Leo Kuna Moto Ulaya! Mechi Hizi Zitakupa Burudani Kamili
Leo Kuna Moto Ulaya! Mechi Hizi Zitakupa Burudani Kamili – Global Publishers Home Michezo Leo Kuna Moto Ulaya! Mechi Hizi Zitakupa Burudani Kamili
Leo Kuna Moto Ulaya! Mechi Hizi Zitakupa Burudani Kamili – Global Publishers Home Michezo Leo Kuna Moto Ulaya! Mechi Hizi Zitakupa Burudani Kamili
Dar es Salaam. Serikali imewakaribisha wawekezaji kutoka India kuja kuwekeza katika uongezaji thamani wa mazao yanayopatikana nchini kwani malighafi zinapatikana kwa wingi, hivyo gharama za uzalishaji zitakuwa nafuu kwao. Hayo yamebainishwa leo Julai 15, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa jukwaa la biashara la Tanzania – India lenye lengo la kuwafungulia fursa zinazopatikana Tanzania…
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 2,2024 Kimataifa • Magazeti About the author
KOCHA wa Petro Atletico ameondoka na furaha baada ya kuichapa Simba, lakini kuna kitu amesema lazima kitakoleza moto mbaya wa mwenzie Dimitar Pantev aliyepo Msimbazi. Petro iliifunga Simba kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mechi yao ya ufunguzi ya Kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni mara ya kwanza kwa…
Dar es Salaam. Katika hatua za kutanua wigo wa utoaji huduma kwenye sekta ya anga Shirika la Ndege la Taifa la Tanzania, (ATCL) limetangaza nafasi za ajira 173. Shirika hilo linalomilikiwa na Serikali linatafuta marubani wapya, wahudumu wa ndege, na wafanyakazi wa ardhini kama sehemu ya utekelezaji wa mpango mkakati wa miaka mitano (2022/23–2026/27). Mpango…
MENEJA Mkuu wa Simba, Dimitar Pantev, ametoa kauli iliyoashiria kuumizwa na matokeo ya kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku akitaja mambo matatu yaliyochangia hilo. Simba imeanza hatua hiyo ya makundi kwa kufungwa nyumbani bao 1-0 dhidi ya Petro Atletico, kisha imechapwa 2-1 na Stade Malien ugenini. Matokeo…
Wananchi mbalimbali Machi 25, 2025 wamefika katika Kituo cha Polisi Mbweni ambako mwanadada aitwaye Tumaini almaarufu Hope Brand anashikiliwa kwa tuhuma za kuwatapeli fedha zao kupitia kuchezesha michezo ya upatu na Vicoba kupitia magroup ya WhatsApp. Global Publishers and General Enterprises…
::::: MWENYEKITI wa Tanzania Mzalendo Foundation, Khamis Mgeja ametoa ushauri, akiiomba Wizara ya Elimu nchini ianzishe masomo ya Amani, Uzalendo na Mazingira shuleni kuanzia darasa la awali hadi Chuo Kikuu. Mgeja ambaye anaongoza taasisi inayojishughulisha na masuala ya haki, Amani na Demokrasia nchini, ametoa ushauri huo mwishoni mwa wiki alipokuwa mgeni rasmi katika mahafali ya…
Last updated May 16, 2025 Kamanda wa Polisi mkoani humo, Blasius Chatanda Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera linaendelea na uchunguzi wa mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti Mstaafu wa Kijiji cha Bubale, Kata ya Kakunyu, Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi mkoani humo, Erneus Kiza, aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana wakati…
Mamia ya wakazi wa Mbagala iliyopo Manispaa ya Temeke, Jijini Dar es Slaam, jana wamejitokeza kwa wingi Hospitali ya Mbagala Rangi Tatu ili kufanyiwa uchunguzi wa macho unaofanywa na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) bila malipo kwa kushirikiana na wenzao hospitalini hapo. Akizunguma hospitalini hapo, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Temeke, Dkt….