Ukosefu wa chakula unaongezeka barani Afrika, ukianguka Amerika ya Kusini na Karibiani – maswala ya ulimwengu

Kuna kupungua kwa wastani kwa njaa tangu 2022. Wakati maendeleo yanaonekana katika Asia na Amerika Kusini, njaa inaongezeka barani Afrika na Magharibi mwa Asia. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Septemba 25 (IPS) – Ripoti ya Usalama wa Chakula na Lishe ya 2025 ulimwenguni…

Read More

Upelelezi bado kesi ya polisi kupora bodaboda ‎

‎‎Moshi. Jamhuri imeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kuwa, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro bado linaendelea na upelelezi wa kesi ya wizi wa pikipiki kwa kutumia silaha inayowakabili askari wanne wa Kitengo cha Intelijensia. ‎‎Taarifa hiyo imetolewa leo Jumatano, Septemba 3, 2025 na mwendesha mashtaka katika kesi hiyo, Wakili wa Serikali Jackson Matowo, wakati…

Read More

Rais Samia aeleza sababu za kuihifadhi Ngorongoro

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza sababu za kuihifadhi Hifadhi ya Ngorongoro huku akiahidi kufanya marekebisho katika uhamaji wa hiari wa wananchi kutoka ndani ya hifadhi hiyo kama ilivyopendekezwa na Tume alizoziunda. Rais Samia amebainisha hayo leo Machi 12, 2026 wakati akipokea ripoti kutoka kwa Tume mbili alizoziunda, moja ikichunguza matumizi ya ardhi…

Read More

Folz ashindwe mwenyewe Yanga | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi Kuu Bara. Yanga ikiwa ndiyo klabu yenye mafanikio zaidi katika Ligi Kuu Bara ikichukua taji hilo mara 31, inaingia msimu huu ikiwa na deni la kutetea ubingwa wake. Katika kutetea ubingwa…

Read More

Mechi za kujiuliza Ligi Kuu Bara

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea leo kwa mechi mbili kupigwa ambapo saa 8:00 mchana, Pamba Jiji itaikaribisha TRA United kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, huku saa 10:15 jioni Mtibwa Sugar ikipambana na Fountain Gate.Hizi ni mechi za kujiuliza kwa timu zote kwani hazijapata ushindi tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu huu. Kwa Pamba…

Read More