Sababu kupandishwa hadhi mabaraza haya Zanzibar

Unguja. Miradi  ya maendeleo, kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi, kuchangia asilimia 10 za kuwawezesha wajasiriamali, ongezeko la mapato na kutekeleza miradi ni miongoni mwa sababu za kupandishwa hadhi ya Baraza la Mji Kati na Halmashauri ya Wilaya Kusini  kuwa Manispaa na Baraza la Mji. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Agosti 18,2025 katika hafla ya kukabidhi hati…

Read More

Ali Kamwe amjaza upepo Kagoma kuwatuliza Wamorocco

OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema katika jezi yake ataandika jina la kiungo wa Taifa Stars, Yusuph Kagoma ili kumhamasisha afanye vizuri mechi ya robo fainali dhidi ya Morocco kwenye Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). Agosti 22 mwaka huu, Taifa Stars itashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar kumenyana…

Read More

Rajoelina Mwenyekiti mpya wa SADC, Rais Samia apongezwa

Dar es Salaam. Mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umemchagua Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina kuwa Mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo, huku Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa akichaguliwa kuwa mwenyekiti atakayefuata. Mkutano huo umemchagua Rais wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa,…

Read More

CHAN 2024: Benni McCarthy aipiga kijembe Taifa Stars

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy ametoa kauli inayoonekana kama ni kijembe kwa Taifa Stars ya Tanzania, huku akisisitiza wanapaswa kujipanga kikamilifu kwa mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 dhidi ya Morocco ambayo wao waliifunga katika makundi. Kenya iliibuka kinara wa Kundi A lililojulikana kama ‘kundi la kifo’ ambalo pia lilihusisha Morocco na…

Read More

DKT. KIMAMBO AWATAKA WATAALAM WA AFYA MUHIMBILI KUFUATA MIONGOZO YA KITAIFA NA KIMATAIFA KATIKA UTOAJI HUDUMA ZA DAMU

 :::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Dkt. Delilah Kimambo amewataka wataalam wa afya kuendelea kufuatilia miongozo ya kitaifa na kimataifa katika utoaji wa huduma za damu ili kupunguza hatari zinazoweza kujitokeza kwa wagonjwa wanaofika Hospitalini hapo. Akizungumza hii leo Jijini Dar es Salaam kwenye ufunguzi wa mafunzo yanayolenga kujadili na kuelewa madhara yanayoweza kujitokeza…

Read More

CHAN 2024: Mechi 32 mabao 66, Mmoroco akimbiza

KABLA ya mechi mbili za jana za Kundi C, rekodi zilikuwa zikionyesha jumla ya mabao 66 yametinga wavuni kupitia mechi 32, huku mshambuliaji Oussama Lamlioui akiongoza orodha ya wafungaji akiwaburuza wachezaji wa timu nyingine 18 zinazoshiriki CHAN 2024. Michuano hiyo ya CHAN ilianza rasmi Agosti 2 na inatarajiwa kufikia tamati Agosti 30 na bingwa atafahamika,…

Read More

TRA YAZINDUA DAWATI LA KUWEZESHA BIASHARA NCHINI

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi dawati maalum la kuwezesha biashara nchini (Trade Facilitation Desk) litakalokuwa na jukumu la kusimamia ustawi wa biashara kwa nchi nzima. Uzinduzi huo umefanywa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda katika Soko Kuu la Chifu Kingalu mjini Morogoro tarehe 16 Agosti 2025 ikiwa ni sehemu ya…

Read More