Marema wawatembelea wagonjwa wa Kifua Kikuu, silikosesi
Siha. Wagonjwa wa Kifua Kikuu na wenye changamoto ya kupumua silikosesi, waliopo hospitali maalumu ya magonjwa ambukizi Kibong’oto wilayani Siha, mkoani Kilimanjaro, wamepatiwa msaada baada ya kutembelewa na viongozi wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Manyara (Marema). Msaada uliokabidhiwa kwa wagonjwa hao na viongozi wa Marema ni pamoja na sabuni za kuogea na kufulia,…