
MKOA WA LINDI KUFUFUA NA KUANZISHA VIWANDA VIPYA
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na kusikiliza kero na maoni ya wafanyabiashara na wawekezaji wa Mkoa wa Lindi wakati akihitimisha ziara ya siku sita mkoani humo yenye kauli mbiu isemayo ‘Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone’ inayolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na…