Maeneo 14 kuleta mapinduzi Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Dodoma. Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2025/26, yenye jumla ya Sh476.65, bilioni imepangwa kutekelezwa katika maeneo makuu 14, yakiwemo kukamilisha ujenzi wa Bandari ya Uvuvi katika eneo la Kilwa Masoko. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dk Ashatu Kijaji, amewasilisha ombi kwa Bunge la kuidhinisha bajeti ya Sh476.65 bilioni kwa…

Read More

Nani yuko nyuma ya JKU, Uhamiaji?

SAKATA la wawakilishi wa Zanzibar kwenye michuano ya kimataifa kuamua kuchezea mechi zao zote ugenini limeibua sintofahamu kwa wadau. Huku wakihoji ; “Nini kiko nyuma ya timu hizo?” JKU itacheza dhidi ya Pyramids ya Misri mechi zote mbili ugenini sawa na Uhamiaji ambayo pia mechi zake za Shirikisho dhidi ya Al Ahly Tripoli ya Libya…

Read More

Wananchi kushirikishwa mchakato wa kumng’oa Gachagua

Nairobi. Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula ametangaza ushiriki wa umma katika hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Ijumaa, Oktoba 4, 2024. Kwa mujibu wa tovuti ya The Standard, mchakato huo utafanyika katika kaunti zote 47 na Katibu wa Bunge atatoa taarifa kamili kupitia matangazo ya vyombo vya habari kuanzia…

Read More

WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI

Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza majukumu na wajibu wa kukuza na kudumisha kanuni za demokrasia duniani kote. Leo Jumatano Septemba 18, 2024 wadau wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitumia siku hiyo kama sehemu ya maadhimisho ambapo kwa pamoja…

Read More

CCM Katavi yapiga marufuku makada kujipitisha majimboni

Katavi. Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Katavi, kimewaonya makada wake walioanza harakati hizo mapema kinyume na taratibu za chama hicho. Kwa mujibu wa duru za ndani ya chama hicho, Mkoa wa Katavi wenye majimbo matano ya uchaguzi, wamejitokeza zaidi ya makada 30 ambao wameanza kupitapita majimboni, jambo linalowapa presha wabunge walio madarakani. Akizungumza na…

Read More

Bahati mbaya ya Inonga ni nyakati, fedha

HENOCK Inonga aliondoka nchini mwaka jana kwenda Morocco kujiunga na AS FAR huku akiwa mchezaji ambaye hakuna klabu ya Tanzania haikutamani kuwa naye. Simba ilimruhusu kishingo upande aende Morocco kwa vile alikuwa mchezaji muhimu katika kikosi chao lakini hata watani zao wa jadi Yanga bila shaka wasingeweza kuchezea fursa ya kutomsajili iwapo angeamua kujiunga nao….

Read More

Mkutano wa Mwaka wa 7 wa ISGE na Kongamano la Kitaifa la 28 la AGOTA: Kuendeleza Upasuaji wa Tundu Dogo kwa Wanawake Barani Afrika

Zanzibar, Tanzania – 20/11/24 Shirika la Kimataifa la Upasuaji wa Wanawake (ISGE) na Chama cha Wanagyna na Wakunga wa Tanzania (AGOTA) wanatangaza Mkutano wa Kila Mwaka wa 7 wa ISGE pamoja na Kongamano la Kitaifa la 28 la AGOTA, litakalofanyika kuanzia Mei 21 hadi 24, 2025, katika Kisiwani Zanzibar. Mada ya mwaka huu, “Upasuaji wa…

Read More