Mjadala kutokomeza ukatili kijinsia kufanyika Zanzibar

Unguja. Zanzibar inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa saba wa viongozi mbalimbali duaniani kuhusu miji na maeneo salama ya umma, mjadala mkuu ukilenga kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. Maeneo mengine yatakayojadiliwa ni namna ya kuanzisha na kuendeleza miji inayotumia teknolojia ya kisasa, kukuza utalii, biashara na uchumi wa buluu. Akizungumza na waandishi wa…

Read More

David Kihenzile Aanza Ujenzi wa Ofisi za CCM Mufindi Kusini

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments MBUNGE wa Mufindi Kusini na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameanza zoezi la kujenga ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo zima, hatua itakayosaidia kutoa huduma bora kwa wanachama na wananchi. Akizungumza leo katika ziara yake ya mwendelezo katika jimbo lake, Kihenzile amesema kuwa zoezi hilo…

Read More

Wasichana wataka kushiriki utekelezaji wa dira 2050

Dar es Salaam. Licha ya hatua mbalimbali kuendelea kuchukuliwa kuhakikisha kunakuwa na usawa kwa watoto wa jinsia zote, bado kuna ombwe la ujuzi wa ujasiriamali na stadi za maisha kwa wasichana , jambo linalozuia kundi hilo kufikia uhuru wa kiuchumi. Hayo yameelezwa na wasichana wakati wa uzinduzi wa jukwaa la Ajenda ya Msichana 2025 linalolenga…

Read More

Wanunuzi wadogo wa Tanzanite walia mfumo wa ununuzi usio rafiki

Mirerani. Madalali wadogo na wakati wa madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wameiomba Serikali kutunga kanuni zitakazowawezesha kununua kila asilimia 20 ya uzalishaji wa madini hayo. Hatua hiyo itawawezesha kufanyika  magulio ya madini, pindi migodi ikizalisha tofauti na sasa inavyofanyika kwa hiari. Baadhi ya madalali hao wadogo wameyasema hayo leo…

Read More

Wanasheria wajitosa kupambania haki za urithi kwa wanawake

Arusha. Umoja wa Wanasheria wa Pan-Africa (Palu) umeanza hatua za kutetea haki za urithi za wanawake wa Kiafrika wanaoishi katika ndoa zisizo rasmi, zinazojulikana kama “njoo tuishi,” pamoja na watoto wao ili kuhakikisha wanapata haki sawa za urithi. Hatua hiyo imeanza leo Machi 17, 2026 jijini Arusha baada ya Palu kuwasilisha hati ya kuomba mwongozo…

Read More

Onyo la ‘mvua ya sumu’ kutoka kwa bohari ya mafuta huku kukiwa na vita vinavyoendelea vya Mashariki ya Kati – Global Issues

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Geneva, msemaji wa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Kibinadamu Ravina Shamdasani ameeleza wasiwasi wake kuhusu madhara ya kiafya na kimazingira ya mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya maghala ya mafuta mjini Tehran huku uchafuzi wa sumu ukienea angani. Alisema kuwa athari hizi zinazua “maswali mazito…

Read More

UN inasikika kengele kama njaa, mapigano na misaada ya wafanyikazi inazidisha shida – maswala ya ulimwengu

Mjumbe maalum wa UN Hans Grundberg aliiambia Baraza la Usalama Siku ya Jumatatu kwamba machafuko huko Yemen hayawezi kuonekana kwa kutengwa. “Yemen ni kioo na ukuzaji wa hali tete ya mkoa,”Yeye Alisemaakigundua kuwa maendeleo kuelekea amani yanazuiliwa na mashindano ya kikanda, mienendo ya mpaka, na mgawanyiko wa ndani. Kuongezeka kwa kutisha katika uhasama Bwana Grundberg…

Read More

Ahadi hewa mwendokasi Mbagala zakera wakazi Dar

Dar es Salaam. Baada ya huduma ya mabasi yaendayo haraka (mwendokasi) katika barabara ya Mbagala kukwama kuanza leo kama ilivyoahidiwa awali na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), wachumi na wadau mbalimbali wamejitokeza kutoa malalamiko pamoja na ushauri wa nini kifanyike ili huduma hiyo ianze kutekelezwa. Akieleza sababu ya kushindwa kutimiza ahadi hiyo, alipozungumza na…

Read More