Mkuu wa Umoja wa Mataifa ampongeza 'mlinda amani, bingwa wa haki za binadamu', Rais wa zamani Jimmy Carter – Global Issues

Mwanasiasa huyo wa chama cha Democratic aliishi muda mrefu zaidi kuliko rais yeyote katika historia ya Marekani, akihudumu kwa muhula mmoja kati ya 1977 na 1981, akiendelea kuharibu sifa yake katika jukwaa la kimataifa kwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel, na kuanzisha kituo kikuu cha diplomasia na utatuzi wa migogoro nchini. aina ya Kituo…

Read More

Mahakama yaamuru mshtakiwa atoe wapangaji aliowapangisha

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru mshtakiwa Madina Bille, aliyekuwa anakabiliwa na shtaka la kuingia kwa jinai katika nyumba ya Zulekha Abdulwahid, kwenda kuwatoa wapangaji aliowapangisha ndani ya nyumba hiyo mara moja. Pia, Mahakama hiyo imemuachia huru mshtakiwa huyo kwa masharti ya kutokufanya kosa lolote la jinai ndani ya miezi 12, kuanzia…

Read More

AMSHA AMSHA ZA MSIMU MPYA NA BETWAY.

Dar es Salaam, Tanzania – 8 Agosti, 2024 Ikiwa ni maandalizi ya kujiandaa na msimu mweingine wa burudani katika ligi kubwa duniani, Kampuni ya ubashiri Betway iko pamoja na wateja kuwaba burudani na huduma bora za kubashiriki. Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko Betway Tanzania Calvin Mhina amesema walishiriki vyema…

Read More

Ndugu watavunja ndoa kama mtawawezesha

Kuna usemi maarufu kuwa unaweza kuchagua marafiki, mwenza na hata maadui lakini si ndugu. Uwatake, usiwatake, ndugu wapo. Ndugu hatuwatengenezi wala kuwatafuta bali kutengenezewa na wazazi wetu. Hivyo, ndugu haepukiki katika maisha. Hatuna maana kuwa ndugu hawahitajiki. La hasha! Wanahitajika ila si katika kila jambo. Wanahitajika kwenye msaada na uzuri ili si katika hujuma. Leo,…

Read More

Watoto kutibiwa moyo bure Zanzibar

Unguja. Changamoto ya gharama inayowakabili wazazi ambao watoto wao wana matatizo ya moyo, huenda imepata ufumbuzi baada ya kampuni ya simu ya Vodacom kulipia asilimia 30 ya gharama za matibabu. Kwa kawaida visiwani hapa watoto wenye matatizo ya moyo asilimia 70 ya gharama za matibabu hutolewa na Serikali huku asilimia 30 ikitolewa na wazazi wa…

Read More

Askofu Kilaini asimulia anavyomkumbuka Askofu Rugambwa

Dar es Salaam. Wakati waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania na duniani wakiomboleza kifo cha Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, mwalimu na rafiki yake wameeleza namna atakavyokumbukwa. Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Jovitus Mwijage, katika tanzia kwa maaskofu, mapadri, watawa na waamini leo Septemba 17, 2025 amesema Askofu Mkuu Rugambwa alifariki dunia jana Septemba 16, jioni…

Read More

Opah anaendeleza uthubutu kwa wanawake

BAADA ya kutumikia timu ya wanawake ya FC Juarez kwa msimu mmoja, juzi nahodha wetu wa Twiga Stars, Opah Clement alijiunga rasmi na SD Eibar ya Hispania. Ni uhamisho ambao hapa kijiweni umetufurahisha sana kwa vile kwanza anaenda katika nchi ya kisoka hasa ambayo ina moja kati ya ligi bora za soka za wanawake. Baadhi…

Read More

KISHINDO CHA TAMASHA LA UTAMADUNI RUVUMA,RAIS SAMIA APONGEZWA

   Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed ,akizungumza na wamiliki wa hoteli kuhusu fursa za Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Baadhi ya wamiliki wa hoteli wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed (hayupo pichani) wakati  ,akizungumza na wamiliki wa hoteli kuhusu fursa za Tamasha la Kitaifa la Utamaduni *Rais Samia apongezwa *Wafanyabiashara…

Read More

Pacome: Nyie subirini | Mwanaspoti

KUELEKEA katika mechi ya dabi itakayochezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa, kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua amefunguka kuhusu mwanzo wake mpya. Kupitia Mwanaspoti iliwahi kuwatarifu mashabiki kuwa, kocha wa kikosi hicho, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa katika mechi hiyo hataangalia majina makubwa ya wachezaji, lakini ubora wa wachezaji. Akizungumza na Mwanaspoti, staa huyo wa kimataifa…

Read More