Mabaharia wa Kitanzania wajipanga kuzikabili changamoto

Dar es Salaam. Chama cha Watanzania waliohitimu katika Chuo Kikuu cha Bahari Duniani (WMU) kinakusudia kuwaleta pamoja wataalamu katika sekta hiyo ili kushirikiana kitaaluma na kusaidiana katika kushughulikia changamoto na fursa katika sekta ya bahari kitaifa na kikanda. Chama hicho kinachojulikana kama Chama cha Wahitimu wa WMU Tanzania (WMUTAA), kilisajiliwa rasmi Aprili 2025 baada ya…

Read More

Waliofariki kwa kufukiwa na kifusi mgodini wafikia watano

Shinyanga. Mwili wa mtu mmoja umeopolewa katika mgodi wa Chapakazi na kufikisha idadi ya waliofariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi kwenye mgodi huo kufikia watu watano, huku watatu wakitolewa wakiwa hai. Agosti 11, 2025, wafanyakazi na mafundi zaidi ya 22 wa mgodi huo walifukiwa kwenye mashimo baada ya kutitia wakati wakifanya ukarabati wa mduara…

Read More

JWT TANGA WAMSHUKURU RAIS DKT SAMIA SULUHU KWA KUTATUA KERO ZA WAFANYABIASHARA

Na Oscar Assenga,TANGA JUMUIYA wa Wafanyabiashara Tanzania (JWT) Mkoa wa Tanga imemshukuru Rais Dkt Samia Sukuhu kwa kutatua kero za wafanyabiashara na hivyo kuwawezesha kufanya shughuli zao kwa ufanisi kutokana kuondolewa kwa vikwazo ambavyo walikwa walikabiliana navyo awali.Hayo yalisemwa leo na Katibu wa JWT mkoa wa Tanga Ismail Masoud wakati akizungumza na waandishi wa habari…

Read More

Mbunge adaiwa kujinyonga ndani ya Bunge, Finland

Vyombo vya habari nchini Finland vimeripoti kuwa Mbunge wa Chama cha Kidemokrasia cha Kisoshalisti (SDP), Eemeli Peltonen(30) amejinyonga ndani ya jengo la Bunge nchini humo. Gazeti la Iltalehti, ambalo ndilo la kwanza kutoa taarifa hizo, limesema mtu mmoja alifariki dunia saa 5 asubuhi leo Jumanne Agosti 19, 2025 ndani ya jengo la Bunge, jijini Helsinki….

Read More

RT kuwabana waandaaji mbio | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limepanga kuweka sheria mpya itakayowalazimisha waandaaji wa mashindano ya mchezo huo kuhakikisha wanajumuisha pia mbio za watoto katika kila tukio litakaloandaliwa. Hatua hiyo inalenga kujenga msingi imara wa vipaji na kuwekeza mapema kwenye maendeleo ya riadha nchini. Rais mpya wa RT, Rogath John Stephen Akhwari alisema mpango huo utahusisha kuandaa…

Read More