Fountain , KenGold ukilenga tu imooo
ACHANA na taarifa za kushuka daraja kwa KenGold na Kagera Sugar kuna timu ambazo Ligi Kuu Bara msimu huu, kila lango lao likilengwa huwa imoo, kwa kuruhusu mabao mengi hadi sasa ligi ikisaliwa na mechi za raundi mbili kufungia msimu mbali na kiporo cha Kariakoo Dabi. Fountain Gate iliyopo nafasi ya 14 ndiyo inayoongoza kwa…