Mastaa Stars waondoka CHAN kibosi
TANZANIA ikiwa mwenyeji wa CHAN 2024 ikishirikiana na Kenya na Uganda, imeaga mashindano baada ya kuondolewa na Morocco katika hatua ya robo finali lakini mastaa wa timu hiyo wamendoka na mkwanja wa maana usipime. Stars ya awamu hii ilikuwa na mvuto wa aina yake kuanzia namna inavyocheza na zaidi ikaweka rekodi ya kucheza robo fainali…