Iran Yakanusha Mazungumzo na Marekani, Yamjibu Trump Kuhusu Nishati
Global Publishers March 23, 2026 0 Comments Serikali ya Iran kupitia Wizara yake ya Mambo ya Nje imekanusha vikali madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba kuna mazungumzo yanayoendelea kati ya Washington na Tehran. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa shirika la habari la Mehr, Iran imesema kauli ya Trump ya kusitisha kwa muda…