Sababu kesi ya kuporomoka jengo la Kariakoo yakwama mara ya nane

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa tena kusikiliza maelezo ya mashahidi na vielelezo (Commital Proceedings) katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili wafanyabiashara sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo. Kesi hiyo imeshindwa kuendelea kutokana na Jamhuri kubaini baadhi ya nyaraka muhimu katika kesi hizo…

Read More

Wanafunzi waonya matumizi ya mitandao kuelekea uchaguzi mkuu

Tanga. Wanafunzi wa shule za sekondari na vyuo mbalimbali nchini wamesema matumizi yasiyo sahihi ya mitandao ya kijamii kama yanaendelea kushamiri, yanaweza kuleta madhara makubwa kwa kundi la vijana. Wameziomba asasi za kiraia kushirikiana na Serikali katika kubuni mbinu shirikishi zitakazowezesha kutoa elimu itakayosaidia kudhibiti matumizi ya mtandao ya kijamii inayotumika kinyume na maadili. Wanafunzi…

Read More

Sh21.9 bilioni kuibadilisha Mpanda | Mwananchi

Katavi. Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, wanatarajia kunufaika na mabadiliko ya kiuchumi na kijamii kupitia utekelezaji wa Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (Tactic). Mradi huo utagharimu Sh21.9 bilioni na utatekelezwa chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia. Hayo yameelezwa leo Jumapili, Oktoba 26, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua…

Read More

Tanzania, DRC zaimarisha masoko biashara ya nafaka

DRC. Serikali ya Tanzania imeendelea kupanua wigo wa masoko ya mazao ya nafaka katika ukanda wa Afrika ya Kati, baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Dk Stephen Nindi kutangaza kuwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) uko tayari kuimarisha ushirikiano na CRDB …

Read More

SAKATA LA KIBU: Simba yatoa sharti jipya, yataja bei

Dar es Salaam. Simba imetoa sharti gumu kwa mchezaji wake Kibu Denis na Kristiansund BK inayomhitaji ili imruhusu mshambuliaji huyo kujiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Norway. Sharti hilo ni kuitaka Kristiansund BK kulipa kiasi cha Dola 1 milioni (Sh 2.7 bilioni) ili kumnunua moja kwa moja mshambuliaji huyo vinginevyo haitokuwa tayari kumuachia…

Read More

Mgogoro wa Maji Uliosababishwa na El Niño Unawatibua Wanakijiji nchini Zimbabwe – Masuala ya Ulimwenguni

Ili kuyafikia maji yaliyo chini chini, Enia Tambo (59) anatumia ndoo nyeupe ya lita 25 kuchomoa mchanga wa Mto Vhombozi wilayani Mudzi katika Mkoa wa Mashonaland Mashariki nchini Zimbabwe. Mkopo: Jeffrey Moyo/IPS. by Jeffrey Moyo (mudzi, zimbabwe) Jumatatu, Septemba 09, 2024 Inter Press Service MUDZI, Zimbabwe, Sep 09 (IPS) – Bega kwa bega na wanakijiji…

Read More