Ewura yatangaza bei mpya, mafuta yapanda

Dar es Salaam. Watumiaji wa bidhaa za mafuta Tanzania wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) kutangaza bei kikomo zitakazotumika Machi mwaka huu. Katika bei hizo, watumiaji wa mafuta ya dizeli wameshuhudia ongezeko la bei zaidi ikilinganishwa na wale wa petroli na mafuta ya taa. Kwa…

Read More

Kupanda kwa Haraka kwa Teknolojia ya Ufuatiliaji ya Jiji la Smart Kote Afrika ili Kupeleleza Raia – Masuala ya Ulimwenguni

Dhana ya picha ya teknolojia ya dijiti na ufuatiliaji wa kamera ya CCTV. Credit: ART STOCK CREATIVE / shutterstock.com Chanzo: Taasisi ya Mafunzo ya Maendeleo, UK Maoni na Taasisi ya Mafunzo ya Maendeleo (Brighton, uk) Jumanne, Machi 17, 2026 Inter Press Service BRIGHTON, Uingereza, Machi 17 (IPS) – Upanuzi mkubwa wa ufuatiliaji unaowezeshwa na AI…

Read More

Wadau wataka mabadiliko ya sheria wanaojaribu kujiua

Dodoma. Wakati wataalamu wa afya ya akili na wanasheria wakishauri kufanyika marekebisho ya sheria ili wanaojaribu kujiua wapewa tiba  saikolojia, badala ya kukabiliwa na mashtaka, baadhi ya waliofikwa na kadhia hiyo wameeleza wanayopitia. Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu mtu yeyote anayejaribu kujiua ana hatia ya kosa. Akizungumza Septemba 10, 2025 wakati wa…

Read More

Europa Na Mitanange Ya Kihistoria Usiku Wa Leo

MASHABIKI wa soka duniani leo wanatazamiwa kushuhudia burudani ya hali ya juu katika michuano ya Europa League msimu wa 2025/26, huku viwanja mbalimbali barani Ulaya vikifurika kwa shamrashamra za mechi kali. Timu mahiri zinachuana kwa heshima, pointi na historia, na kwa wale wanaojua kupiga hesabu za ushindi, Meridianbet imeweka odds kubwa na bonanza la kasino…

Read More

Kanuni kudhibiti maonyesho ya biashara yanayofanyika holela

Dar es Salaam. Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imekuja na kanuni maalumu ambazo zinalenga kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na kudhibiti baadhi ya vitendo vinavyoumiza wafanyabiashara ikiwemo kuandaa maonyesho yasiyoweza kuleta tija. Hayo yameelezwa katika kikao cha pamoja na wadau kilichoandaliwa na Tantrade kwa ajili ya kujadili kanuni hizo kilichofanyika leo Machi 11,…

Read More

Chaumma: Hakuna atakayenyanyaswa kwa sababu ya uraia

Kagera. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewaahidi wananchi mkoani Kagera na maeneo mengine ya mipakani kuwa, kikipata ridhaa ya kuongoza dola, kitahakikisha hakuna raia anayebughudhiwa au kunyanyaswa kwa sababu ya uraia. Chama hicho kimesema kitaunda Serikali itakayothamini rasilimali watu kwa maendeleo ya Taifa, kama ilivyo kwa mataifa ya China na Marekani, yaliyo mstari wa…

Read More

MAADHIMISHO YA HAKI YA MLAJI KUTOA MWANGA KWA WANANCHI, WAZIRI KAPINGA KUTARAJIWA KILELE KITAIFA

 :::::::::::::::: Tume ya Ushindani (FCC) imeanza rasmi maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki ya Mlaji Duniani kwa kuzindua kampeni ya kitaifa ya utoaji elimu kwa umma. Kupitia kampeni hiyo, walaji na wafanyabiashara watapatiwa mafunzo yanayolenga kuwajengea uelewa kuhusu haki, wajibu na misingi ya ushindani wa haki katika soko. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa…

Read More