Lishe inavyoathiri hisia, afya ya akili

Watu wengi wanapozungumzia lishe, mawazo huenda moja kwa moja kwenye uzito wa mwili, nguvu za mwili au maumbile ya nje kama vile ngozi, nywele na misuli.  Hata hivyo, kuna upande mwingine muhimu wa lishe ambao haupewi uzito wa kutosha, nao ni ule wa athari zake kwenye hisia na afya ya akili.  Lishe unayokula kila siku…

Read More

TBF yalamba udhamini wa Milioni 194 kutoka betPawa

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Kampuni maarufu ya michezo ya kubashiri, betPawa, imetangaza udhamini wa Shilingi 194,880,000 kwa Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL), inayoendelea sasa katika mkoa wa Dodoma. Afisa Mkuu wa Biashara wa betPawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mchezo, Ntoudi Mouyelo, alisema waliamua kudhamini mpira wa kikapu nchini…

Read More

Kituo cha uwekezaji kuzinduliwa Arusha, Julai

Arusha. Serikali inatarajia kuzindua Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika Mkoa wa Arusha kufikia Julai Mosi, 2024 ili kuondoa urasimu wanaokumbana nao wawekezaji. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Apili 30, 2024 jijini Arusha na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo wakati akizungumza kwenye kongamanao la uwekezaji kwenye sekta ya…

Read More

KONA YA MZAZI: Wajibu wa wazazi malezi ya kizazi cha Gen Z

Katika dunia ya leo yenye mabadiliko ya kasi, vijana wa kizazi kipya kinachojulikana kama Generation Z wanakabiliwa na changamoto nyingi za kimaisha, kijamii, kiteknolojia na kimaadili. Kizazi hiki ambacho kimekulia katika mazingira yanayotawaliwa na teknolojia, mitandao ya kijamii na utandawazi, kinaonekana kuwa na mtazamo tofauti kabisa kuhusu maisha, maadili na imani, ikilinganishwa na vizazi vilivyotangulia….

Read More

Vikwazo utoaji wa elimu kidijitali shuleni, vyuoni

Dar es Salaam. Hakuna ubishi kwamba, katika dunia ya leo, mabadiliko ya kiteknolojia yanakwenda kasi isiyodhibitika kuanzia roboti, Akili Ubnde (AI), mitandao ya 5G, hadi matumizi ya simu janja. Elimu nayo haijaachwa nyuma. Sasa siyo tu suala la kujifunza, bali pia namna tunavyofundisha, tunavyopata rasilimali za kujifunzia na tunavyofanya tathmini; yote haya yakitegemea zaidi teknolojia….

Read More

TMA yakamilisha uboreshaji wa rada mbili za Hali ya Hewa

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekabidhiwa rasmi ya rada zake mbili za hali ya hewa zilizopo Mwanza na Dar es salaam zilizokuwa zinafanyiwa uboreshaji na kampuni ya Enterprises Electronic Corporation (EEC) kutoka Alabama, Marekani (USA). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Maboresho hayo yaliyofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

Read More

Mapinduzi Cup 2025 vita ya wanandugu

PAZIA la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 ambayo kwa msimu huu imehusisha timu za taifa, linafunguliwa leo usiku kwa mchezo mmoja unaozikutanisha timu ‘ndugu’ za Tanzania Bara na Zanzibar, huku Uganda The Cranes ambao ni moja ya wenyeji wa Chan 2025 na Afcon 2027 ikijiondoa katika dakika za mwishoni. Michuano hiyo inayofanyika kwenye Uwanja…

Read More

Othman ahamasisha mageuzi matumizi ya rasilimali

Pemba. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema wananchi hawapaswi kukata tamaa badala yake washirikiane kupigania mageuzi yatakayosaidia kuzitumia rasilimali zilipo nchini na kuleta neema ya kiuchumi. Othman ameyasema hayo Juni 7, 2024 katika Baraza ya Mtemani Wete, iliyopo Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, alipozungumza na wafanyabiashara wadogowadogo, wanabaraza na wananchi….

Read More