Maulid ya kitaifa kufanyika mkoani Geita.

MKOA wa Geita unatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya kitaifa ya Maulid ya kuzaliwa mtume Muhammad usiku wa Septemba 15 kuamukia Septemba 16, viwanja vya CCM kalangalala mjini Geita. Hayo yameelezwa na Shehe wa Mkoa wa Geita, Alhaji Yusuph Kabadi mbele ya waandishi wa habari na kueleza Maulid hayo yatatanguliwa na wiki ya Maulid ambayo…

Read More

Kopunovic aanza kujistukia Pamba | Mwanaspoti

WAKATI presha ya kutopata ushindi kwenye Ligi Kuu Bara ikizidi kuiandama Pamba Jiji, Kocha Mkuu, Goran Kopunovic amekiri huenda mbinu zake ndiyo tatizo huku akigoma kumtupia lawama yeyote na kuahidi kujitathmini na kutimiza wajibu wake ili kuwapa furaha mashabiki. Timu hiyo ambayo haijapata ushindi chini ya kocha huyo tangu alipopewa majukumu Julai, mwaka huu akitokea…

Read More

Hesabu za Mgunda akiiwaza tano bora

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema kuanza kwao vibaya msimu huu haina maana wapo kwa ajili ya kugawa pointi kwa wapinzani, bali kuna mabadiliko makubwa na anaona watakuwa bora na timu shindani. Namungo imekusanya pointi tano kwenye mechi nne za Ligi Kuu Bara msimu huu ikishinda moja, sare mbili na kupoteza moja. Akizungumza na…

Read More

VIDEO: Wafanyabiashara Soko la Chief Kingalu wagoma, wamtaka DC atengue kauli

Morogoro. Baadhi ya wafanyabiashara wa Soko kuu la Chief Kingalu katika Manispaa ya Morogoro leo Agosti 23, 2024 wamegoma kufungua biashara zao na kufunga barabara inayoingia sokoni hapo, wakipinga wafanyabiashara wadogo kuruhusiwa kufanya biashara nje ya soko hilo. Wafanyabiashara hao wamedai kuwa agizo la wafanyabiashara hao kufanya biashara nje ya soko hilo lilitolewa na Mkuu…

Read More

Barua yawa gumzo Mchome, Chadema wavutana

Dar es Salaam. Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lembrus Mchome ameendelea kuikalia kooni ofisi ya Katibu Mkuu wa chama hicho kwa kile anachodai kushindwa kumpatia majibu ya barua yake, huku akisema amejipa saa 48 za kutafakari na kuja na hutua nyingine. Barua hiyo aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala…

Read More

MAKUMBUSHO INAYOTEMBEA YATINGA BUNGENI – DODOMA

Na Sixmund Begashe, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbusho ya Taifa, imeweka onesho adimu la vioneshwa vya urithi wa asili na utamaduni ndani ya viwanja vya Bunge, kupitia gari Maalum, kwa lengo la kuelezea Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara hiyo kupitia Taasisi ya Makumbusho. Akikagua maonesho hayo, Waziri wa Maliasili na…

Read More

Mchengerwa aagiza Tarura wapatiwe Sh250 milioni

Morogoro. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amemuagiza Katibu Mkuu kuipatia Wakala wa Barabara Mjini na Vijijini (Tarura) Sh250 milioni za dharura kwa ajili ya kujenga daraja la muda la Mbuga katika mto Luhombero pamoja na ukarabati wa daraja la waenda kwa miguu la Chigandugandu wilayani Ulanga, Mkoa wa Morogoro yaliyoharibiwa kutokana na…

Read More

HARUSI YA KIHISTORIA YAFUNGWA KRETA YA NGORONGORO

Na Kassim Nyaki, Ngorongoro Crater. Tarehe 15 Desemba 2024 Kreta ya Ngorongoro imepambwa na tukio adhimu na la kihistoria la maharusi wa Kitanzania kufunga ndoa ndani ya Hifadhi huku wakipunga upepo mwanana kwenye mazingira asilia yaliyozungukwa na wanyama mbalimbali wakiwemo Big 5. Bw. Kelvin Mwakaleke na mkeweJackline Nyalu wamefunga Ndoa ndani ya Kreta ya Ngorongoro…

Read More