Muda wa Kushinda na Meridianbet ni Sasa

JE unajua kuwa muda wako wa kushinda pesa na Meridianbet umefika?. Mechi zote ambazo wewe unazitaka zipo huku kwa dau lako dogo tuuh unajiweka kwenye nafasi ya ushindi. Ligi kuu ya Hispania, LALIGA itaendelea kwa michezo kadhaa ambapo Levante atamualika kwake Girona ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 9. Mwenyeji yupo nafasi…

Read More

ONYESHO LA KIHISTORIA LA KUDANSI KUFANYIKA MAKUMBUSHO

Vijana wa Dar es salaam Dances International (DDI) wakifanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi onyesho la kihistoria la kudansi lilotarajiwa kufanyika Katika Ukumbi wa Maonesho wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam (picha na Mussa Khalid) ……………. NA MUSSA KHALID Tamasha la Museum Arts Explosion  kwa kushirkiana na Dar es salaam Dances International (DDI)…

Read More

Meridian Bonanza Imekuja Kuitikisa Dunia ya Kubashiri

MERIDIANBET imezindua Meridian Bonanza kwa kishindo kikubwa, mchezo wa kubashiri wa kisasa unaovunja mipaka ya burudani na ushindi. Ukiwa umeundwa kwa teknolojia ya hali ya juu, Bonanza humweka mchezaji katikati ya tukio, ambapo kila mzunguko hujaa msisimko na matarajio ya ushindi wa kweli. Tofauti na michezo ya kawaida ya kubashiri, Meridian Bonanza inampa mchezaji udhibiti…

Read More

Wakati upi sahihi mzazi ‘kuingilia’ ndoa ya mwanawe?

Ndoa, kwa mtazamo wa kitamaduni na kidini, mara nyingi huonekana kama muungano wa watu wawili waliovuka mipaka ya familia walizotoka.Mara mtoto anapooa au kuolewa, inakubalika kuwa rasmi anaingia katika makubaliano yanayomtenganisha na wazazi wake na kumuunganisha na mtu mwingine anayewajibika kwake.Hili linatokana na imani kwamba ndoa ni taasisi huru ambapo wazazi hawapaswi kuingilia maamuzi ya…

Read More