Watu 1,673 wamchangia Lissu Sh. 20 milioni kununua gari

WATU 1,673 wamechanga fedha zaidi ya Sh. 20 milioni kwa ajili ya kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, ili anunue gari jipya baada ya lile la awali lililoshambuliwa na watu wasiojulikana 2017, kuwekwa makumbusho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X,…

Read More

Mfahamu Twalib Kadege Spidi Mperampera hadi Ikulu

Miaka 10 iliyopita, Taifa lilipokuwa linauelekea  uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliibuka na kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” iliyobeba tafsiri ya maono yake ya kuwafanya Watanzania wafanye kazi bila lelemama. Mwaka 2020, mgombea urais wa Chama cha The United People’s Democratic Party(UPDP), Twalib Ibrahim…

Read More

MAKAMU MWENYEKITI SHIWATA SULEIMAN KISSOKI AFARIKI DUNIA ,AZIKWA DAR

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Suleiman Kissoki amefariki usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mwandishi wa habari , Katibu Mkuu wa Shiwata, Michael Kagondela amesema hadi jana jioni, Kissoki alikuwa ofisini Ilala Bungoni akiendelea na majukumu yake. Kagondela amesema  marehemu huyo…

Read More

Katibu Mkuu Viwanda na Biashara aiagiza Menejimenti ya WMA kutekeleza maono ya Rais Samia

-Akabidhi magari kuboresha utendaji kazi -Azindua Jarida maalum kupanua wigo uhabarishaji umma Veronica Simba – WMA, Pwani Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah ameitaka Menejimenti ya Wakala wa Vipimo (WMA) kutekeleza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuzingatia utendaji kazi wenye weledi, ubora na viwango ili kupata matokeo chanya katika…

Read More