Mpina alikataa shangingi la INEC akiteuliwa kuusaka urais

Dar es Salaam. Wakati Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akiteuliwa rasmi kuwania nafasi hiyo, Chama hicho kimelikataa gari jipya aina ya Toyota LandCruiser GX VXR lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa ajili ya kampeni za urais. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Jacobs Mwambegele, akizungumza leo Jumamosi…

Read More

Sintofahamu ya sheria na raia kugonga treni

Dar es Salaam/mikoani. Ndani ya takribani mwezi mmoja, vimetokea vifo vya watu wawili waliogonga treni katika matukio tofauti, ambavyo vimeibua maswali lukuki kuhusu uzingatiaji wa sheria za reli, tahadhari zinazotolewa katika vivuko na nidhamu ya watumiaji wa barabara. Tukio la karibuni lilitokea Februari 23, 2026 katika eneo la Tabata Relini (Mwananchi)  jijini Dar es Salaam…

Read More

ADC kutoa mitaji kukuza uchumi wa wajasiriamali

Pemba. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia  Chama cha Alliency For Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed  amesema  iwapo wananchi  watampa  ridhaa ya kuiongoza Zanzibar, atawasaidia wajasiriamali na vijana kwa  kuwapatia mitaji itakayowawezesha kujiendesha kiuchumi na kukuza kipato chao. Akizungumza na wananchi na wanachama wa chama hicho katika  mkutano wa hadhara uliofanyika  Mtambwe Wilaya ya…

Read More

UN yasema hali ya usalama Haiti inazidi kuwa hatari

Taifa hilo na limendelea kushuhudia ghasia za magenge, na Umoja wa Mataifa unakisia kwamba tayari magenge yamechukua mamlaka wa asilimia 85 ya mji mkuu wa Port-au-Prince. O’Neil alisema kuwa inazidi kuzorota zaidi kila anapotembelea taifa hilo. Alisema kwamba kutojali na ufisadi ni vizingiti kuvunja magenge hayo. Aliongeza serikali ya Haiti ni lazima iweke kipaumbele cha…

Read More

Vodacom inavyojivunia mafanikio ya ESG

Dar es Salaam. Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeeleza mafanikio yake kupitia mfumo wa jumuishi wa Mazingira, Kijamii na Utawala (ESG) unaozinduliwa kesho Jumanne, Agosti 26, 2025, huku ikisisitiza kukuza ujumuishi wa kidijitali na kufanya biashara kwa uwajibikaji. Kwa mujibu wa kampuni hiyo, inayohudumia wateja milioni 22.6 nchini na zaidi ya milioni 211 barani Afrika,…

Read More