Ukweli kuhusu ute na ulaji bamia

Mmoja wa wasomaji (jina limehifadhiwa) alieleza ameacha kununua mboga aina ya bamia kutokana na dhihaka aliyokutana nayo sokoni. Alieleza kuwa aliwasikia watu wakisema wanawake hununua mboga hiyo ili kuongeza ute katika maeneo ya uzazi. Hivyo, aliamua kuuliza swali kama kuna ukweli wowote kuhusiana na hilo. Jibu kwa kifupi, sio kweli ni potofu. Ukweli ni kuwa…

Read More

Taharuki yatanda wafanyakazi 216 kiwanda cha Chai Rungwe kufukuzwa kazi

Mbeya. Taharuki imetanda kiwanda cha Wakulima wa Chai kilichopo Katumba wilayani Rungwe mkoani Mbeya kufuatia wafanyakazi 216 kuandamana kwa mabango kupinga kufukuzwa kazi wakidai stahiki zao, huku wakiiomba serikali kuingilia kati. Imeelezwa kuwa tangu kufungwa kwa kiwanda hicho Mei 9 mwaka huu, zaidi ya wakulima 15,000 wameathirika na baadhi wameanza kutelekeza mashamba yao na wengine…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 1)

KIJIJI cha Mbwira, kilikuwa mbali na mjini.  Inawezekana ndio sababu ya maendeleo yake kuchelewa ikilinganishwa na vijiji vingine vinavyopakana navyo ambayo sasa vimeshakuwa miji. kwa sababu hata wananchi waliokwenda kuishi au kufanya kazi huko, walikuwa wakisita kurudi mara kwa mara na kujenga nyumba zao na za wazazi wao, au kuanzisha hata biashara ndogondogo. Kijuu juu,…

Read More

Fountain Gate kutambulisha nyota wapya

BAADA ya Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), kuridhia timu ya Fountain Gate kufanya usajili nje ya dirisha la usajili, uongozi wa kikosi hicho umepanga kuandaa tamasha maalumu la kuwatambulisha rasmi nyota wapya wa msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Mratibu wa Fountain Gate, Wendo Makau, alisema wamepokea taarifa hiyo kwa mikono miwili kwa…

Read More

Bangi ilivyo fupa gumu Tanzania

Dar es Salaam. Ripoti ya Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya Duniani ya mwaka 2024 imeonyesha bangi bado inaongoza kutumika zaidi duniani, takribani watu milioni 228 waliitumia mwaka 2022. Idadi hiyo ni sawa na asilimia nne ya watu wote duniani, ikiwa ni ongezeko la asilimia 28 katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Kwa mujibu…

Read More

Kocha Azam FC aweka ukuta mgumu

KITENDO cha kocha mpya wa Azam FC, Florent Ibenge katika kikosi chake kuwepo na viungo wakabaji saba, kimetafsiriwa katika sura mbili tofauti kikosi kipana na kubalansi timu. Viungo wakabaji waliopo Azam hadi sasa ni Sospeter Bajana, Sadio Kanouté, Himid Mao,Yahya Zayd,  Ever Meza, Adolf Mtasingwa na James Akaminko, jambo ambalo Mwanaspoti lilitafuta wadau ili kutoa…

Read More

Mrema akumbukwa Maonesho ya LANDROVER FESTIVAL .

Na Jane Edward, Arusha Wadau wa sekta ya utalii kutoka kampuni ya Classic Tours&Safaris ambao ni wamiliki wa hotel ya kitalii ya Ngurdoto Mountain Lodge iliyopo jijini Arusha wamesema uwepo wa maonyesho ya magari aina ya Landrover(LANDROVER FESTIVAL) imeleta fursa nyingi ya kuwakutanisha na watu kutoka maeneo mbalimbali na kupata fursa za kibiashara. Beatrice Dimitris…

Read More