DK.SAMIA ATOA HOFU WAKULIMA BEI YA MBAAZI NA UFUTA, WANYAMA WAHARIBIFU TUNDURU

Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Tunduru MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wakulima wa mbaazi na ufuta katika wilayani Tunduru mkoani Ruvuma kwamba Serikali inaendelea na mazungumzo na Serikali ya India kwa ajili ya kuuza mazao hayo. Akihutubia wananchi wa Kijiji cha Nakapanya wilayani Tunduru mkoani Ruvuma leo Septemba…

Read More

Kauli hii haitolewi na mwanamume wa kweli

Kuna kauli siku hizi imekuwa maarufu sana mitandaoni na hata kwenye vijiwe vya kahawa: “Natafuta mke mwenye kazi, anisaidie maisha.” Ukiisikia mara ya kwanza unaweza kudhani ni kauli ya maendeleo, usawa wa kijinsia na mipango ya kisasa ya ndoa. Lakini ukiichambua vizuri, unaweza kubaini kuna harufu fulani ya uvivu iliyojificha nyuma ya maneno hayo matamu….

Read More

Maelfu Washiriki Kilimanjaro Marathon Moshi, Yavunja Rekodi Licha ya Mvua

Licha ya mvua kubwa kunyesha katika Mkoa wa Kilimanjaro Region, maelfu ya washiriki na watazamaji walijitokeza kushiriki na kushuhudia toleo la 24 la Kilimanjaro International Marathon lililofanyika mjini Moshi Jumapili. Katika mbio za kilomita 42 kwa wanaume, mwanariadha kutoka Kenya, William Morwabe, aliibuka mshindi kwa muda wa saa 2:18:52, akionesha ubora mkubwa licha ya changamoto…

Read More

PROF. KITILA MKUMBO NA KAIRUKI WAREJESHA FOMU

:::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Professa Kitila Mkumbo leo Agosti 27, 2025 amerudisha fomu yake ya uteuzi wa kugombea kwenye jimbo hilo ili kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi(INEC). Kitila ambaye amekuwa Mbunge wa jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 leo amerejesha fomu baada ya kuichukua Agosti…

Read More

Ushindani sokoni unavyoshusha bei, kuchochea ubunifu

Ni rahisi kuona kampuni kubwa zikishindana na kudhani lengo lao ni kuumizana. Lakini tukilitazama kwa jicho pana, ushindani wa kibiashara si vita ya kuangamiza bali ni nguvu inayowanufaisha wateja. Ukiwa na usimamizi mzuri, ushindani huwa kama fadhili iliyojificha unasukuma ubora juu, bei chini, na ubunifu mbele. Fikiria simu ya mkononi uliyonayo. Kila mwaka kampuni kubwa…

Read More

Albania yateua waziri roboti wa kupambana na ufisadi

Tirana. Albania imeweka rekodi ya dunia kwa kuwa nchi ya kwanza kuteua waziri aliyeundwa kwa akili bandia (AI), siyo waziri wa teknolojia ya AI, bali waziri halisi wa kidijitali, aliyeundwa kwa misimbo na kuendeshwa na mfumo wa kisasa wa akili bandia. Jina lake ni Diella, linalomaanisha ‘mwanga wa jua’ kwa Kialbania ndilo jina la roboti,…

Read More