MKOA WA LINDI KUFUFUA NA KUANZISHA VIWANDA VIPYA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na kusikiliza kero na maoni ya wafanyabiashara na wawekezaji wa Mkoa wa Lindi wakati  akihitimisha ziara ya siku sita mkoani humo yenye kauli mbiu isemayo ‘Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone’ inayolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na…

Read More

TACAIDS yapongezwa kwa malengo yanayotekelezeka ya kumaliza UKIMWI ifikapo 2030

Na Nadhifa Omary, TACAIDS Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imepongeza Menejimenti ya Tume hiyo  kwa kujiwekea malengo yanayotekelezeka yenye lengo la kumaliza UKIMWI ifikapo mwaka 2030. Akizungumza Julai 22,2024 jijini Dar es Salaam katika Kikao cha 57 cha Kamisheni, Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo, Dk. Hedwiga Swai, alieleza kuridhishwa na utendaji wa TACAIDS…

Read More

IAA YAADHIMISHA SIKU YA WATU WENYE ULEMAVU DUNIANI

Siku ya Watu Wenye Ulemavu Duniani, ambayo huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Desemba, ni fursa muhimu ya kuhamasisha jamii na dunia kwa ujumla kuhusu haki, usawa, na ustawi wa watu wenye ulemavu Katika kuadhimisha siku hiyo, Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), kimeandaa semina na kimetoa elimu kwa wanafunzi kuhusu haki za watu wenye ulemavu na…

Read More

Jeshi la DR Congo lazima jaribio la mapinduzi

Kinshasa. Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Felix Tshikedi jijini Kinshansa. Taarifa hiyo iliyochapishwa katika tovuti ya BBC leo Jumapili Mei 19, 2024 imesema; “Msemaji wa jeshi la DR Congo, Brigedia Jenerali Sylavin Ekenge amesema kwenye kituo cha runinga cha Taifa, RTNC TV kwamba washukiwa kadhaa…

Read More

Wasira awananga wasemao CCM haijaleta maendeleo

Mara. Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira amewakosoa wanaosema chama hicho hakijafanya lolote tangu kiingie madarakani, akisema hata elimu waliyonayo imetokana na chama hicho. Akizungumza na wanachama wa chama hicho leo Jumamosi Februari 8, 2025 katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Wilaya Tarime mkoani Mara, Wassira amesema kwa miaka 60 iliyopita Watanzania wamekuwa na…

Read More

Mbunge adai kufanyiwa figisu asirudi bungeni

Dodoma. Homa uchaguzi mkuu wa Oktoba, 2025 imezidi kutanda ndani ya Bunge baada ya Mbunge wa Kyerwa (CCM), Innocent Bilakwate kudai kuwa kuna kiongozi anahonga pesa kwa mabalozi ili asichaguliwe. Amesema hatua ya kiongozi huyo ambaye pia ni mfanyabiashara wa kahawa imekuja baada ya Bilakwate kupambania maboresho ya bei ya kahawa. Uchaguzi mkuu wa Rais,…

Read More