Nyota Coastal Union kimeeleweka | Mwanaspoti

STRAIKA wa Coastal Union, Abdulkarim Segeja, amesema licha ya kuanza vibaya msimu huu, lakini kwa sasa timu imeonesha mabadiliko na mechi zilizobaki mkakati wao ni kutopoteza pointi. Coastal Union iliyowahi kutwaa ubingwa mwaka 1988 wakati inaitwa Ligi Daraja la Kwanza kabla ya sasa kufahamika Ligi Kuu Bara, inakumbukwa pia kushuka daraja msimu wa 2015-2016 ikiwa…

Read More

SERIKALI INABORESHA MIUNDOMBINU ILI MTOTO WA KITANZANIA APATE HAKI YAKE YA MSINGI YA ELIMU BORA – PROF. SHEMDOE

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimu bora katika mazingira mazuri na rafiki ya ujifunzaji na ufundishwaji.  Prof. Shemdoe amesema,…

Read More

Watishiwa mapanga wakipambana na ukatili wa kijinsia Pangani

Tanga. Kamati za Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (Mtakuwa) katika Kata ya Madanga, Wilaya ya Pangani mkoani Tanga, zimeeleza kukabiliwa na vitisho vya kujeruhiwa kwa mapanga wakati zikitekeleza majukumu ya kushughulikia watuhumiwa wa ukatili wa kijinsia. Akizungumza leo Jumatano Februari 25, 2026 kwa niaba ya wenyeviti wa kamati hizo,…

Read More

Taifa huru la Palestina lanukia Umoja wa Mataifa

Dar es Salaam. Dalili za uhuru wa Palestina zazidi kuonekana, kufuatia uungwaji mkono wa karibu mataifa 150, ikiwemo nchi nne zenye kura ya turufu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, ambazo sasa zimetambua rasmi taifa hilo. Chini ya Mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933, kuna vigezo ili Palestina itambuliwe kuwa taifa huru chini…

Read More

Watatu walioshtakiwa kwa mauaji akiwemo mtalaka, waachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Morogoro imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la kumuua Marietha Petro na kuutelekeza mwili wake kando ya barabara. Watuhumiwa waliokuwa wakikabiliwa na kesi hiyo ni Stanley Winfred, Dabobertus Natalis (ambaye awali alikuwa mume wa Marietha kabla hawajaachana kwa kupeana talaka) pamoja na Magnus Anton. Wote watatu walikuwa…

Read More

Sh51 bilioni zaboresha miradi ya kimkakati Jiji la Mbeya

Mbeya. Serikali imetoa zaidi ya Sh51 bilioni kwa ajili ya kuboresha miundombinu mbalimbali ikiwepo masoko, kituo cha kisasa cha mabasi ya mikoani, machinjio na barabara kwa kiwango cha lami katika Jiji la Mbeya. Miradi hiyo inatekelezwa kupitia Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (Tactics), chini ya Wakala wa Barabara za Mijini na Vijiji (Tarura) kupitia mkopo…

Read More