Dk Dimwa ataja vipaumbele 10 vya CCM akijinasibu kushinda
Unguja. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa amesema chama hicho kimekuja na upepo mpya wa siasa za mshikamano na demokrasia ya kweli. Dk Dimwa ametoa kauli hiyo leo Septemba 13, 2025 wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho katika viwanja vya Mnazimmoja Unguja, Zanzibar ikiwa ni kuelekea…