Mambo yameiva Dabi K’koo… Simba mtiti, Yanga mtiti

HUKO mtaani na katika mitandao ya kijamii kuna kelele nyingi za mashabiki wa soka wakitamani siku ziende haraka ili washuhudie Dabi ya Kariakoo ya kwanza kwa msimu wa 2025-2026. Ndiyo, Simba iliyomaliza nafasi ya pili Ligi Kuu Bara, italazimika kuvaana na Yanga iliyobeba mataji yote msimu uliopita kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu hadi Kombe…

Read More

SEKTA YA BIMA YAKUA MARA DUFU CHINI YA RAIS SAMIA

 ::::::::: Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SEKTA ya bima nchini imepiga hatua kubwa ya maendeleo ndani ya miaka minne tu ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, huku thamani ya mitaji ikiripotiwa kuongezeka kwa zaidi ya mara mbili. Kwa mujibu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), thamani ya mitaji katika soko…

Read More

WATAALAMU WA BAJETI NCHINI WATAKIWA KUBADILI MWELEKEO WA UTENDAJI KATIKA USIMAMIZI WA MIPANGO NA BAJETI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma   Wataalamu wa bajeti  Nchini kubadili mwelekeo wa utendaji wao katika usimamizi wa mipango na bajeti za serikali, akisisitiza kuwa wao ndio nguzo kuu ya mafanikio au changamoto katika utekelezaji wa bajeti. Akizungumza leo Agosti 18,2025 jijini Ddooma wakati wa  kikao kazi cha tathmini ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2024/25…

Read More

ZEC YATANGAZA KURA YA MAPEMA KUPIGWA OKTOBA 28

Na Nihifadhi Abdulla Zanzibar. TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ambao utahusisha uchaguzi wa Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na Madiwani. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mwenyekiti wa ZEC, Jaji George J. Kazi, amesema kwa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 34(3)…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo CHAN 2024

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More