Vifo vya kujiua vyageuka tishio

Dodoma/Dar.  Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya kuzuia kujiua duniani, imeelezwa idadi ya wanaojiua nchini inaongezeka, wanaume wakiongoza. Kuokana na hilo, mamlaka zinazohusika zimetakiwa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na hali hiyo. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, jitihada kadhaa zinachukuliwa zikiwamo kampeni za uhamasishaji, kuboresha huduma za ushauri katika vituo vya afya na kuanzisha namba…

Read More

Polisi Dar Wakamata Wawili Kwa Mauaji ya Athumani Nyanza

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema jeshi la polisi limefanikiwa kuwakamata watu wawili akiwemo Rehema Maulidi (42), kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Athumani Nyanza. Akizungumza na vyombo vya habari, Kamanda Muliro alisema kuwa mtuhumiwa huyo pamoja na mwenzake mmoja ambaye…

Read More

Mvua ilivyoua watano, kukata mawasiliano

Mikoani. Mvua zinazoendelea kunyesha katika baadhi ya mikoa nchini, zimesababisha vifo vya watu watano, uharibifu wa miundombinu ya majengo, barabara pamoja na kuathiri mazao. Pia, zimesababisha upotevu wa muda kwa wananchi, wanafunzi kukosa masomo na kupanda kwa gharama za usafiri katika maeneo mbalimbali yanayoendelea kukumbwa na mvua hizo. Mkoani Dodoma, mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia…

Read More

SERIKALI YAWEKA UWAJIBAKAJI SEKTA YA ARDHI

 Na Munir Shemweta, WANMM  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, ameutumia uzinduzi wa “Samia Ardhi Kliniki” jijini Dar es Salaam kutangaza msimamo mkali wa Wizara dhidi ya vitendo vya uzembe na ucheleweshaji wa huduma kwa wananchi.   Katika hafla hiyo, Waziri Akwilapo amesema Wizara imeamua “kujivua gamba” na kuanza ukurasa…

Read More