Undani mgawanyo wa fedha za mchango wa Lissu, Chadema yajitenga
Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikijitenga na sakata la tuhuma za wizi wa fedha za mchango kwa ajili ya mwenyekiti wake, Tundu Lissu, chanzo cha habari kimeidokeza Mwananchi namna fedha hizo zilivyogawanywa miongoni mwa makada. Jana, Januari 29, 2026, familia ya mwanasiasa huyo ilieleza kuwa viongozi wa juu wa Chadema…