TANZANIA YACHAGULIWA KUWA MAKAMU MWENYEKITI BARAZA LA MAWAZIRI WA MAJI KAMISHENI YA BONDE LA MTO ZAMBEZI

TANZANIA imechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa ZAMCOM katika mwaka 2024-2025 kwenye Mkutano wa 11 wa Baraza la Mawaziri wa Maji wa Kamisheni ya Bonde la Mto Zambezi (Zambezi Watercourse Commission – (ZAMCOM) unaoendelea mjiji Tete Nchini Msumbiji. Uchaguzi huo umefanyika kufuatia Msumbiji kumaliza muda wake na kukabidhi uenyekiti kwa Namibia, Hivyo, Tanzania inategemewa kuwa Mwenyekiti…

Read More

M23 wasitisha mapigano DRC | Mwananchi

Mwanza. Muungano wa makundi ya waasi ya AFC na M23, umetangaza kusitisha mapigano nchini humo kwa kile ambacho umedai ni uwepo wa janga la kibinadamu linalolikumba taifa hilo. Taarifa iliyotolewa na Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), jana Jumatatu Februari 3,2025, imesema: “Muungano wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), unautangazia umma kuwa kwa kuzingatia janga la kibinadamu lililosababishwa…

Read More

All Aces Poker ndio mchongo kwa sasa

Wakati unaendelea kupiga mikwanja kupitia michezo mbalimbali ya Kasino, Lakini kwasasa unaweza kushinda kitita kizito kupitia mchezo wa kasino wa All Aces Poker ambao unaendelea kuwapa watu maokoto ya kutosha. Kutoka kwa watengenezaji wa michezo Microgaming, wameshusha chuma kipya kinaitwa All Aces Poker na mambo kadhaa ya kipekee ikilinganishwa na michezo mingine ya video poker….

Read More

Simba v JKT Queens hakuna mbabe WPL

HATIMAYE mechi ya malkia wawili, JKT Queens na Simba Queens imemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam. Mechi hiyo ya raundi ya saba inakumbushia mechi ya Desemba 10 mwaka jana matokeo yakiisha kwa sare hiyo hiyo mechi ikipigwa Uwanja wa KMC Complex Mwenge. JKT ilikuwa ya kwanza kupata…

Read More

Simba yamganda kiungo Sfaxien | Mwanaspoti

MABOSI wa Simba wamemganda kiungo wa CS Sfaxien ya Tunisia, Balla Moussa Conte baada ya kufanya naye mazungumzo na sasa wanasikilizia uamuzi wa mwisho wa klabu anayoichezea ili atue Msimbazi msimu ujao. Simba ilimuona kiungo huyo katika mechi ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ilipoichapa CS Sfaxien Kwa Mkapa kwa mabao 2-1 kisha kwenda…

Read More

Mlandege inautaka ubingwa Mapinduzi Cup

MSIMU mpya wa michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2026 inatarajiwa kuanza kesho Jumapili kwa klabu 10 ikiwamo Mlandege zitaanza mshikeshike wa wiki kama mbili kusaka taji hilo. Mlandege kwa sasa ndio watetezi ikishikilia taji hilo kwa misimu miwili mfululuzo ya mwaka 2023 na 2024, ikiwa ni rekodi tangu michuano ya Kombe la Mapinduzi…

Read More