
Jasinta Makwabe Atoa Kauli Nzito Kuhusu Diamond Platnumz – Global Publishers
Last updated Sep 21, 2025 Mwanamitindo maarufu wa Afrika Mashariki, Jasinta Makwabe ‘Candy Boo’, amewasha moto mitandao baada ya kudaiwa kutoa kauli nzito inayozua mjadala mkubwa. Amesema staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, hana nafasi ya kumkwepa endapo akiamua kumvutia. Candy Boo amesema wazi: endapo atataka kupata mtoto na Diamond, jambo…