


Mlandege yamnasa straika kutoka Ghana
KATIKA kuhakikisha inakuwa na timu ya ushindani kimataifa, mabosi wao Mlandege wamemshusha mshambuliaji, Ishmael Robino kutoka Ghana. Robino amejiunga na timu hiyo akiwa mchezaji huru na tayari ameungana na wenzake katika kambi ya mazoezi ya kujiandaa na mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha wa Mlandege, Hassan Ramadhan Hamis alisema mshambuliaji huyo…

Standard Chartered Strengthens Client Partnerships through ‘Ops to Ops’
Standard Chartered Tanzania hosted its signature Ops to Ops (O2O) event, bringing together the Bank’s operations teams and clients’ operations staff for an interactive session focused on collaboration, feedback, and co-creation. Designed for the engine room of both organisations — the teams who process transactions daily — O2O fosters stronger working relationships, improves efficiency, and…

Pogba aichomolea Tabora United, kuendelea kukipiga Mlandege
LICHA ya kusaini mkataba wa miaka miwili ili aitumikie Tabora United, kiungo mshambuliaji wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’ ameendelea kuitumikia timu hiyo iliyopo kambini. Ipo hivi. Pogba aliyekuwa akihusishwa na Simba kabla ya mpango kufa baada ya Wekundu hao kumnasa Daud Semfuko kutoka Coastal Union, aliibukia Tabora na kufanikiwa kusaini mkataba kabisa. Hata hivyo, mapema…

Bhojan achukua fomu aahidi Kisutu mpya
MGOMBEA wa nafasi ya udiwani wa Kata ya Kisutu, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam, Tousif Bhojani, amechukua fomu za uteuzi za Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) na kueleza kuwa dhamira yaya ni kuijenga Kisutu mpya. Bhojani alichukua fomu leo katika Ofisi za Ofisa Mtendaji Kata ya Kisutu, ambapo alikabidhiwa fomu hizo na Ofisa Mtendaji…

Maandalizi ya CAF, KMKM yabeba kocha mpya
WAWAKILISHI wa Zanzibar katika Kombe la Shirikisho Afrika, KMKM imemnyakua kocha mpya kutoka Dar ili kujiweka tayari kwa pambano dhidi ya As Port ya Djibouti. Mabingwa hao wa Kombe la ZFF, imemuongeza kikosini kocha wa kituo cha JK Park cha jijini Dar es Salaam, Hababuu Ali kulisaidia benchi la ufundi la timu hiyo. KMKM imepata…

Aisha Masaka kutimkia Hispania | Mwanaspoti
Mshambuliaji wa Brighton, Aisha Masaka huenda akatolewa kwa mkopo au kuuzwa moja kwa moja katika moja ya timu za Ligi Kuu ya Wanawake Hispania msimu ujao kama watafikia makubaliano ya ofa. Mwanaspoti inafahamu mshambuliaji huyo wa timu ya taifa, Twiga Stars, amebakiza mkataba wa mwaka mmoja England kati ya miwili na utamalizika mwishoni mwa msimu…

Baresi avunja ukimya, apanga mkakati Mlandege
SIKU moja baada ya kutua Mlandege, kocha wa Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema wana kazi kubwa ya kufanya kuipambania timu hiyo kufanya vizuri kimataifa. Baresi amejiunga na timu hiyo akiwa kocha huru baada ya kuachana na Mashujaa inayoshiriki Ligi Kuu Bara, akizungumza na Mwanaspoti alisema anayo furaha kujiunga na timu hiyo, lakini ana kazi kubwa ya…

Hatima kifungo Chadema leo, Lissu akisomewa ushahidi wa uhaini
Dar es Salaam. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kikitarajia kusomewa uamuzi wa maombi yao ya kufunguliwa kifungo cha zuio la kufanya shughuli za kisiasa na kutumia mali zake, Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu anatarajiwa kusomewa ushahidi wa kesi ya uhaini inayomkabili. Matukio hayo mawili yanatarajiwa kufanyika leo, Agosti 18, 2025 kutokana na kesi…

Kubadilisha kukimbia kwa ubongo huko Somalia – maswala ya ulimwengu
Kwa hivyo mgogoro unaendelea. Na ubongo wa kukimbia huongezeka. Lakini vipi ikiwa kulikuwa na njia ya kubadili kukimbia kwa ubongo? Hili ni swali kwamba shirika la kimataifa la uhamiaji (IOM) amekuwa akiuliza juu ya Somalia. “Kumekuwa na unyevu mwingi wa ubongo huko Somalia. Je! Tunarudishaje ujuzi huo ambao wameweza kufikia katika nchi yao ya makazi…