NI MAELFU KWA MAELFU YA WANANCHI SONGWE…RAIS DK. SAMIA AAHIDI MAKUBWA

 *Aweka wazi mpango wa kumaliza msongamano wa malori Tunduma mkoani Songwe *Agusia maboresho reli ya TAZARA,maegesho ya kisasa kuepusha malori barabarani Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tunduma  NI maelfu ya wananchi,ni maelfu ya wananchi, ni maelfu ya wananchi ! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea maelfu ya wananchi wa Tunduma katika Mkoa wa Songwe wamejitokeza kwa wingi  katika mkutano…

Read More

Mjadala kutokomeza ukatili kijinsia kufanyika Zanzibar

Unguja. Zanzibar inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa saba wa viongozi mbalimbali duaniani kuhusu miji na maeneo salama ya umma, mjadala mkuu ukilenga kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. Maeneo mengine yatakayojadiliwa ni namna ya kuanzisha na kuendeleza miji inayotumia teknolojia ya kisasa, kukuza utalii, biashara na uchumi wa buluu. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

Wiki ya Wananchi, kishindo cha vaibu

KILELE cha wiki ya Mwananchi kimehitimishwa kwa kishindo, huku kila shabiki akitoka meno nje akitamba mambo freshi na msimu mpya uanze. Yanga ilifanya tamasha hilo leo ambapo kilele chake kilikuwa palepale Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na mashabiki wa klabu hiyo kufurika kwa wingi. *Vinywaji kibao*Mapema tu ilikuwa mashabiki wakiwa wanaingia uwanjani,…

Read More

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUKAMILIKA DARAJA LA JEMA- OLDONYOSAMBU

………. 📌Miaka ya adha yafikia kikomo, usafirishaji wa mazao na huduma za kijamii sasa warahisishwa Ngorongoro  Wananchi wa Kata ya Oldonyosambu, wilayani Ngorongoro, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea daraja la mawe lenye urefu wa mita 45 katika Mto Mbaga linalounganisha vijiji vya Jema na Oldonyosambu. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi hao walisema kukamilika kwa daraja hilo…

Read More