Sekta ya madini yaajiri Watanzania 19,000 tangu 2021

Dodoma. Watanzania 19,371 wameajiriwa kwenye kampuni za uchimbaji wa madini katika kipindi cha kati ya mwaka 2021/22 hadi Januari mwaka 2025. Hayo yamesemwa leo, Jumanne Machi 4,2025 na Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Ramadhani Lwamo alipokuwa akielezea mafanikio ya miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita na mwelekeo wa tume hiyo. “Tume ya…

Read More

Rufaa yawapa wanne ahueni ya adhabu

Arusha. Mahakama ya Rufani imempunguzia adhabu Amedeus Kavishe kutoka malipo ya faini ya Sh1.077 bilioni au kifungo cha miaka 20 jela aliyohukumiwa baada ya kutiwa hatiani kwa kukutwa na nyara za Serikali na risasi kinyume cha sheria hadi faini ya Sh27.6 milioni. Mahakama hiyo iliyoketi Moshi imempunguzia adhabu baada ya kumuondolea hatia katika mashtaka mengine…

Read More

JAFO AZINDUA WIKI YA SHERIA KISARAWE

Na Khadija Kalili Michuzi Tv. WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt.Selemani Jafo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kisarawe amezindua Wiki ya Sheria na kupokea maandamano kwenye Viwanja vya Chanzige. Ameyasema hayo Januari 24 2025 wakati akizindua Wiki ya Sheria kwa Wilaya ya Kisarawe ambapo ameitaka Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe kuendelea kuwasikiliza wananchi…

Read More

Che Malone amshtua Fadlu | Mwanaspoti

SIMBA inajiandaa kulihama jiji la Dar es Salaam ili kwenda Arusha kuvaana na Coastal Union kabla ya kurejea kujiwinda dhidi ya Yanga katika Dabi ya Kariakoo itakayopigwa Machi 8, kuna mambo flani ni kama hayaeleweki kikubwa kikiwa ni afya za mastaa wa kikosi hicho. Bahati nzuri ni kwamba, mastaa karibu wote wako fiti na wanaendelea…

Read More

NCHIMBI AKIPOKEA BARAKA ZA MAMA YAKE MZAZI

Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).

Read More

Sakata la Toto Afya Kadi laibuka tena bungeni

Dodoma. Sakata la Toto Afya Kadi limetinga tena bungeni na Serikali imeendelea kusisitiza msimamo wake kuwa kilichobadilika ni utaratibu wa kujiunga kupitia makundi, badala ya mtoto mmoja mmoja. Mbunge wa Viti Maalum Rehema Migila ndiye aliyeibua suala hilo katika kipindi cha maswali na majibu leo Mei 27, 2024. “Je, Serikali ina mpango gani wa kuwasaidia…

Read More

Stamico kutoa zana za kisasa kwa wachimba madini wanawake

Shinyanga. Shirika la Madini la Taifa (Stamico) linatarajia kuwapatia vifaa vya kisasa vya uchakataji wa madini wanawake hao kupitia Chama cha Wanawake Wachimbaji Tanzania (Tawoma) Lengo la msaada huo ni kuhakikisha wanawake waliopo katika sekta ya madini wana-shiriki kikamilifu kwenye uvunaji wa rasili-mali hizo. Mkurugenzi Mtendaji wa Stamico, Dk Venance Mwasse amesema hayo Mei 29,…

Read More

Mambo ya ndani yaendeleza kicheko

TIMU ya kikapu ya Wizara ya Mambo ya Ndani imeinyoosha Maliasili kwa pointi 113-34 katika mashindano ya Mei Mosi yanayoendelea katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwaja mjini Singida. Katika mashindano hayo timu tisa zinashiriki zikiwa zimepangwa katika makundi mawili huku la A likiwa na Wizara ya Mambo ya Ndani, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),…

Read More