Shule Ya Msingi Kiromo Yakarabatiwa Kwa Ufadhili Wa Airtel

Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, ametembelea Shule ya Msingi Kiromo kukagua maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na kampuni hiyo, wenye lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi na walimu. Katika ziara hiyo, viongozi wa Airtel walipata taarifa ya hatua za ukarabati wa miundombinu ya…

Read More

Mwanza, Singida kuna ngoma nzito Ligi Kuu

BAADA ya hekaheka za Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana usiku kwenye Uwanja wa New Amaan visiwani Zanzibar, uhondo wa Ligi Kuu Bara umehamia katika miji ya Mwanza na Singida wakati mechi mbili za Ligi Kuu zikitarajiwa kupigwa leo. Simba na Yanga ziliumana juzi katika pambano la kwanza la Ligi Kuu kwa msimu huu ambapo bila…

Read More

DKT. KIMAMBO AWAHIMIZA WATUMISHI WANAWAKE MUHIMBILI KUJITOA KWA DHATI KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo****** Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo, amewataka watumishi wanawake wa hospitali hiyo kujitoa kwa hali na mali katika utoaji wa huduma kwa wananchi wanaofika kupiga matibabu. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika leo Machi 18,…

Read More

Jinsi Ajira ya Watoto Inavyoendelea Katika Uchumi wa Bluu wa Zanzibar — Masuala ya Ulimwengu

Mvulana anafanya kazi kando ya pwani karibu na kijiji cha Kiwengwa huko Zanzibar. Credit: Kizito Makoye/IPS by Kizito Makoye (kiwengwa, tanzania) Jumatatu, Machi 02, 2026 Inter Press Service KIWENGWA, Tanzania, Machi 2 (IPS) – Wakati wimbi likishuka katika pwani ya maghaŕibi ya Zanzibar, Asha* mwenye umŕi wa miaka 13 anasogea katika miamba, gauni lake likipeperushwa…

Read More

Kauli ya mahakama shauri la mjane Alice kuhusu nyumba

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, Dar es Salaam, imetoa taarifa kuhusu shauri la madai ya ardhi lililofunguliwa na mjane, Alice Haule, kuhusu mgogoro wa nyumba. Septemba 23, 2025 kupitia vyombo vya habari Alice alizungumzia kuhusu uwepo wa shauri hilo kwenye mahakama hiyo, baada ya nyumba yake kuvamiwa na watu waliotoa vitu nje…

Read More

Sowah achimba mkwara! Malengo yake balaa

MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah usiku wa leo Jumamosi atakuwa bize uwanjani na kikosi cha timu hiyo katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana, huku akitema cheche mapema kwa msimu huu wa 2025-2026. Nyota huyo wa zamani wa Mediama ya Ghana na Singida Black Stars, amejiwekea malengo…

Read More