TCB YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KATIKA KUWEZESHA MIRADI YA KIMKAKATI IKIWEMO USHIRIKA
BENKI ya biashara ya Taifa TCB imesema itaendelea kuunga mkono serikali katika miradi yake ya kimkakati kwa kuhakikisha wanagusa maisha ya watanzania katika kila sekta ikiwemo sekta ya kilimo. Ambapo mpaka kufikia June 2024 benki hiyo imeweza kutoa mikopo ya jumla kiasi cha shilingi Trilioni 1.2 l lakini katika hizo kuna shilingi bilioni 44 zilizokwenda…