‘Unthinkable’ inaendelea katika Jiji la Gaza, UNICEF ONOR – Maswala ya Ulimwenguni

Tess Ingram, Meneja wa Mawasiliano wa UNICEFMashariki ya Kati na Ofisi ya Mkoa wa Kaskazini mwa Afrika, hivi karibuni ilitumia siku tisa huko, ikielezea kama “mji wa hofu, kukimbia na mazishi.” “Kimbilio la mwisho kwa familia kaskazini mwa Gaza ni Haraka kuwa mahali ambapo utoto hauwezi kuishi“Alisema, akizungumza kutoka kwa enclave hadi waandishi wa habari…

Read More

Maji ni Uhai: TRAMEPRO Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani 2026

Kila mwaka tarehe 22 Machi, dunia huungana kuadhimisha Siku ya Maji Duniani—siku muhimu inayotukumbusha thamani ya rasilimali maji katika maisha ya kila siku. Mwaka huu wa 2026, maadhimisho haya nchini Tanzania yanafanyika katika Mkoa wa Morogoro, yakileta pamoja wadau wa sekta ya maji, afya na mazingira. Katika kuadhimisha siku hii, Shirika la Dawa Asilia na…

Read More

Ukweli kuhusu gesi kupoteza ladha ya chakula

Dar es Salaam. Katika jitihada za nchi kuachana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa, mjadala unaibuka mitaani kuhusu matumizi ya gesi ya kupikia na athari zake kwenye ladha ya vyakula. Wapo wanaodai kuwa vyakula vinavyopikwa kwa kutumia gesi ukiwamo wali, havina ladha ikilinganishwa na unaopikwa kwa kutumia kuni au mkaa. Lakini je,…

Read More

SAID SOUD SAID: Ole wao watakaolalia vitanda vya 6 × 6 Zanzibar

Haina maana kuwa ili ushindane na mtu sharti uwe hukubaliani naye. Inawezekana ukaona anafaa kwa kila nyanja, lakini kwa sababu ushindani umewekwa, unaamua kujitosa kumkabili unayemkubali. Inaitwa ushindani bila chuki. Said Soud Said ni mgombea urais wa Zanzibar kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Anasema anajitosa kumkabilia Rais aliye madarani, Dk Hussein Ali Mwinyi, lakini wakati huohuo…

Read More

Momentum huunda kuelekea makubaliano ya bioanuwai ya baharini, kama wataalam wanavyokutana huko New York – Masuala ya Ulimwenguni

Iliyopewa jina la Makubaliano chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa juu ya Sheria ya Bahari juu ya Uhifadhi na Matumizi Endelevu ya Tofauti za Baiolojia ya Majini Zaidi ya Mamlaka ya Kitaifailikuwa kupitishwa Mnamo Juni 2023 baada ya miaka ya mazungumzo, na iko wazi kwa saini hadi Septemba 20. Na maridhiano nane tu yaliyobaki…

Read More

Kipa Simba ajipeleka Dodoma Jiji

BAADA ya Simba kutangaza rasmi kuachana na aliyekuwa kipa wa timu hiyo, Ally Salim inadaiwa Dodoma Jiji ilikuwa katika hatua ya mwisho ya kumbeba, japo JKT Tanzania nayo ilikuwa ikimpigia hesabu kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili usiku wa jana. Kipa huyo aliyekuwa akisubiri mbele ya Aisha Manula, kisha Moussa Camara msimu uliopita alikuwa…

Read More

Penalti zaibeba Miembeni Yamle Yamle Cup

MIEMBENI imefuzu robo fainali ya michuano ya Yamle Yamle Cup inayoendelea kisiwani Unguja kufuatia ushindi wa penalti 4-3 dhidi ya Welezo City. Mchezo huo uliopigwa jana Jumatatu saa 12:30 jioni kwenye Uwanja wa Mao A, dakika tisini matokeo yalikuwa sare ya mabao 2-2. Wakasa Mbaraka aliitanguliza Miembeni kwa kufunga mabao mawili dakika ya 2 na…

Read More

Lissu aomba kuirahisishia kazi Jamhuri ushahidi wa kesi yake

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameiomba Jamhuri isihangaike kuwaita mashahidi kuthibitisha baadhi ya vielelezo vya ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, akisema kuwa hana shida navyo. Lissu amewasilisha ombi hilo mahakamani baada ya kusomewa shtaka la uhaini linalomkabili na kujibu, kisha akasomewa maelezo ya awali ya kesi…

Read More