Miundombinu ya barabarani, madaraja tumejenga wenyewe

Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa kwa sasa inajenga miundombinu ya barabara na madaraja kwa kutumia fedha za kodi kwa ajili ya kuboresha usafiri na maendeleo ya wananchi. Imeeleza katika kipindi cha miaka minne  barabara za lami zenye urefu wa kilomita 1,365 zimekamilika kujengwa na kilomita 2,380 za barabara za kiwango cha lami zinaendelea kujengwa…

Read More

BENKI YA DUNIA YAIPONGEZA TANZANIA MRADI WA SGR

  Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Benki ya Dunia imeshangazwa na hatua kubwa iliyofikiwa na Serikali katika kutekeleza Mradi wa Kimkakati wa Reli ya Kisasa wa SGR, na kuahidi kuwa itaweka mkono wake kusaidia ujenzi wa Reli hiyo muhimu kwa kukuza biashara na ukuaji wa uchumi wa nchi. Kauli hiyo imetolewa Jijini Dar es…

Read More

FEZA Boys yafaulisha wanafunzi wote

SHULE Sekondari Feza Boys imejivunia uwekezaji iliyofanya katika kumuandaa mwanafunzi kuwa bora baada ya kufaulisha wanafunzi wote kwa kupata daraja la kwanza katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne ulifanyika mwaka 2024, huku zaidi ya asilimia 65 wakipata division 1.7. Hayo ameyasema Makamu Mkuu wa Shule ya FEZA Boys, Shabani Mbonde wakati akizungumza na…

Read More

Kocha Prisons hali tete, aiwaza Coastal

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Ahmad Ally ameanza kuonja joto la jiwe kufuatia matokeo yasiyoridhisha anayoendelea kupata na kumuweka katika wakati mgumu. Ally ambaye alitua kikosini humo mwishoni mwa mwezi Oktoba akichukua nafasi ya mtangulizi wake, Fred Fe-lix ‘Minziro’ aliyesitishiwa mkataba kutokana na matokeo mabovu. Kocha huyo wa zamani wa KMC, alikuwa na mwanzo mzuri…

Read More

AMREF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA MKUNGA DUNIANI 2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha (kushoto) akipewa maelezo katika banda la Amref Tanzania wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha akizungumza na wananchi, wageni na wadau mbalimbali waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Wananchi na wageni…

Read More

ACB yawafunda watumishi wa umma elimu ya fedha

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba (ACB), Silvest Arumasi amesema wataendelea kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili waweze kufanya maamuzi sahihi kuhusu mahitaji ya huduma za kibenki. Akizungumza wakati wa hafla iliyohusisha viongozi na watumishi kutoka wizara, taasisi na ofisi mbalimbali za Serikali jijini Dodoma amesema Akiba Commercial Bank Plc…

Read More

Utafiti kufanyika tathimini uchelewaji miradi ya ubia

Morogoro. Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) kwa kushirikiana na asasi ya kiraia ya Utawala Bora (Wajibu) kimetia saini makubaliano ya kufanya utafiti wa kina kutathimini vyanzo vya ucheleweshaji wa utekelezaji miradi ya ubia nchini. Utiaji saini umefanyika leo Ijumaa Oktoba 3, 2025 mjini Morogoro, ukiwashirikisha Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC,…

Read More

Vyuo vikuu vitano vyaungana kukabiliana na mabadiliko tabianchi

Morogoro. Watafiti na wahadhiri kutoka vyuo vikuu vitano wamekutana mjini Morogoro kwa ajili ya kutafuta suluhisho kwa changamoto zinazochochewa na mabadiliko ya tabianchi hususani katika sekta za kilimo, afya na upatikanaji wa maji. Katika mkutano huo unaohusisha vyuo vikuu vinne vya Tanzania na kimoja cha Canada, wanasayansi wamepanga kuja na majawabu jumuishi yatakayogusa maisha ya…

Read More

Tabu iko palepale, Pacome aongeza miwili Yanga

KLABU ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake, Pacome Zouzoua baada ya ule wa awali kumalizika mwisho wa msimu uliopita 2024-2025. Kiungo huyo raia wa Ivory Coast, alitua Yanga msimu wa 2023-2024 akitokea ASEC Mimosas ambapo alikuwa Mchezaji Bora (MVP) wa Ligi Kuu ya Ivory Coast. Katika msimu uliopita 2024-2025, Pacome alikuwa…

Read More