mbeya. Waendesha pikipiki ‘bodaboda’ jijini Mbeya wamesema ili kupunguza wimbi la ajali za mara kwa mara barabarani ni kuwapo mikataba rasmi na mikopo isiyoumiza. Wamesema chanzo cha wao kutajwa kuwa chanzo cha ajali za barabarani ni kuwahi abiria ili kukusanya marejesho ya waajiri wao na kukamilisha mikopo waliyonayo. Wakizungumza katika hafla fupi ya maadhimisho ya…

Read More

Shabiki Simba amfuata Tshabalala | Mwanaspoti

Unayajua mahaba binafsi wewe? Soma hapa! Shabiki mmoja wa Simba ameshtua baada ya kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi akimfuata beki wake mmoja wa zamani. Shabiki huyo, Shakur Abubakar, ambaye amegoma asipigwe picha akihofia kuchukiwa na wenzake wa Simba, amesema bado haamini kama Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ amehamia Yanga. Shakur amesema…

Read More

Mechi za kujiuliza Ligi Kuu Bara

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea leo kwa mechi mbili kupigwa ambapo saa 8:00 mchana, Pamba Jiji itaikaribisha TRA United kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, huku saa 10:15 jioni Mtibwa Sugar ikipambana na Fountain Gate.Hizi ni mechi za kujiuliza kwa timu zote kwani hazijapata ushindi tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu. Kwa Pamba…

Read More

Barnabas aanika mipango Transit | Mwanaspoti

KOCHA mpya wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema ataendelea kusimamia malengo ya timu hiyo ya kuhakikisha inapanda Ligi Kuu Bara msimu huu, licha ya ushindani mkubwa uliopo katika Ligi ya Championship, hususani mechi hizi za mwishoni. Akizungumza na Mwanaspoti, Barnabas, amesemalicha ya kukabidhiwa majukumu hayo makubwa, ila jambo analojivunia ni kukaa na timu hiyo kwa…

Read More