CEO Namungo abwaga manyanga | Mwanaspoti

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Namungo FC, Omar Kaya ametangaza kujiuzulu wadhifa huo. Kaya ambaye amewahi kuwa katibu mkuu wa Yanga, amethibitisha uamuzi huo kupitia ukurasa wake wa Instagram. “Mimi Omar Kaya siku ya leo Agosti 30, 2024 nimewasilisha kwa viongozi barua ya kujiuzulu nafasi ya Utendaji Mkuu wa Klabu ya NamungoFC. “Hivyo…

Read More

Zanzibar yapiga marufuku upigaji makachu Forodhani

Mamlaka ya Mji Mkongwe Zanzibar imepiga marufuku upigaji wa makachu katika eneo la bustani ya Forodhani, baada ya kudaiwa kufanyika vitendo vinavyokiuka maadili. Taarifa iliyotolewa na mamlaka hiyo jana Jumapili, Desemba 22, 2024 imeeleza uamuzi huo umefikiwa baada ya kuona kuna ukiukwaji wa sheria, kanuni na miongozo yaliyojitokeza kwa vijana wa makachu katika eneo hilo….

Read More

Mido achungulia dirisha dogo mapema

KIUNGO wa Cosmopolitan, Gilbert Boniface amesema moja ya malengo yake makubwa ni kuhakikisha anapambana ili kucheza Ligi Kuu Bara, wakati dirisha dogo la usajili litakapofunguliwa Desemba mwaka huu, kwa ajili ya kutafuta changamoto mpya. Nyota huyo aliyefunga bao moja msimu uliopita akiwa na kikosi hicho, alisema ni muda sasa wa kuangalia fursa mpya baada ya…

Read More

Hofu makaburi yakigeuzwa ‘gheto’ Mbeya

Mbeya. Hofu imezuka maeneo jirani na makaburi ya Sabasaba jijini Mbeya, baada ya watu wasiojulikana kuyageuza sehemu ya kulala huku wakijifunika nguo nyeupe mithili ya sanda. Kwa mujibu wa wakazi wa maeneo hayo, si ajabu kukuta nazi zimevunjwa, vyungu na wakati mwingine watu kuogeshana hadharani katika njiapanda iliyopo karibu na makaburi hayo. Mwananchi kwa takriban…

Read More

Shirika latekeleza agizo ufungaji luku za maji

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikianza utekelezaji wa kuweka mita za malipo ya huduma za maji kwa kadiri mtu anavyotumia (Luku), Shirika la WaterAid limeanza kutekelezaji kwa kuwafungia wananchi mita hizo. Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Maji 2024/25 bungeni Dodoma Mei 9, 2024, Waziri Jumaa Aweso alisema kuwa matumizi ya mita za maji za malipo…

Read More

Matampi, Lawi waitesa coastal | Mwanaspoti

KUNA uhusiano mkubwa wa kuanza kufanya vibaya msimu huu kwa safu ya ulinzi ya Coastal Union na kukosekana uwanjani kwa kipa tegemeo, Ley Matampi na beki wa kati, Lameck Lawi. Tofauti na msimu uliopita ambao Coastal Union ilikuwa miongoni mwa timu zenye safu imara za ulinzi, mambo yameonekana kwenda kinyume msimu huu ambapo imeonyesha udhaifu…

Read More