UN yasema hali ya usalama Haiti inazidi kuwa hatari

Taifa hilo na limendelea kushuhudia ghasia za magenge, na Umoja wa Mataifa unakisia kwamba tayari magenge yamechukua mamlaka wa asilimia 85 ya mji mkuu wa Port-au-Prince. O’Neil alisema kuwa inazidi kuzorota zaidi kila anapotembelea taifa hilo. Alisema kwamba kutojali na ufisadi ni vizingiti kuvunja magenge hayo. Aliongeza serikali ya Haiti ni lazima iweke kipaumbele cha…

Read More

WANAWAKE e-GA WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

Wanawake kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Makao Makuu Dodoma wameungana na wanawake wengine Mkoani Dodoma kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026, Jijini Dodoma  ‎ ‎Katika kuadhimisha siku  hiyo Wanawake hao wametoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima cha Rahman kilichopo chang’ombe mkoani humo. ‎ Akizungumza mara baada ya kukabidhi…

Read More

‘Kuzuia Kesi Sawa Kunahitaji Kuvunjilia mbali Taratibu Zinazochukulia Wapinzani kama Uhalifu’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Ijumaa, Februari 27, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili kuharamishwa kwa wapinzani nchini Ufilipino na Kyle A Domequil, msemaji wa Mtandao wa Free Tacloban 5, kampeni inayomuunga mkono mwanahabari Frenchie Mae Cumpio, mtetezi wa haki za binadamu Marielle Domequil na washtakiwa wenzao na wanaotetea kuachiliwa kwao. Kyle A Domequil Mnamo tarehe 22 Januari,…

Read More

Shime bado hajaridhishwa | Mwanaspoti

KOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya wasichana U20, Tanzanite Queens, Bakari Shime amesema ingawa timu hiyo imeshinda dhidi ya Angola na kwenda raundi ya tatu ya kuwania fainali za Kombe la Dunia 2026, hajaridhika kwa vile kuna makosa yalifanyika kuanzia eneo la ulinzi na ushambuliaji. Tanzanite Queens jana ikiwa ugenini ikirudiana na Angola…

Read More

Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More

Vodacom Tanzania na Don Bosco wazindua mpango wa kuwainua vijana na kuendeleza mpira wa kikapu nchini.

 Vodacom Tanzania PLC imesaini ushirikiano na Shirika la Salesian of Don Bosco Kanda ya Tanzania na kuzindua mfululizo wa mipango inayolenga kuwawezesha vijana na kuendeleza mchezo wa mpira wa kikapu jijini Dar es Salaam. Ushirikiano huu umehalalishwa kupitia kusainiwa kwa Makubaliano ya Ushirikiano (MoU), yakionyesha udhamini rasmi wa Vodacom kwa Don Bosco na Ligi ya…

Read More

Kwa nini bei siyo kipimo cha ubora wa bidhaa

Dar es Salaam. Kwa miaka mingi kumejengeka dhana miongoni mwa Watanzania kuwa bidhaa zinazouzwa kwenye maduka ya kifahari ni halisi (original), huku zile zinazopatikana kwenye masoko ya kawaida yenye msongamano ni feki. Si hivyo tu, wapo wanaoamini bidhaa ikiwa ghali ndiyo halisi. Lakini je, bei ndiyo kipimo cha ubora? Mtazamo huo kwa muda mrefu umeathiri…

Read More

Mahakama Kenya yazuia ujenzi wa kanisa Ikulu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu nchini Kenya imeamuru kusitishwa kwa muda ujenzi wa kanisa la kudumu au jengo lolote la kidini katika majengo ya Ikulu, nchini humo. Agizo hilo la muda pia linazuia ujenzi kama huo katika Ikulu za Rais zilizoko maeneo mbalimbali nchini au hata jengo lolote lenye mafungamano na dini. Kwa mujibu wa…

Read More