Mokhtar afufua ndoto za Mauritania CHAN 2024

USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed, akitamba juu ya ushindi huo. Baada ya mechi mbili mfululizo bila kufunga dhidi ya Madagascar na Tanzania, presha ilionekana kuwa kubwa kwa washambuliaji wa…

Read More

SPOTI DOKTA: Kimbia ukate mafuta mwilini

KUMEKUWAPO na matukio mbalimbali ya mbio za hisani, ambayo yamekuwa yakitumika kuhamasisha mazoezi kama nyen-zo ya kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza maarufu kitabibu kama NCD. Katika mbio nyingi viongozi wa serikali, wakuu wa taasisi mbalimbali toka serikalini na binafsi wamekuwa wakionyesha mfano wa umuhimu wa mazoezi kwa jamii ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza. Mwanaspoti Dokta ikiwa…

Read More

Wanasiasa watoa mwelekeo mpya 2026

Dar es Salaam. Wakati Watanzania wakiukaribisha mwaka mpya wa 2026, baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wameeleza mambo muhimu yanayopaswa kuzingatiwa ili kuimarisha amani, umoja, utulivu na maendeleo ya nchi. Viongozi hao wamesisitiza kuwa 2026 unapaswa kuwa mwaka wa mabadiliko chanya utakaojikita katika haki, maridhiano na uwajibikaji, pamoja na kuweka juhudi za makusudi za…

Read More

M23 wasitisha mapigano DRC | Mwananchi

Mwanza. Muungano wa makundi ya waasi ya AFC na M23, umetangaza kusitisha mapigano nchini humo kwa kile ambacho umedai ni uwepo wa janga la kibinadamu linalolikumba taifa hilo. Taarifa iliyotolewa na Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), jana Jumatatu Februari 3,2025, imesema: “Muungano wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), unautangazia umma kuwa kwa kuzingatia janga la kibinadamu lililosababishwa…

Read More

Prediabetes ni kengele ya onyo kwa afya yako

Dar es Salaam. Prediabetes ni hali ya awali ambayo inaashiria kuna hatari ya kupata ugonjwa wa kisukari aina ya pili. Katika kipindi hiki, kiwango cha sukari huwa juu ila sio juu kiasi cha kufanya uwe mgonjwa wa kisukari. Prediabetes ni ishara ya onyo kuwa mwili unashindwa kudhibiti sukari kwa usahihi, na ikiwa haitadhibitiwa, inaweza kuwa…

Read More

DC Nassari afyungua Kongamano la Wafanyabiashara wilayani Magu

  MKUU wa Wilaya ya Magu, Joshua Nassari amesema Serikali inatambua mchango wa wafanyabiashara wilayani humo katika kukuza uchumi wa wilaya na nchi kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu, Magu, Mwanza … (endelea). DC Nassari ameyasema hayo wakati akifungua kongamano la wafanyabiashara Wilayani Magu lilofanyika Novemba 07,2024 katika ukumbi wa CCM Magu ambapo alibainisha kuwa serikali…

Read More