Mabalozi wakubali kuwekeza Dodoma wakieleza ardhi inafaa

Dodoma. Serikali imewaita mabalozi kutambua umuhimu wa kuwekeza katika Jiji la Dodoma, kwani ndiyo eneo pekee linalowafaa kwa sasa. Wito huo umetolewa jana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mahmoud Thabiti Kombo alipokuwa akizungumza na mabalozi kwenye hafla na ziara iliyopewa jina la ‘Diplomatic Capital City Tour’. Balozi Kombo amesema…

Read More

Kagera Sugar yatambia rekodi kwa Tabora United

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata, raia wa Uganda amesema baada ya kucheza michezo miwili ya ligi na kupoteza yote, sasa wamejipanga kupambana kufa au kupona ili kuanza kukusanya pointi huku akiamini kwamba rekodi ya msimu uliopita itawabeba dhidi ya Tabora United. Kauli ya kocha huyo imekuja ikiwa kesho Jumatano anatarajia kukiongoza kikosi chake…

Read More

Fujo zaiponza KVZ, yalimwa faini Sh3 milioni

SHIRIKISHO la Soka Zanzibar (ZFF), limeipiga faini ya Sh3 milioni, KVZ baada ya kubainika mashabiki wake kufanya vurugu katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup) dhidi ya Uhamiaji. Mechi hiyo iliyochezwa Juni 11, 2025 saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Mao A, kisiwani Unguja, KVZ ilitoka na ushindi wa mabao 2-1…

Read More

KIGOGO CCM ATOA RAI TAASISI ZIUNGANE KUPINGA RUSHWA

Katibu  wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ally Bananga  akizungumza  kwenye maadhimisho  ya miaka miwili  ya kuanzishwa kwa Taasisi ya Kupinga vitendo vya rushwa ACVF iliyofanyika katika Ukumbi wa Ubungo Plaza Jijini Dar es Salaam Kaimu Afisa Usalama Barabarani (RTO) Kinondoni  ASP Notker Kilewa  akizungumza kwenye hafla hiyo ambapo amekemea utoaji na upokeaji…

Read More

SERIKALI YAONYA UDANGANYIFU WA MIRADI

Katibu tawala(DAS) Wilaya ya Chato, Thomas Dimme, akikabidhi mkopo wa pikipiki kwa kikundi cha bodaboda ………… CHATO SERIKALI wilayani Chato mkoani Geita imeonya udanganyifu wa baadhi ya miradi inayotekelezwa kupitia fedha za mikopo ya aslimia 10 za halmashauri ya wilaya hiyo, huku ikiwataka wanawake, Vijana na watu wenye Ulemavu kuwa na ubunifu wa miradi yenye…

Read More

MAKATIBU MAHSUSI WA OFISI YA RAIS -TAMISEMI WASHIRIKI MKUTANO 11 WA TAPSEA

OR – TAMISEMI, Mwanza Makatibu Mahsusi wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI wameshiriki Mkutano wa 11 wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania(TAPSEA) unaofanyika Mkoani Mwanza. Mkutano huo unawakutanisha Makatibu Mahsusi wa Tanzania Bara na Visiwani, Ofisi za Serikali na zisizokuwa za Serikali lengo likiwa ni kukumbushana maadili ya kazi zao na kubadilishana uzoefu. Akizungumza kwa niaba…

Read More

Dk Mwinyi: Hakuna aliye salama amani ikitoweka

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka wananchi wasikubali kudanganywa kuvuruga amani, kwani ikitoweka hakuna atakayebaki salama na uchumi wa Taifa utadidimia. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Juni 6, 2024 katika hafla ya kilele cha maadhimisho ya mwaka mpya wa Kiislamu Zanzibar katika msikiti wa Jamiu Zinjibar. Dk Mwinyi amesema amani na utulivu…

Read More

Gods Spin mkwanja upo huku

  Kama umechelewa kutambua sasa ufahamu kabisa mkwanja upo sehemu moja na sio kwingine ni mchezo wa kasino wa Gods Spin ambao unapatikana pale Meridianbet. Cheza sasa ujishindie maokoto. Age of the Gods Spin a Win ni mchezo wa kasino ya mtandaoni ambao unaweza kukuletea ushindi wa kushangaza. Mchezo huu unakupa odds za kipekee na…

Read More

Kasongo: Kuna makosa saba kila baada ya dakika 90

OFISA Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almasi Kasongo amesema kutegemea kamati ya waamuzi bado ni tatizo tofauti na mataifa mengine yaliyoendelea, wakati akichangia mjadala unaohusu, ‘Makosa ya waamuzi Ligi Kuu Bara, nini kifanyike? Kasongo ameyasema hayo leo Jumatano Februari 26, 2025 kupitia mjadala kwa njia ya mtandao wa Mwananchi X space wenye Mada…

Read More