Serikali yafurahishwa na taaluma St Anne Marie Academy he

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imempongeza Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam, Dk Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa ambao ameufanya kwenye sekta ya elimu. Pia imeipongeza shule hiyo kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma mwaka hadi mwaka katika mitihani ya kitaifa. Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa…

Read More

Sababu mahakama kuzuia matangazo ‘live’ kesi ya Lissu‎

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru maelezo ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kusomwa huku ikirushwa mubashara kama ambavyo kesi hiyo imekuwa ikifanyika. Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu,…

Read More

Sababu mahakama kazuia matangazo ‘live’ kesi ya Lissu‎

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imeamuru maelezo ya mashahidi wa Jamhuri wanaotarajiwa kutoa ushahidi wao kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, kusomwa huku ikirushwa mubashara kama ambavyo kesi hiyo imekuwa ikifanyika. Mahakama hiyo katika uamuzi wake uliotolewa na Hakimu Mfawidhi, Hakimu Mkazi Mkuu,…

Read More

10 mbaroni wakidaiwa kupanga njama za uhalifu

Kibaha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watu 10 wanaodaiwa kupanga njama za kufanya uhalifu katika Wilaya ya Kibaha, kufuatia taarifa za kiintelijensia zilizopatikana Jumamosi Agosti 16, 2025. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase leo Jumatatu Agosti 18, 2025, hatua hiyo ilichukuliwa baada ya jeshi hilo kupata fununu za…

Read More

Kutoka biashara ya mkaa hadi kuhamasisha nishati safi

Morogoro. Katika Kijiji cha Ngerengere, wilayani Morogoro, anaishi Ally Mikola (76),  kwa  zaidi ya miaka 20, alikuwa mfanyabiashara wa mkaa, akiupeleka Dar es Salaam na maeneo mengine kwa ajili ya kujipatia kipato. Siku hizi, badala ya kuendelea na biashara hiyo, anahamasisha wananchi kutumia nishati safi na mkaa mbadala ili kulinda misitu na afya ya jamii….

Read More