Wanawake wapaza sauti kusaka nguvu ya uamuzi

Dar es Salaam. Uwepo wa wanawake katika nafasi za uongozi pekee hakutoshi katika uwezeshaji wa wanawake, bali fursa hiyo inapaswa kuambatana na nguvu ya kufanya uamuzi. Vilevile, ushiriki wa wanaume katika safari ya kuwawezesha wanawake nao umetajwa kama jambo muhimu kwa kuwa wote wanategemeana. Msisitizo umetolewa kuwa, haiwezekani kufikia malengo ya uwezeshaji wa wanawake bila…

Read More

Joto la urais lazidi kupanda Tanzania

Dar es Salaam. Kumekucha. Joto la urais wa Tanzania na Zanzibar limeanza kupanda katika baadhi ya vyama vya siasa kwa baadhi ya makada kutangaza nia au kuchukua fomu ya kuomba uteuzi wa kuwania nafasi hiyo ya juu. Tayari baadhi ya waliotangaza nia ya kuutaka urais kupitia vyama vyao, wameshaweka wazi vipaumbele vyao endapo watapewa ridhaa…

Read More

Washtakiwa mauaji ya Milembe wajitetea, waomba kuachiwa huru

Geita. Washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43) kwa kumkata na kitu chenye ncha kali, wamejitetea wakieleza kutohusika na tukio hilo, wakiiomba mahakama iwaachie huru. Wamewasilisha ombi hilo mbele ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Geita, Kelvin Mhina walipotoa utetezi wenyewe mahakamani hapo. Juzi, upande wa mashtaka ulifunga ushahidi ukiwa na mashahidi 29…

Read More

PUMA ENERGY TANZANIA YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI, YANG’ARA TUZO TRA

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania imempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira bora na wezeshi kwa wawekezaji nchini, hivyo kuwezesha kulipa kodi kwa serikali na kuchochea maendeleo. Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah baada ya kampuni hiyo kuibuka kinara kwa kupokea tuzo nne za…

Read More

Frank Komba na rekodi ya miaka kumi beji ya Fifa

Jina la Frank Komba sio geni na linafahamika sana na wadau wa mpira wa miguu kutokana na kile ambacho amekuwa akiufanyia mchezo huo. Huyu ni mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania ambaye pia ni mtumishi wa Jeshi la Polisi huku pia akiwa Wakili kitaaluma. Mwanzoni mwa mwaka huu, Komba aliandika rekodi moja ya kibabe ambayo…

Read More

Wanafunzi wa ukaguzi kunolewa nchi nzima

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya ukaguzi wa ndani, wameanza safari ya kuwajengea uwezo na ujuzi wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wanaosomea fani hiyo ili kuwapata wakaguzi bora, wenye weledi na maadili kwa ajili ya siku za usoni. Hayo yameelezwa Juni 28, 2024 na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Wakaguzi wa Ndani ya…

Read More