SHEIKH MKUU WA TANZANIA AWAHAMASISHA WANAWAKE KUMILIKI ARDHI BAADA YA KUPATA HATI SAMIA ARDHI KLINIKI

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kutumia fursa ya huduma za ardhi zinazotolewa kupitia Samia Ardhi Kliniki, akisisitiza umuhimu wa wanawake kumiliki ardhi kama njia ya kujikomboa kiuchumi. Mufti Zubeir alitoa kauli hiyo baada ya kufika katika Kliniki ya Ardhi inayofanyika katika Ofisi za Ardhi za…

Read More

Sababu Fei Toto kumficha mpenzi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ni msiri mkubwa katika sekta ya mahusiano na mwenyewe amefunguka sababu ya kufanya hivyo. Fei Toto alisema ameamua kufanya hivyo ili yasiingiliane na kazi yake ya kucheza mpira. “Kiukweli ni mpenzi yupo, lakini huwa sipendi kuweka uhusiano wangu hadharani, kazi  yangu haihusiani kabisa na ishu zangu…

Read More

Kituo cha nyuklia cha Iran chagongwa sawa na ‘darasa moja la watoto’ waliouawa, kujeruhiwa kila siku nchini Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Pointi muhimu Watu 1,000+ waliuawa na 2,584 kujeruhiwa nchini Lebanon tangu Machi 2 Iran yaathiriwa na kituo cha nyuklia Mashirika ya Umoja wa Mataifa yameonya kuwa watu milioni 45 wanaweza kukabiliwa na njaa ikiwa vita dhidi ya Iran vitaendelea “Ongezeko la hivi majuzi limeua au kujeruhi sawa na darasa moja la watoto kila siku,” alisema…

Read More

DUA MAALUM KWA TAIFA ,RAIS SAMIA YAFANA DAR

Anaripoti Rashid Mtagaluka Tukio la Dua ya kuiombea Taifa na Rais Samia Suluhu Hassan lililofanyika leo Agosti 31,2025 katika ukumbi wa DRIMP, Ilala Boma, ni kielelezo cha namna Watanzania wanavyotambua dhamana kubwa aliyoibeba Rais katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Dua hiyo iliyoongozwa na Sheikh Adam Mwinyipingu wa BAKWATA Ilala, imekusanya makundi mbalimbali…

Read More

Hizi Hapa Changamoto Za Kuchanganya Mapenzi Na Kazi

NI wiki nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu, mada tunayoendelea nayo ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ya namna ya kukabiliana na changamoto za kuchanganya mapenzi na kazi. Jambo la msingi unalopaswa kulitambua, siku zote mapenzi na kazi ni vitu ambavyo havitakiwi kuchanganywa, kama unafanya kazi na mwenzi wako, basi mkiwa kazini ni mfanyakazi mwenzako…

Read More

BAKWATA Yamtangaza Rais Samia Kuongoza Baraza la Eid Jijini Dar

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Waislamu nchini Tanzania kesho Machi 21, 2026  wanatarajiwa kuadhimisha Sikukuu ya Eid El-Fitri kwa shangwe na ibada maalum, ikiwa ni hitimisho la mwezi mtukufu wa Ramadhani. Nchini Tanzania, Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atakuwa mgeni…

Read More