Dosari za kisheria zamnusuru kifungo cha miaka 30 jela

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela alichokuwa amehukumiwa Lemindea Lesira baada ya kukutwa na kosa la ubakaji. Makosa mengine aliyokutwa nayo na hatia na kuhukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka mitano na faini kwa mwathirika wa tukio hilo ni kusababisha madhara makubwa kinyume na kifungu cha 225 na kosa…

Read More

Wakulima wahimizwa kutumia taarifa za TMA kuongeza tija

Mbeya. Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) ikiadhimisha siku ya hali ya hewa duniani, wakulima Nyanda za Juu Kusini wameipongeza mamlaka hiyo wakieleza utabiri wao umewasaidia kuendesha kilimo chao kwa tija huku jamii ikitakiwa kuzingatia ushauri unaotolewa. Kila ifikapo Machi 23, TMA huungana na mamlaka nyingine za hali ya hewa duniani kusherekea siku…

Read More

SMZ kutumia teknolojia kuwanasa wanaokata misitu Zanzibar

Unguja. Kutokana na kasi ya ukataji misitu inayoendelea, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeandaa mpango wa kuanza kufuatilia na kudhibiti wanaokata misitu hiyo kwa njia ya kidijitali. Hayo yamebainishwa leo Machi 23, 2026 wakati wa kuadhimisha siku ya upandaji miti duniani ambapo kitaifa kwa Zanzibar imefanyika katika Shehia ya Muyuni, Wilaya ya Kusini, Mkoa…

Read More

UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU JCT – KAKOLA NI UWEKEZAJI WA KUDUMU WA BARRICK

Mchakato wa kumwaga lami katika barabara ya Kahama-Kakola inayojengwa kwa uwezeshaji wa kampuni ya Barrick nchini ukiendeleaMchakato wa kumwaga lami na kuisambaza ukiendeleaMsimamizi wa Ujenzi wa barabara ya Kahama-Kakola kutoka Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Mhandisi Marco Bee, akiongea kuhusu maendeleo ya ujenzi huo unaotekelezwa kwa ufadhili wa kampuni ya Barrick nchini.Msimamizi Msaidizi kutoka kampuni…

Read More

Mume, majirani wasimulia Lina alivyouawa kwa kisu na nduguye

Dar es Salaam. Nia njema ya kuokoa uhai wa mdogo wake aliyekuwa karibu kuchomwa kisu, ndiyo iliyogeuka kuwa mwisho wa maisha ya Lina Kabamba, anayedaiwa kuuawa kwa kisu ambacho awali hakikukusudiwa kwake. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo lililoibua simanzi kupitia mitandao ya kijamii, kilichomponza Lina ni uamuzi wake wa kusuluhisha mzozo wa wadogo…

Read More

Stanbic yashinda tuzo benki bora kwa wateja maalumu

Dar es Salaam. Benki ya Stanbic imeibuka kinara kwa kushinda tuzo tatu za kimataifa za Benki Bora ya Kimataifa kwa Wateja Maalumu, Benki Bora kwa Kizazi Kijacho, na Benki Bora kwa Huduma kwa Wateja. Ushindi huo unaonesha mchango wake katika kusaidia wateja wa Tanzania kujenga, kukuza na kulinda ukwasi wao kwa mtazamo wa muda mrefu…

Read More