
Sababu kupandishwa hadhi mabaraza haya Zanzibar
Unguja. Miradi ya maendeleo, kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi, kuchangia asilimia 10 za kuwawezesha wajasiriamali, ongezeko la mapato na kutekeleza miradi ni miongoni mwa sababu za kupandishwa hadhi ya Baraza la Mji Kati na Halmashauri ya Wilaya Kusini kuwa Manispaa na Baraza la Mji. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Agosti 18,2025 katika hafla ya kukabidhi hati…