Marema wawatembelea wagonjwa wa Kifua Kikuu, silikosesi

Siha. Wagonjwa wa Kifua Kikuu na wenye changamoto ya kupumua silikosesi, waliopo hospitali maalumu ya magonjwa ambukizi Kibong’oto wilayani Siha, mkoani Kilimanjaro, wamepatiwa msaada baada ya kutembelewa na viongozi wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Manyara (Marema). Msaada uliokabidhiwa kwa wagonjwa hao na viongozi wa Marema ni pamoja na sabuni za kuogea na kufulia,…

Read More

Kesi ‘waliotumwa na afande’ kuendelea leo

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, inayowakabili washtakiwa ‘wanaodaiwa kutumwa na afande’ leo Jumatatu, Septemba 2, 2024 inaendelea kusikilizwa. Wakili anayewawakilisha washtakiwa, Godfrey Wasonga amesema kuwa kesi hiyo itasikilizwa mfululizo kuanzia leo. Washtakiwa katika kesi hiyo ni askari wa Jeshi la…

Read More

Kupaa kwa bei ya samaki kwamwibua mbunge, ajibiwa

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema mapendekezo ya kupunguza tozo na kodi za uingizaji wa samaki kutoka nje ya nchi yatafanywa kulingana na matokeo ya tathmini itakayofanywa na Kamati ya Maboresho ya Mfumo wa Kodi. Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande ameyasema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akijibu swali la msingi la Mbunge…

Read More

Mangungu atoa kauli Yanga kwenda CAS

MWENYEKITI wa Simba SC, Murtaza Mangungu amegusia taarifa ya Klabu ya Yanga kuwa inataka kwenda Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), kudai pointi tatu za mchezo wa Kariakoo Dabi ambao uliahirishwa, akisema “hata wakienda sped” wao hawana hofu. Mangungu amezungumza hilo jana Ijumaa, katika mahojiano ya Mwananchi Digital mara baada ya ushindi wa…

Read More

Planet yaitambia Profile | Mwanaspoti

PLANET imeendeleza moto katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza kwa kuifunga timu ya Profile kwa pointi 49-45 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Mirongo, jijini humo. Katika mchezo huo, John Pastory aliongoza kwa kufunga pointi 26, aliongoza pia kwa kutoa asisti mara 7 na upande wa udakaji (rebounds) alidaka mara 7. Katika mchezo mwingine…

Read More

Simba kwa penalti, acha kabisa!

SIMBA ipo uwanjani jioni ya leo mjini Bukoba kuvaana na Kagera Sugar katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Bara, huku rekodi zikionyesha timu hiyo pamoja na nyingine tatu za Namungo, Coastal Union na Tabora United ndizo vinara wa kupata penalti na kuzitumia kuwapa matokeo chanya. Lakini timu hizo nne zikifunika kwa kupata penalti nyingi,…

Read More

Watano wakoleza moto Chama la Wana

MABOSI wa ‘Chama la Wana’, Stand United wameanza kuboresha kikosi hicho katika dirisha hili dogo kwa kuingiza nyota wapya watano watakaoongeza morali na wale waliopo, kwa lengo la kuhakikisha timu hiyo inapanda Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao. Timu hiyo yenye maskani mjini Shinyanga, imenasa saini ya aliyekuwa nyota wa Mtibwa Sugar, Yanga, Simba, Ndanda…

Read More