
Vipaumbele vinne Dk Biteko akizindua mpango kazi ajenda ya wanawake
Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amezindua mpango kazi wa kitaifa wa kutekeleza Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama 2025-2029 huku akianisha vipaumbele vinne vilivyo kwenye mpango huo. Vipaumbele hivyo ni kuwafundisha namna ya kuzuia changamoto wanazokutana nazo, kushirikishwa namna ya kuzikabili, kuwalinda ili waendelee wawe salama na…