NI MAELFU KWA MAELFU YA WANANCHI SONGWE…RAIS DK. SAMIA AAHIDI MAKUBWA
*Aweka wazi mpango wa kumaliza msongamano wa malori Tunduma mkoani Songwe *Agusia maboresho reli ya TAZARA,maegesho ya kisasa kuepusha malori barabarani Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tunduma NI maelfu ya wananchi,ni maelfu ya wananchi, ni maelfu ya wananchi ! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea maelfu ya wananchi wa Tunduma katika Mkoa wa Songwe wamejitokeza kwa wingi katika mkutano…