Beki wa JKT aingia anga za Yanga

UNAIKUMBUKA ile mechi ya kwanza kwa kocha mpya wa Yanga, Hamdi Miloud alipovaana na JKT Tanzania na kulazimisha suluhu kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo? Katika mechi ile kuna mabeki wawili walichezea sifa kwa kuwazuia kabisa nyota wa Yanga, akiwamo Clement Mzize, Prince Dube na Stephane Aziz KI kuendeleza moto wa kugawa dozi kwa wapinzani….

Read More

Mafyatu wanataka muungano si mgongano

Juzi Tunda Lishe alilikoroga. Si alihoji mantiki ya Zenj kuua Tanganyika hata kutaka wadanganyika wawe na pasipoti kuingia Zenj. Baada ya kukinukisha, si kiliuma. Machawa na mazwazwa wajikombao wapate shibe si walilidhalilisha hata Bungo! Alianza mmoja aliyetaka eti Wadanganyika waingie Zenj kwa pasi ilhali Wazenj waingie bwerere na kuishi watakavyo. Tunda alihoji mantiki ya Wazenj…

Read More

Utafiti wataja dawa ya udanganyifu vyuo vikuu

Ripoti ya utafiti ya wasomi watatu, imebainisha namna vyuo vinavyoweza kukabiliana na tatizo la udanganyifu kwenye mitihani. Mmoja wa watafiti hao, Joseph Abel ameelezea namna alivyoufanya utafiti huo na wenzake Rebecca Sima na Theresia Shavega. Ripoti ya utafiti huo ilichapishwa kwenye jarida la European Journal of Research and Reflection in Educational Sciences Vol. 8 No….

Read More

Hadithi ya Zénabou – maswala ya ulimwengu

“Siku zote nilikuwa na uzoefu chungu wa kuona watoto wengine wakienda shuleni na rucksacks zao,” anasema Zénabou wa miaka 14. “Ilikuwa inatesa kwa sababu hata nilikuwa nikichoma moto na hamu ya kujua kilichotokea katika shule ambazo watoto hawa walikwenda kila asubuhi, niligundua mapema sana kwamba ni mfumo ambao haukufanywa kwangu kwa sababu nilikuwa tofauti.” Kwa…

Read More

GGML yaahidi kuendelea kushirikiana na UDSM kudhamini tafiti, ubunifu

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali kupitia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) katika kuendeleza tafiti na ubunifu zinazoendelea kufanyika ndani ya nchi ili kutoa majibu ya changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii ya watanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).  Hayo yamebainishwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na…

Read More

Jinsi wateja wanavyoomba keki, vinywaji vyenye dawa za kulevya

Dar es Salaam. Wakati vijana wa vyuo vikuu wakituhumiwa kutengeneza biskuti za bangi, wapishi na watengeneza vinywaji jijini Dar es Salaam wamesema wamekuwa wakiombwa na waandaji wa sherehe kuweka dawa za kulevya kwenye keki na vinywaji ili wageni wajisikie vizuri. Wapishi hao wamesema vitendo hivyo vinaashiria kuwa, kila siku watumiaji wanatafuta njia mbadala za kutumia…

Read More