Wadau wasisitiza ushirikiano kuchochea maendeleo endelevu

Dar es Salaam. Wadau wa maendeleo nchini wameeleza umuhimu wa ushirikiano miongoni mwao ili kuhakikisha maisha ya Watanzania yanakuwa bora na stahimilivu kupitia teknolojia na sera wezeshi. Wadau wamebainisha hayo leo Agosti 14, 2025 kwenye mjadala ulioandaliwa na Kampuni ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kuhusu umuhimu wa ushirikiano wa…

Read More

SERIKALI YATOA BIL 1.5 UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA MWANZA

Serikali imetoa shilingi Bilioni 1.5 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya barabara zilizoharibika maeneo mbalimbali Mkoani Mwanza. Fedha hizo zimetolewa na serikali kwenda Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Mwanza ili kuanza haraka kazi ya marekebisho miundombinu ya barabara na madaraja ambayo yameharibika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Meneja wa TANROADS Mkoa…

Read More

Simbachawene ataka mfuko wa kusawasaidia wasio na uwezo kielimu

Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amekitaka Kikundi cha Mikalile ye Wanyausi ambacho huwakusanya jamii ya Wagogo, kuunda mfuko wa kuwasaidia watoto wasiokuwa na uwezo kielimu. Akizungumza leo Jumamosi Desemba 28, 2024 katika mkutano mkuu wa kikundi hicho, Simbachawene amewataka wanakikundi  kukaa na wawakilishi…

Read More

Rufaa ilivyomnusuru kifungo cha maisha jela kwa ubakaji, ulawiti

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru Bahati Anyandile, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya makosa mawili ya kumbaka na kumlawiti mtoto wa mpangaji mwenzake  aliyekuwa na miaka minne. Matukio hayo yalidaiwa kutokea kwa tarehe isiyojulikana Aprili 2021. Anyandile alifanya vitendo hivyo mara nane kwa nyakati tofauti maeneo ya chumbani…

Read More