Heshima uliyonipa ni ya Wanaruvuma Wote – Global Publishers

  MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema katika mikoa 11 ambayo tayari amefanya mikutano ya kampeni wananchi wameshasema kwamba  watampigia kura za kishindo Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29,2025. Dk.Nchimbi ameyasema hayo leo Septemba…

Read More

Jaji mstaafu, mawakili walinyooshea kidole Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Siku chache baada ya Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Robert Makaramba kukosoa kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kumshambulia wakili Deogratius Mahinyila katika Mahakama Kuu ya Tanzania, mawakili wameeleza kwamba kitendo hicho ni kuingilia uhuru wa Mahakama. Katika tukio hilo la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa…

Read More

CCM Mjini Magharibi yaahidi kuandika historia

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mjini Magharibi, Talib Ali Talib amesema mwaka huu utakuwa wa kihistoria kwa sababu utashuhudia kumalizika kwa upinzani Zanzibar, hatua itakayosaidia kuharakisha maendeleo ya nchi. Akizungumza leo Jumapili Septemba 21, 2025, wakati wa uzinduzi wa kampeni za Jimbo la Kwahani, Talib amesema jimbo hilo litakuwa kitovu cha…

Read More

Chaumma kuja na viwanda vya nyama, kurasimisha ufugaji

Arusha. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kurasimisha sekta ya ufugaji, kuanzisha viwanda vya kuchakata nyama sambamba na kuwapatia wafugaji na wakulima ardhi mkoani Arusha. Katika hilo, chama hicho kimewatahadharisha wale wote wanaohodhi ardhi kikisema kikiingia madarakani kitawapatia ardhi hiyo wenye uhitaji. Kauli hiyo imetolewa leo Septemba 21, 2025na mgombea mwenza wa urais, Devota…

Read More