Shule Ya Msingi Kiromo Yakarabatiwa Kwa Ufadhili Wa Airtel
Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, ametembelea Shule ya Msingi Kiromo kukagua maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na kampuni hiyo, wenye lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi na walimu. Katika ziara hiyo, viongozi wa Airtel walipata taarifa ya hatua za ukarabati wa miundombinu ya…