DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amewasili Songea, mkoani Ruvuma leo Septemba 19, 2025. Dk Nchimbi ataungana tena na Mgombea urais wa chama hicho, Dkt.Samia Suluhu Hassan anayetarajiwa kuwasili kesho ambapo watakutana mkoa mmoja tangu Agosti 28, mwaka huu walipozindua kampeni za chama hicho…

Read More

‘Glimmer of hope’ nchini Haiti huku kukiwa na mabadiliko ya mstari wa mbele wa magenge – Masuala ya Ulimwenguni

Takriban watu milioni 1.4 wengi wao katika mji mkuu wa Port-au-Prince wamelazimika kuhama makwao kutokana na ghasia za magenge, na kusababisha kile ambacho Umoja wa Mataifa umesema. Mtaalam Mteule wa hali ya haki za binadamu nchini HaitiWilliam O’Neill, ameita “kiwango kisicho na kifani cha uhamaji wa ndani.” Akizungumza na waandishi wa habari katika Makao Makuu…

Read More

SERIKALI KUSAIDIA ZAIDI SEKTA BINAFSI KUCHANGIA MAENDELEO YA KIUCHUMI InboxSearch for all messages with label Inbox

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb)(kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL), Bw. Paul Makanza, baada ya kikao chake na ujumbe kutoka kampuni hiyo, katika Ofisi Ndogo ya Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam, ambapo walijadili umuhimu wa kudumisha mazingira thabiti na yanayotabirika…

Read More

FYATU MFYATUZI: Nimewasamehe ‘mamluki’ waliokinukisha tukanuka

Juzi, Fyatu mmoja aliyefyatuka bila aibu wala woga akanifyatua na kuzusha kuwa nina uroho wa madaraka kana kwamba yeye hanao! Nani asiyependa madaraka? Kwanza, sikuamini ningehusishwa na dhambi hii ambayo chanzo chake ni shetani kutaka kumfyatua Sir God aliyemfinyanga asijue. Huwa nashangaa. Kwanini Sir God ‘mjua yote’ hakujua kuwa sheitwan angejaribu kumfyatua? Siishii hapo. Kifyatufyatu,…

Read More

Watawa waliofariki ajalini wazikwa Dar

Dar es Salaam. Watawa wanne waliofariki dunia katika ajali ya gari mkoani Mwanza, wamezikwa  leo Septemba 19 jijini Dar es Salaam na jamii imetakiwa kuwakumbuka kwa kuishi vema kwa kuacha alama. Waliofariki dunia katika ajali hiyo iliyotokea Septemba 15, 2025 mkoani Mwanza baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori, ni Lilian…

Read More