BULALA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KWIMBA KWA NDEREMO NA VIFIJO VYA KIHISTORIA

Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi katika Jimbo la Kwimba zimeacha alama yankudumu baada vya kuzinduliwa kwa nguvu na hamasa kubwa atika Kata ya Hungumalwa, ambapo wananchi zaidi ya 7,000 walihudhuria mkutano wa  Katika uzinduzi huo wa kihistoria, kijana Cosmas Bulala alitambulishwa rasmi kama  kama Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kwimba huku comrade Shija Malando akitambulishwa rasmi kuwa…

Read More

AMBASSADOR STEPHEN PATRICK MBUNGI APOPOINTED NEW SECRETARY GENERAL OF THE EAC

:::::::::: The Government of the United Republic of Tanzania warmly welcomes the appointment of Ambassador Stephen Patrick Mbundi as the new Secretary General of the East African Community (EAC). Ambassador Stephen Patrick Mbundi is a senior Tanzanian diplomat and government official with over 28 years of professional experience. Prior to his appointment as Secretary General…

Read More

Ramadhani ni mwezi wa toba, kuokolewa na moto

Mwezi wa Ramadhani ni mwezi ambao milango ya pepo hufunguliwa na milango ya moto hufungwa. Katika mwezi huu, Allah Mtukufu huwapa neema waja wake wanaofunga kwa kuwaokoa na moto wa jahannam. Moto ambao joto lake ni kali sana, kina chake ni kirefu, na adhabu yake ni nzito. Mtume wa Allah (rehema na amani ziwe juu…

Read More

Andabwile afichua jambo Yanga | Mwanaspoti

Andabwile aliyewahi kutamba ndani ya Mbeya City na Singida Fountain Gate, kwa sasa anakipiga Yanga ukiwa ni msimu wake wa pili huku akianza vizuri 2025-2026 akiwa na uhakika wa namba kufuatia kuaminiwa na benchi la ufundi linaloongozwa na Kocha Romain Folz. Akizungumza jijini Mbeya wakati Yanga ikijiandaa kuikabili Mbeya City hapo kesho katika mechi ya…

Read More

Salum Mwalimu aahidi Tanzania ya ‘maziwa na asali’

Tanga. Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amewaomba Watanzania kumchagua kwa kishindo ifikapo Jumatano Oktoba 29, 2025, ili alitengeze taifa lenye ustawi na neema, akiahidi kuigeuza Tanzania kuwa “nchi ya maziwa na asali’ iwapo atapewa ridhaa ya kuingia Ikulu. Akihutubia wakazi wa Muheza katika viwanja vya Madaba, jijini Tanga kwenye…

Read More

Guterres inataka kusitisha mapigano kwani viongozi wa Ulaya wanathibitisha haki za Ukraine katika UN – Masuala ya Ulimwenguni

Akielezea baraza, Bwana Guterres Alisema Mzozo huo, sasa katika mwaka wake wa nne, “umeleta mateso makubwa na kutokuwa na utulivu katika mkoa na zaidi.” Alikumbuka kwamba mnamo Februari 2022, zote mbili Baraza la Usalama na Mkutano Mkuu ulipitisha maazimio ya kutaka mwisho wa vita na amani ya kudumu. “Lakini pia tumeona kuongezeka kwa mapigano –…

Read More

OFISI ZA JAMII FORUMS ZADAIWA KUVAMIWA

 :::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo, amesema Ofisi zao zimevamiwa na kwa kile alichodai kuwa uvamizi ulikuwa na Lengo la kumtafuta yeye Kupitia ukurasa wa Melo amechapisha taarifa inayosomeka “Kuna ‘uvamizi’ usio rafiki uliofanyika muda sio mrefu katika ofisi za JamiiForums, Mikocheni jijini Dar wakinitafuta mimi .. Nalaani vitendo kama hivi, ila umma utaujua…

Read More

Mbinu mpya uingizaji wa mihadarati zinatia hofu

Biashara haramu ya dawa za kulevya inaendelea kubadilika kadiri mamlaka zinavyoimarisha udhibiti wake. Hivi sasa, wafanyabiashara wa dawa hizo wamebuni mbinu mpya ya kuziingiza Zanzibar, hali inayoongeza wasiwasi kuhusu usalama wa jamii, hususan watoto na vijana. Mbinu hii mpya imeibuka baada ya njia nyingi zilizokuwa zikitumiwa kwa muda mrefu, zikiwemo kuzimeza na kuzibeba tumboni, kugundulika…

Read More

The Blood of Sudan Must Never Be Silenced

By Moses Ntandu, Dar es Salaam, Tanzania On the land of Sudan, this month of Ramadan has not arrived with peace or hope. Instead, it has come to a country exhausted by war, torn apart by pain, and immersed in the grief of thousands of families who have lost their loved ones. The capital city,…

Read More