Subira Mgalu Aahidi Kuboresha Afya, Maji na Barabara Bagamoyo

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Subira Mgalu, ameahidi kuboresha huduma za afya, maji na miundombinu ya barabara endapo atapewa ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika jimboni humo, Mgalu alisema ataweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha…

Read More

SWAHILI: ICEA LION Yazindua Simba Wa Bima, Ikisisitiza Ulinzi Katika Kila Hatua ya Maisha

Mkurugenzi wa Matekelezo na Huduma za Uthaminishaji wa TIRA, Alex Rocky (mwenye skafu) aliyemuawakilisha Kamishna wa TIRA, Dk. Baghayo Saqware akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya bima ya ICEA Lion Group, James Ndegwa (kushoto) ikiwa ni  uzinduzi wa kampeni ya Simba Wa Bima inayolenga   kujua umuhimu wa   kulinda familia, kupanga maisha…

Read More

Aliyemuua shangazi yake akimtuhumu kwa uchawi, kunyongwa

Arusha. Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa Sami Kisenga baada ya kukutwa na hatia ya kumuua shangazi yake, Holo Kisenga (50) kwa kumkata na panga kichwani na shingoni, akimtuhumu kuwa ni mchawi na amemuua baba yake. Mauaji hayo yalidaiwa kutokea Mei 19, 2019 katika Kijiji cha Nyaligongo, Mkoa wa Shinyanga. Sami…

Read More

Mechi tano zatibua mambo Mbeya City

MWENENDO usioridhisha wa Mbeya City kwa sasa katika mechi za Ligi Kuu msimu huu, zimemweka kwenye wakati mgumu kocha wa timu hiyo, Mecky Maxime, huku presha ikizidi zaidi baada ya juzi kikosi hicho kuchapwa bao 1-0, dhidi ya Fountain Gate. Mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini, Mbeya, Mbeya City ilishindwa kutamba nyumbani na…

Read More

Msisimko wa Gates of Halloween Hauishi Meridianbet

NDANI ya ulimwengu wa burudani za mtandaoni, Meridianbet inaendelea kuleta uzoefu unaovuka mipaka ya kawaida kupitia mchezo wake wa kasino, Gates of Halloween. Mchezo huu umebeba mandhari ya Halloween kwa ubunifu wa kisasa, ukitoa hali ya kusisimua inayoweka mchezaji katikati ya hadithi ya kipekee. Kila mzunguko unajengwa kama tukio jipya, ukichanganya matarajio na burudani katika…

Read More