Meridianbet Yaja Na Dhamira ya Ushindi Mechi Za Jumatatu

JUMATATU hii, viwanja vya soka barani Ulaya vinageuka majukwaa ya burudani na ushindani mkali, huku mashabiki wakijiandaa kushuhudia mechi nne za kuvutia kutoka EPL, La Liga na Serie A. Kwa wale wanaopenda kubashiri kwa maarifa, Meridianbet imeweka mazingira ya ushindi kuwa ya kuvutia zaidi kuliko kawaida, odds kubwa na machaguo tele kwa kila dakika ya…

Read More

JKT Queens yaenda Misri kwa mafungu

WAWAKILISHI pekee wa Cecafa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake, JKT Queens wameanza safari kwenda Misri inakofanyika michuano hiyo huku kundi la kwanza limeondoka leo Jumatano Novemba 5, 2025 na lingine la watu 11 litaondoka kesho Alhamisi. JKT ilikata tiketi ya kushiriki michuano hiyo Septemba 2025, iliponyakua ubingwa wa Cecafa mbele ya…

Read More

ROYAL TOUR YA RAIS SAMIA YAING’ARISHA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO KIMATAIFA

Taasisi ya World Travel Awards imetangaza hifadhi mbili za Tanzania kuwa washindi katika vipengele vya hifadhi na kivutio bora cha utalii barani Afrika kwa mwaka 2024.  Hifadhi ya Taifa Serengeti imetangazwa kuwa mshindi katika kipengele cha Hifadhi Bora Barani Afrika (“Africa’s Leading National Park 2024”) wakati Mlima Kilimanjaro ikitangazwa kuwa Kivutio bora cha Utalii Barani…

Read More

MAKALA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA MOROGORO

Farida Mangube, Morogoro Katibu wa Itikadi na uenezi Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa CPA Amos Makala anatarajia kufanya ziara ya siku Sita mkoani Morogoro ambapo atakuana na kuzungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi na kuelezea utekelezaji wa ilani ya CCM. Taarifa ya ziara ya kiongozi huyo imetolewa na Msemaji wa Chama Cha Mapinduzi…

Read More

Kampeni chafu zinavyoweza kupunguza mwamko wa wapiga kura

Dar es Salaam. Katika kila uchaguzi, sauti ya mwananchi ni msingi wa maamuzi ya kitaifa na mustakabali wa kizazi kijacho. Hata hivyo, kampeni chafu zimezidi kuwa kikwazo cha wananchi kushiriki kikamilifu katika mchakato huo wa kidemokrasia. Kampeni chafu, zenye mwelekeo wa kushusha hadhi za wagombea, kueneza taarifa za uongo, na kuchochea hisia za chuki, zimegeuka…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 2)

LAKINI ukweli ni kwamba kijiji kilikuwa salama kwa sababu kila ambaye hakufika hapo alikuwa anaendelea na maisha yake. Lakini wapo watu wachache ambao kwa sababu zao walijaribu kuruka uzio kwa lengo la kulifikia jumba kwa malengo mbalimbali, waliishia kwenye kinywa cha joka hilo lililokuwa na kasi na nguvu za ajabu sana. Zamani wakati tukio hili…

Read More

Lissu alivyomalizana na shahidi kesi ya uhaini

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu Leo amemaliza kumuuliza maswali shahidi wa kwanza wa Jamhuri kutokana na ushahidi wake alioutoa mahakamani hapo Oktoba 6 ,2025. Hata hivyo Kesi hiyo imeahirishwa mpaka kesho Oktoba 9 saa tatu asubuhi ambapo  itaendelea katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam kwa upande wa…

Read More

Ngai: Simba inatuhujumu mapato | Mwanaspoti

Yanga imesisitiza kwamba haitakubali mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa leo uahirishwe huku ikisema watani wao Simba wanaihujumu mechi hiyo ili kuwanyima mapYanga imesisitiza kwamba haitakubali mchezo wa Dabi ya Kariakoo uliopangwa leo uahirishwe huku ikisema watani wao Simba wanaihujumu mechi hiyo ili kuwanyima mapato.ato. Hayo yamesemwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga,…

Read More