Makubaliano ya kusitisha vita ya Israel-Hamas yanukia

Doha. Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Jeshi la Israel (IDF) na kundi la wapiganaji la Hamas lililopo ukanda wa Gaza nchini Palestina yamefikia pazuri. Kwa mujibu wa tovuti ya Al Jazeera, masungumzo ya makubaliano ya kusitisha mapigano hayo yanayoratibiwa na mataifa mbalimbali ikiwemo Qatar na Marekani yanaendelea vyema jijini Doha Qatar. Kwa mujibu wa…

Read More

Mambo yanayosababisha usifurahie ndoa yako

Yapo mambo kadha wa kadha yanayosababisha watoto wa Mungu washindwe kufurahia maisha ya ndoa na wengine nyumba zao zikigeuka kituo cha polisi au uwanja wa vita. Ukiwa ndani ya Yesu Kristo uliye wa Kristo kuna mambo kadhaa unapaswa kuyafanya ili usiingie kwenye mtego wa ndoa isiyo na furaha. Msingi mbaya wa ndoa yenu Msingi wa…

Read More

Chadema yamjibu Msajili sakata la uteuzi

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemjibu Msajili wa Vyama vya Siasa, kikisema hakitabadilisha chochote katika maelekezo waliyopewa na ofisi hiyo, kwa maelezo kuwa walishafunga  mjadala kuhusu kikao cha Baraza Kuu. Msimamo huo wa Chadema umekuja baada ya jana Jumatatu Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kutengua uteuzi wa wajumbe wanane…

Read More

Mafundi magari zaidi ya 200 waomba wasihamishwe Suye

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude ameutaka Umoja wa Mafundi wa Magari Krokon eneo la Suye Kata ya Kimandolu kuendelea na shughuli zao bila ya kuwa na wasiwasi wa kuondolewa. Amesema wasiondolewe kwenye eneo hilo  ambalo walikabidhiwa na aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Samweli Ndomba. Akizungumza na mafundi hao leo Jumatano, Oktoba…

Read More

Dk Mwinyi ataka safari za ATCL Zanzibar kukuza uchumi

Unguja/Dar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amelitaka Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), kuangalia zaidi safari zitakazopitia Zanzibar ili kukuza uchumi. Kwa mujibu wa Dk Mwinyi, hatua hiyo itawezesha kuvutia watalii wanaotembelea vivutio vilivyopo Zanzibar na Tanzania kwa jumla. Rais Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Agosti 20, 2024 alipohutubia…

Read More