Zaidi ya nusu ya miundombinu yote Ukanda wa Gaza imeharibiwa – DW – 03.06.2024

Tathmini ya shirika hilo la Umoja wa Mataifa linalofanya uchunguzi kwa kutumia Satelati (UNOSAT) imeonyesha zaidi ya majengo 137,000 yameathirika huko Gaza. Makadirio hayo yanatokana na picha za satelaiti zilizopigwa Mei 3.  Na ilikingalinishwa na picha zilizopigwa mwaka mmoja kabla ya shambulizi la Hamas la Oktoba 7 nchini Israel. Takwimu hizo zinalingana na karibu asilimia 55…

Read More

WIZARA YA FEDHA YARAHISISHA UPATIKANAJI WA TAARIFA ZAKE

Na. Peter Haule na Chedaiwe Msuya, WF, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kutumia taarifa zinazotolewa na Wizara ya Fedha kupitia njia mbalimbali za mawasiliano ili kupata taarifa mbalimbali za uchumi na fedha kwa lengo la kuawasidia kupata ufahamu na maarifa katika kukabiliana na changamoto za kiuchimi. Hayo yamesemwa na Afisa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano…

Read More

Naibu Mkuu wa UN – Masuala ya Ulimwenguni

Ingawa watu wenye ulemavu wanawakilisha asilimia 16 ya idadi ya watu ulimwenguni, bado wanapata usawa wa kiafya, pamoja na vifo vya mapema, matokeo duni ya kiafya, na hatari kubwa ya magonjwa ikilinganishwa na idadi ya watu. Kushughulikia Mkutano wa Ulemavu wa Ulimwenguni Huko Berlin katika ujumbe wa video Jumatatu, Bi Mohammed Alisema hiyo Kutoa fursa…

Read More

UWT WATAKIWA KUMFIKIA KILA MTU, KUONGEZA ‘JESHI LA MAMA’

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Jumuiya ya CCM, kuendelea kuwa sauti ya wanawake nchini na kuwahamasisha kushiriki siasa, akiwataka wahakikishe wanawafikia watu wote, kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu. Katika kutimiza jukumu hilo, Balozi Nchimbi amewahimiza UWT kuendelea kuwatembelea…

Read More

AGRA, GCF wazindua mradi wa kudhibiti upotevu wa mazao ya chakula

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma SERIKALI kwa kushirikiana na Shirika la Mapinduzi ya kijani Afrika (AGRA),pamoja na mfuko wa.mabadiliko ya tabia nchi (GCF),wamezindua rasmi mradi wa RE-GAIN ambao utasaidia kupunguza upotevu wa mazao ya chakula katika maeneo mbalimbali hapa nchini katika msimu wa mavuno. Mradi huo unatarajiwa kutekelezwa katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini,mikoa…

Read More

Cheki ‘SUB’ ya kadi nyekundu kikapu

KATIKA kila mchezo kuna raha yake kwa mashabiki na hata wachezaji. Lakini, linapokuja suala la wachezaji kuingia mchezoni kutokea benchi (sub), kwenye kikapu kuna maajabu zaidi kwani mchezo yeyote anaweza kuingia uwanjani ili mradi tu awe katika benchi la nyota wa akiba. Kwenye soka na michezo mingine mingi, mchezaji anapopewa kadi nyekundu sheria za michezo…

Read More

Sababu Watanzania kushindwa kumudu mahitaji ya kila siku

Dar es Salaam. Kiwango cha Watanzania wanaoshindwa kumudu gharama za maisha za kila siku kimeongezeka mwaka 2023, Ripoti ya Finscope Tanzania inaeleza. Ongezeko hili linatajwa na wachumi kuchangiwa na ukosefu wa ajira na shughuli rasmi za kujipatia kipato cha kila siku, sekta zinazokua kuzalisha nafasi kiduchu na ongezeko la watu waliosoma. Ripoti hiyo inaonyesha mwaka…

Read More