Sera ya vijana EAC yatia matumaini, sauti yao bado changamoto

Dar es Salaam. Wakati nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zikiendelea kuboresha sera ya vijana ya 2025–2030, wadau wamesema inaleta matumaini kwa maendeleo ya vijana, lakini bado kuna changamoto ya ushirikishwaji na utekelezaji. Hayo yameelezwa leo Machi 18, 2026 katika mkutano wa kikanda wa afya ulioandaliwa na Baraza la Wabunge Vijana wa Afrika…

Read More

Mwalimu aahidi utajiri kwa vijana akiingia Ikulu

Tanga. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, atahakikisha vijana wa Kitanzania wanakuwa matajiri kupitia njia halali na endelevu. Ameyasema hayo leo Jumanne Septemba 2, 2025 wakati akihutubia wananchi wa kata za Maramba na Mapatano wilayani…

Read More

Tausi Royals, Dar City zakoleza ushindani BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikifikia hatua ya nusu fainali, inaonyesha timu ya Tausi Royals na Dar City ndizo zilizofanya ushindani wa ligi hiyo uongezeke. Ushindani huo umetokana na usajili mzuri uliofanywa na timu hizo na kufanya timu nyingine ziongeze jitihada zaidi. Hata hivyo, licha ya timu ya Tausi Royals…

Read More

NRA waahirisha mkutano Tanga, sababu yatajwa

Tanga. Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), kimesema kimeshindwa kufanya mkutano wake ambao ilibidi ufanyike mkoani Tanga, kwa ajili ya kumnadi mgombea wake wa nafasi ya urais. Akizungumza na Mwananchi mgombea urais kupitia NRA, Hassan Almasi ambaye ndiye katibu wa chama hicho leo Jumamosi Septemba 13, 2025 amesema wameshindwa kuendelea na mkutano wa Tanga kutokana…

Read More

Sababu na athari ndoa za siri

Ndoa ni muunganiko rasmi wa watu wawili wanaopendana, kwa lengo la kuishi pamoja kwa upendo, heshima, na mshikamano.  Kikawaida, ndoa hufanyika kwa uwazi na kushuhudiwa na familia, jamii na mamlaka husika kama taasisi za dini au serikali.  Hata hivyo, uzoefu hivi sasa unaonyesha, kuna ongezeko la ndoa zinazofungwa kwa siri, yaani, ndoa ambazo hufanyika kwa…

Read More

Nini Kinachohitajika Kuondoa Ugonjwa katika Visiwa vya Pasifiki – Masuala ya Ulimwenguni

Dk Anasaini Cama wa Wakfu wa Fred Hollows aendesha mafunzo ya magonjwa ya kitropiki katika Visiwa vya Solomon. Credit: Shea Flynn/RTI International na Catherine Wilson (sydney, australia) Jumatano, Februari 25, 2026 Inter Press Service SYDNEY, Australia, Februari 25 (IPS) – Mataifa mawili ya Visiwa vya Pasifiki yamepongezwa kwa mafanikio yao katika kampeni ya kimataifa ya…

Read More