Subira Mgalu Aahidi Kuboresha Afya, Maji na Barabara Bagamoyo
Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Subira Mgalu, ameahidi kuboresha huduma za afya, maji na miundombinu ya barabara endapo atapewa ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika jimboni humo, Mgalu alisema ataweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha…