Veta yaagizwa kurejesha kozi za kilimo, ufugaji na ujasiriamali

Dodoma. Serikali imeitaka Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) kurejesha kozi mbalimbali ambazo awali ziliondolewa ikiwemo kilimo, ufugaji na ujasiriamali ili ziendane na mazingira na fursa za kiuchumi zilizopo katika maeneo husika, lengo likiwa kuwawezesha wananchi na vijana kujiajiri na kushiriki kikamilifu katika uchumi wa eneo hilo. Agizo hilo limetolewa leo, Novemba…

Read More

Dimeji aiponda Nigeria, akikoshwa na Taifa Stars

MCHEZAJI wa zamani wa kimataifa wa Nigeria, Dimeji Lawal, ameonyesha kutoridhishwa kwake na kiwango cha Nigeria (Home-Based Eagles) baada ya kutolewa kwenye michuano ya CHAN huku akiipongeza Taifa Stars ya Tanzania. Nigeria ilikumbana na kipigo kizito cha mabao 4-0 kutoka kwa Sudan katika mechi yao ua pili ya  kundi D, iliyopigwa Jumanne. Kabla ya kipigo…

Read More

TMA yatoa tahadhari upungufu wa mvua

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua zinazotarajiwa kunyesha Novemba mwaka huu hadi Aprili 2026, zitakuwa za wastani au chini ya wastani, hivyo kutashuhudiwa vipindi vya ukame vya muda mrefu. Kutokana na hali hiyo, TMA imetoa angalizo kwa sekta ya kilimo, afya, mifugo na uvuvi, utalii, nishati, maji na madini,…

Read More

AFRIKA YASISITIZA UFADHILI WA UHAKIKA KWA UTEKELEZAJI WA MAPAMBANO DHIDI YA MABADILIKO YA TABIA NCHI

::::::::: Na Mwandishi wetu, Belem, Brazil Afrika imeendelea kusisitiza hitaji la kuwepo kwa ufadhili wa uhakika, endelevu na wa kutosha kwa ajili ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, ikionya kuwa bila rasilimali za kutosha na msaada wa kweli katika utekelezaji, maamuzi yanayofikiwa katika majukwaa ya kimataifa yataendelea kubaki kuwa ahadi na maneno mazuri…

Read More

Chadema yaivaa Polisi, Heche atoa msimamo

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakirudi nyuma katika mapambano ya kudai haki, licha ya viongozi na makada wake kukumbwa na kadhia walipokwenda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Chama hicho kimedai miongoni mwa kadhia walizokumbana nazo juzi ni viongozi na makada wao…

Read More